HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ajira ambayo unaumia kwa jua, mvua, upepo, baridi, vumbi.Tatizo vijana wengi wa bodaboda ni walevi wa pombe bangi ugolo nk bofaboda ni ajira nzuri sana kama ikizingatiwa kanuni na sheria za barabarani
Ajira ambayo huna uhakika wa matibabu?
Ajira nzuri ambayo ukiugua huna uhakika wa kula?
Ajira ambayo mkono au mguu ukivinjika ndo mwisho wako?
Hebu tufikirie njia zingine na sio huu upumbavu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app