game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lagos gdp is Larger than the Entire Kenya
Mimi nimekaa nairobi maisha ya kule mabaya sana,bora TZ asee
Sent from my iPhone using JamiiForums
And 4 times larger than DangagizaLagos gdp is Larger than the Entire Kenya
Pwahahahahahaha….Ati Most far.....What Grammar is this???Tanzania is most far than Kenya don’t lie
Sent from my iPhone using JamiiForums
Pwahahahahahaha….Ati Most far.....What Grammar is this???
[emoji23][emoji23][emoji23]hesabu Za round off hua zipo kwenye real life?Not in 2019., Nairobi GDP is same as entire Tanzania, uki round off!
Sent using Jamii Forums mobile app
Not in 2019., Nairobi GDP is same as entire Tanzania, uki round off!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooo dar tunaijua ohoo dar fishing village haya hapa komora unapajua ? Ukisikia fishing village ujue ndiyo hapa sasa15 days to go...
Eti JKIA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magu anavyoiogopa hyo route hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusubiri mwakani banaOhooo dar tunaijua ohoo dar fishing village haya hapa komora unapajua ? Ukisikia fishing village ujue ndiyo hapa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Kenya nimeishi sana Nairobi Maisha ni magumu sana citizens hawathaminiki kabsa labda tajiri tuvijana wa Tandale na uchwara utadhani hata wametoka nje ya wilaya yao kumbe ngoo,,,,,Mdanganyika hata atakuambia amefika Mwezini ,,,,Sijui aliyewaroga alifia wapi tutafute kaburi
Kitu tunachoenda kuifanya Kenya ni zaidi ya kuipiku .sasa tazama Nigeria imeipiku Kenya kiuchumi ila is nothing in katika maisha ya kawaida lagos ni kama Mombasa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha kulingana na mfuko wako,ulifikiria nairobi ni km dar una dunda kita halafu mida yake unaenda kula kw shemeji..Huko Kenya nimeishi sana Nairobi Maisha ni magumu sana citizens hawathaminiki kabsa labda tajiri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya mwakani aina shaka wewe subiri kukili Kwa kinywa chako mwakani utakuwa mwaka mgumu sana Kwa majirani wote wa tz sasa sana mnaojua kiswahili maana mtajua kila kinachoendelea tz ,kagame mwenyewe mlisema tunajifunza kwake ila hata yeye kajua magufuli ni namba chafu sifa za kagame zinamezwa na magufuli kirahisi kabisa ,hiyo video inaonyesha eneo lililo sababisha dar kuitwa fishing village zamani sana chanzo ni ilo eneo ,lione lilivyo jengeka kazi nzuri za wavuvi kujiletea maendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe unaijua Tanzania kuliko watanzania wenyewe?Pedestrian thinking! Ndio vile wewe unafikiri? usipojituma unakua fukara kama vile wengi wenyu mulivyo sasa hivi, wewe pia. In tz land policy iko tofauti. CCM inamiliki nchi nzima, wewe uko at their mercies. Serikali ina own kila kitu, wewe unakodisha kwa serikali ya ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako busy na maisha halafu at the end of the day wanaishia kibera,dandora na MathareMaisha kulingana na mfuko wako,ulifikiria nairobi ni km dar una dunda kita halafu mida yake unaenda kula kw shemeji..
Nai ni mji tofauti sana EA, kila mtu na hamsini zake jamaa wako busy na maisha
Sent using Jamii Forums mobile app