Job Ndugai: Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Ninaunga mkono wazo hili kwa asilimia 100%.
Kama kuna viongozi wa CHADEMA wanatembelea jukwaa hili, tafadhali lifanyie kazi.
 
Mtu mzima unapoambiwa au amrishwa ufanye jambo fulani then ukajitokeza ukafanya kama ni utashi wako kumbe ni kuambiwa tukuiteje?
1. Njaa kichwani
2. Njaa tumboni
3. Kufikiri kwa kutumia vidole
4.....
 
Ukiangalia video vema,utabaini kua mhe msukuma alikua katumwa kuuliza swali hilo mapema kabisa,maana kabla ya kipindi cha maswali na majibu siku ya alhamis,uanza maswali kwa waziri mkuu,na kabla ya waziri mkuu Mhe msukuma alisimama na kuomba mwongozo,wakati mwongozo kwa mujibu wa kanuni uombwa wakati kuna jambo lilikua linaendelea kabla.lakini mhe spika akajibu na kukubaliana na msukuma,ule ulikua ni mpango maalumu kabisa,alipomaliza kuutolea maelekezo ndo akaitwa mhe waziri mkuu kuendelea na maswali ya papo kwa papo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"That is our position" kwake jiyo unawasemea kundi la watu.

Hivi mtu mgonjwa alipewa likizo ya kapumzike na Dr. Hatakiwi hata kuwatembelea ndugu zake? Hapaswi hata kuongea na ndugu Jamaal na marafiki waliomsaidia?

Serikali haikutani, Bunge halikumtibu, Je Lissu anapata wapo pesa za matibabu?

Kama hujui Basi huko anakoenda Ni kutoa shukrani Lea waliomtibia.

Hivi hamuoni anatembelea magogo? Kama mnaona kwa Nini mnauliza?
 
bora waukate kabisaaaa,heri kufa maskini kuliko kuishi maisha ya fahari na risasi mwilini
 
Hili suala Tundu Lissu sasa limegeuka kuwa TAMTHILIA.Ni tamthilia kali ambayo imetuonyesha washiriki hata tusiowatarajia;hata hivyo wameonyesha umahiri mkubwa was kuvaa 'uhusika'.Na kwa sasa tupo 'season 3' kwenye 'episode 2'.Tamthilia inaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili suala wala halihitaji kutatuliwa sijui kwa sheria, hata Biblia inasema: Asiyefanya kazi, asile! Mimi sijui wale waliomchagulia akawawakilishe wapo kwenye hali gani, maana ni ajabu kuona mgonjwa anaongea sana, labda ugonjwa umeamia mdomoni.
 
Ndugai kila akiamka anakuja na tamko hili au tamko lile, hatujui kesho atapokea maagizo gani kutokea "juu"!
 
The government of some people,by some people for some people.according to tshaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…