Job Ndugai: Anayesema vijana wa Bodaboda wamelaaniwa labda amelaaniwa yeye

Tatizo vijana wengi wa bodaboda ni walevi wa pombe bangi ugolo nk bofaboda ni ajira nzuri sana kama ikizingatiwa kanuni na sheria za barabarani
Ajira ambayo unaumia kwa jua, mvua, upepo, baridi, vumbi.
Ajira ambayo huna uhakika wa matibabu?
Ajira nzuri ambayo ukiugua huna uhakika wa kula?
Ajira ambayo mkono au mguu ukivinjika ndo mwisho wako?

Hebu tufikirie njia zingine na sio huu upumbavu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mahali alisema vijana wa bodaboda wamelaaniwa bali alisema kazi ya bodaboda ni laana,mana haina matumaini na nikazi inayoumiza vijana wengi,job aache unafiki akae kutulia mana ametengeneza taifa la hovyo.
Huyu mzee bichwa lilisha vuligika kabisa! muda wote anafikiria kire kiti chake ndiomaana hata kwa hili kakulupuka
 
Mimi anayehangaika na matamshi ya yule kijana alikuwa kule ugaibuni ambapo ule mchicha mkali wao unaliwa hadharani, kwakweli anapoteza mdaa.
 
Mzee hata ujisogezaje! Tambua kibuyu cha asali kipo mbali sana na upeo wa ulimi wako!!
 
Kama wafanya kazi mazingira magumu kwa afya yako, kazi ambayo hauna uhakika wa kurudi nyumbani, kazi ambayo huna uhakika wa matibabu na wanasiasa wako upande wako, jua kabisa wewe ni daraja

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Maisha ni mchezo wa kufa na kupona.

Hakuna kitu salama hapa duniani.

Kimsingi maisha yako hayana usalama hata kidogo
Hisia zako tu ndo zinakudanganya uko salama.

Kama ingekuwa ni hivyo basi kusingekuwa na bodaboda sababu hakuna anayependa kufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…