Masafa marefu kuelekea wapi?Angalia itafanya routes Mara ngapi maana ni mwezi mmoja tu Wa August, September inaanza masafa marefu, sidhani kama itafanya safari zaidi ya 3 au 4 kwa siku maana sababu kubwa ya kuanza na safari za ndani ni kuwajengea mazoea marubani wetu na hiki chombo kipya, ndio maana hata bei wameweka ndogo Sana kama 98,000 ivi.
India and China, stay tuned_Masafa marefu kuelekea wapi?
All the best manIndia and China, stay tuned_
Ndege kuwa na uwezo wa kuruka masafa marefu haina maana ikiruka masafa mafupi ni hasara! Mfano kutoka London-Dublin ni umbali almost sawa na Dar- Kia ila midege inayo ruka hiyo route ni mikubwa na inauwezo wa masafa ya marefu. Mimi siyo mtaalamu wa haya mambo ila niki angalia jiografia ya ulaya makes me see umbali wa Dar-Mwanza siyo mdogo kama tunavyo aminishana.Loss na operation costs zitakuwa kubwa Yes.
It doesn't matter kama booking zimejaa au hazijaa Ndugu...
Hii ndege ni ya masafa marefu na inatakiwa unapoirusha angani WALAU at a minimum of 8hrs ndio ifanye next landing..
Lakini zaidi ni ndege ya kusafiri 14-18hrs non stop.
Sasa Dar-Knjaro kwa ndege hii ni 50min..ni kuua performance ya Ndege na kuongeza gharama za uendeshaji.
Mkuu ile sio gari, rubani hawezi kupewa kurusha ndege flani kabla hajapata uzoefu na hiyo ndege. Safari hizo za ndani sababu zitakuwa nyingine sio kuwajengea mazoea marubani. Wasingekuwa na uzoefu wasingepita kwenye 'rating' ya kuruhusiwa kurusha hizo ndege hasa zikiwa na abiria hata 10 tu.Angalia itafanya routes Mara ngapi maana ni mwezi mmoja tu Wa August, September inaanza masafa marefu, sidhani kama itafanya safari zaidi ya 3 au 4 kwa siku maana sababu kubwa ya kuanza na safari za ndani ni kuwajengea mazoea marubani wetu na hiki chombo kipya, ndio maana hata bei wameweka ndogo Sana kama 98,000 ivi.
stop tellin' lies bro..!!Loss na operation costs zitakuwa kubwa Yes.
It doesn't matter kama booking zimejaa au hazijaa Ndugu...
Hii ndege ni ya masafa marefu na inatakiwa unapoirusha angani WALAU at a minimum of 8hrs ndio ifanye next landing..
Lakini zaidi ni ndege ya kusafiri 14-18hrs non stop.
Sasa Dar-Knjaro kwa ndege hii ni 50min..ni kuua performance ya Ndege na kuongeza gharama za uendeshaji.
Simulator inafanya mambo yote ya trainingMkuu ile sio gari, rubani hawezi kupewa kurusha ndege flani kabla hajapata uzoefu na hiyo ndege. Safari hizo za ndani sababu zitakuwa nyingine sio kuwajengea mazoea marubani. Wasingekuwa na uzoefu wasingepita kwenye 'rating' ya kuruhusiwa kurusha hizo ndege hasa zikiwa na abiria hata 10 tu.
Mkuu upo sawa sawa kabisa. Hiyo simulator ndio inakupa uzoefu sababu inafanana kila kitu na hiyo ndege husika. Na lazima ufikishe flying hours kadhaa kabla ya kupata leseni ya kurusha hiyo ndege.Simulator inafanya mambo yote ya training
Mkuu upo sawa sawa kabisa. Hiyo simulator ndio inakupa uzoefu sababu inafanana kila kitu na hiyo ndege husika. Na lazima ufikishe flying hours kadhaa kabla ya kupata leseni ya kurusha hiyo ndege.
NOTE: hufanana cockpit na controls zote.
Training huwa simulator halafu unarushwa kwa 787 kama co-pilot, unapata uzoefu wa kufanya mawasiliano ya radio na control tower pamoja na kuangalia weather radar. Ukifanya kama 2000hrs kama co-pilot upo sawa kuwa captain..Mkuu upo sawa sawa kabisa. Hiyo simulator ndio inakupa uzoefu sababu inafanana kila kitu na hiyo ndege husika. Na lazima ufikishe flying hours kadhaa kabla ya kupata leseni ya kurusha hiyo ndege.
NOTE: hufanana cockpit na controls zote.
Loss na operation costs zitakuwa kubwa Yes.
It doesn't matter kama booking zimejaa au hazijaa Ndugu...
Hii ndege ni ya masafa marefu na inatakiwa unapoirusha angani WALAU at a minimum of 8hrs ndio ifanye next landing..
Lakini zaidi ni ndege ya kusafiri 14-18hrs non stop.
Sasa Dar-Knjaro kwa ndege hii ni 50min..ni kuua performance ya Ndege na kuongeza gharama za uendeshaji.
Hahaa... mzee hii bravo yako usi iache, imesha kua trademark yako, kuna watu ina watoa povuBravo my beloved TANZANIA
Hahaa... mzee hii bravo yako usi iache, imesha kua trademark yako, kuna watu ina watoa povu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahaa babu anaadika upupu alafu waswahili wenzake wanaitikia kama kondoo vile ..stupid tanzanian
Hehehe... training ni kwa simulator lakini kuwasiliana kwenye radio na kuangalia weather radar unahitaji kurushwa?!! Hey!!! Chinekeee! Mh!Training huwa simulator halafu unarushwa kwa 787 kama co-pilot, unapata uzoefu wa kufanya mawasiliano ya radio na control tower pamoja na kuangalia weather radar. Ukifanya kama 2000hrs kama co-pilot upo sawa kuwa captain..
Ndege kuendesha ni kazi rahisi sana, autopilot computer inafanya kazi yote hata take off and landing.
Hehehe... training ni kwa simulator lakini kuwasiliana kwenye radio na kuangalia weather radar unahitaji kurushwa?!! Hey!!! Chinekeee! Mh!
Hii yote ni nani alikuambia?Loss na operation costs zitakuwa kubwa Yes.
It doesn't matter kama booking zimejaa au hazijaa Ndugu...
Hii ndege ni ya masafa marefu na inatakiwa unapoirusha angani WALAU at a minimum of 8hrs ndio ifanye next landing..
Lakini zaidi ni ndege ya kusafiri 14-18hrs non stop.
Sasa Dar-Knjaro kwa ndege hii ni 50min..ni kuua performance ya Ndege na kuongeza gharama za uendeshaji.
Ndege kuwa na uwezo wa kuruka masafa marefu haina maana ikiruka masafa mafupi ni hasara! Mfano kutoka London-Dublin ni umbali almost sawa na Dar- Kia ila midege inayo ruka hiyo route ni mikubwa na inauwezo wa masafa ya marefu. Mimi siyo mtaalamu wa haya mambo ila niki angalia jiografia ya ulaya makes me see umbali wa Dar-Mwanza siyo mdogo kama tunavyo aminishana.