JKT yatangaza majina ya vijana waliohitimu Kidato cha Sita 2021 wanaotakiwa kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria

JKT yatangaza majina ya vijana waliohitimu Kidato cha Sita 2021 wanaotakiwa kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria

Zamani wahitimu wote wa kidato cha sita, walikuwa wanalazimika kutumikia JKT. Siku hizi nasikia sio wote wanashiriki. Swali langu ni kwamba vigezo gani vinatumika kuteua nani waende JKT na nani wasiende?? Pili, faida gani anayoipata kijana kwa kwenda kutumika JKT, au ni hasara gani itayompata kijana ambaye hakwenda kutumikia JKT?
 
Kuna ulazima WA kuripoti kambi na mkoa uliopangiwa tu? Au unaweza kuripoti kambi yoyote? Na kuripoti kambi yoyote utapokelewa?
Unaenda popote tu unapokelewa unawaambia sina nauli ya uko rwamkoma
 
Back
Top Bottom