Job Ndugai: Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Mmechelewesha sana huo uamuzi Ndugai fanyeni haraka. Kama kuna mzigo kwenye akaunti yake nao uchukueni kabisa kufidia, hawezekani tunalipa kodi halafu mnawapa watu kirahisi tu
Kuliko walojichukulia
1. Mahela ya kujenga Chato Inteenational Airport.
2. Tshs 1.5 trill.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa alichofanyiwa yule balozi, watakuwa wameitana kwenye kikao cha dharula MAGU NA SABUFA watakuwa wamekubaliana hivyo wasitishe salary, wanazidi kujianika hawa wauaji.
 
Ubaya sio kila mtu humu anaamini story unazoamini wew..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona husemi hao wanyonge anaowapigia Lissu ni nani?

Mbona huelezi anawapigania hao WANYONGE kwa vipi,lipi na wapi?

Mbona husemi kuhusu jinsi anavyowakilisha wale WaTz wa jimboni kwake waliompa na ambao hawakumpa kura akapata kujulikana hivyo?

NI ZAIDI YA KUPONGEZA KAMA AKILI ITAKAA VIZURI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Nimemsikia Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akipokea ushauri kuhusu uwezekano wa kuondoa malipo kwa Mbunge, Tundu Lissu. Ninachofahamu, katika ajira zozote, ikiwemo ubunge, zipo sheria zinazoongoza ajira husika. Endapo taratibu za ajira yake zitafuatwa kama inavyotakiwa, na kisha akapoteza malipo yake yote, nini kitatokea? Wanasheria mtusaidie.

Nelson,
Dodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…