Job Ndugai: Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Sasa arudi bungeni ili ashambuliwe tena? Kama mtu anadai gari lilimfuatilia tangu bungeni mpaka nyumbani kwake na bado hiyo gari haijajulikana ,hapo bungeni ni mahali salama kwake kama akirudi?
Kwaiyo ataishi ughaibuni tu na pesa zetu anajichotea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nionavyo mimi kumnyanyasa kwa kumnyima mishahara na posho, kumnyima pesa za matibabu nk ni kumpa cha kusema huko nje hata kama serikali ina haki hiyo.

Kama serikali itafanya hivyo haitasaidia kabis azaidi ya kujibomoa, kwa maana sasa Tundu Lissu Hatategemea pesa kutoka serikalini atapata ma dola mamilioni kwa ajili ya kuichafua Tanzania.

Naishauri serkali kwamba kukaa kimya nalo ni Jibu.

Lakini kila anachosema serikali au Bunge au CCM tunahamaki kumjibu ni kujitaabisha tu hayo yote ni matokeo ya maamuzi ya kibaguzi ya Bunge.
 
tunaweza kuchanga kwavidole lakini nawahakikishia mchango huo hautafika miezi 3 kwa idadi ileile na wengine watarudi na malalamiko.
kinachohitajika sio zima moto wala fedha ila cha kujadili nini kifanyinge mapungufu yaliyojitokeza kwatukio zima lisiweze kutokea tena kwa wengine na njia gani inaweza kuwa muafaka kama fidia ya kudumu kwa changamoto alizopitia kikaweza kumliwaza aliyeumizwa nafsi na mwili wake.
 
Lissu ni mtoro ila Ndugai anachukulia poa tu. Alitoroka kuanzia siku viongozi wa cdm walivyomtoroshea Kenya hadi Ubeligiji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sababu amejiaminisha kwamba wazungu ndo wataweza kumsaidia shida zake, basi ni vema awaombe waanze kumlipa mshahara na hata kumpa hifadhi
 
Ni kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..

Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.

Wewe mpaka mauaji ya Itigi unasupport kwahiyo nakuonea huruma maana najua una stroke ya ubongo
 
Nikisemaga Tanzania ina mang'ombe huwa niko sahihi 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thubutu eti nguvu ya umma!!

Hiyo unayoita nguvu ya umma tungeona kwa Mwenyekiti hadi leo yupo Segedansi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaongea kijingajiiinga utadhani unaongelea mshahara wa Hamifirei Tarapole
 
Lissu kwasasa hana cha kupoteza, Mshahara kwake si kitu....

Yeye Ndugai kama Spika anapaswa kujua hali ya Lissu bila hata Lissu kumtaarifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugai na MKUU wake ni wabaguzi ..

Mbna yy alipoenda kutibiwa hakusimamishiwa mshahara?

Yaani ndugai anatumia ushauri wa msukuma? Kweli darasa LA 7 waondolewe bungeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…