GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kwa kiasi fulani, vina mfanano na JWTZ kimavazi na kimuundo.
Vyeo vinavyopatikana JWTZ kama SAJENT, CAPTAIN, MEJA, n.k. vinapatikana huko pia.
Vina majukumu gani huko Zanzibar?
Hivyo Vikosi vya JKU vinaweza kutumika Tanganyika kukitokea dharura?
Vyeo vinavyopatikana JWTZ kama SAJENT, CAPTAIN, MEJA, n.k. vinapatikana huko pia.
Vina majukumu gani huko Zanzibar?
Hivyo Vikosi vya JKU vinaweza kutumika Tanganyika kukitokea dharura?