Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Acha uongo wewe ndio unakopa fedha,
 
Umesema 2025 eti tutaonana? Nikupe taarifa msimamizi wa uchaguzi ni Dr Mahera na Jecha. Hawa ndio nguzo ya CCM.
 

Kwa kweli sasa CCM inaelekea mwisho kabisa !
 
Ni hatari sana kwa kiongozi mkubwa kama huyu mwenye madaraka makubwa na ukaribu na watawala kuanza kulalamika kama wanywa kahawa wa vijiweni. Mbona kauli hii inaogopesha?
He is not fine in his brain,sijawahi mwelewa huyu ndugai,huwa anakauli za kiutata utata sana,.
 
Kweli hili Bunge ni kibogoyo!Analalamika badala ya kuongoza Bunge kuibana serikali kwenye ukopaji!!
 
Tuliambiwa deni linavumilika. Sasa haya yanatoka wapi?
 
Tatizo Huyu zuzu Ndugai hana utamaduni wa kuunga mkono hoja zenye mashiko za wengine, Ndugai ni Mendel tu, he has a valid point but tayari alishatengwa na kujitenga.
 
Hajaongea kama analaumu,ameongea kuonyesha kwamba serikali huwa inalazimika kukopa kwa sababu Haina namna nyingine ya kuweza kugharamia maendeleo,
Na anaonyesha jinsi bunge lilivyokuwa kwenye wakati mgumu wa kupitisha
Hio ni mtazamo wako pia tazama hoja ya Kwani nini tozo? dokezo la tozo waziri wa fedha alilenga kukabili nini? Hoja ngumu ya Ndugai ni kwamba serikali ilidanganya Bunge kuwa wanakuja na tozo ili kupunguza kukopa na mzigo wa madeni, hoja ingine iweje tozo iliainishwa kutumika kujenga madarasa na mkopo wa covid19 nao matumizi iwe kujenga madarasa? Ni akili za kipumbavu unapambania mtikisiko wa uchumi kwa kukopa ili ujenge madarasa. Tanzania imejaa wapumbavu sana.
 
Kwahiyo anamdharau mama kwenda kukopa ama?
Analalamikia uongo hasa sababu za kuja na tozo wakati tozo inaendelea wanatumia pesa ya mkopo kujenga madarasa wakati hoja ya tozo ni pamoja na kujengea madarasa, Bunge limedanganywa na hawatafaidi pesa ya mkopo wa covid19 tofauti n.a. Uganda ambako wabunge walipewa mgao wa covid n.a. M7
 
Nchi ya malalamiko kwanzia ngazi kijiji mpaka taifa hiyo ndoo tz
 
Ndugai leo hii kawa mpinzani!!! dunia inaenda kasi sana.
Huyu si aliufyata enzi za Nzilankende, au kwa kuwa maza siyo mbabe kama jiwe.
 
Nchi nyingi dunniani.na hata wataalamu wa fedha wanakubaliana kwamba..kwenye uwezekano wa kukopa mkopo ulio ndani ya uwezo wako wa kuulipa..i mean equity na debt ratio iko positive..ni vizuri ukakopa.but nchi hii chini ya uongozi wa mtu yule waliona sifa kununua ndege kwa kulipa cash..yanii alitoa cash ndani zilipokuwa zinahitajika sana akalipa nje kununua ndege ambazo return yake on investment haijajulikana ni lini.akakataa kuajiri watu hata madr.akanyima watu nyongeza ya mshahara..akaua watu..akaiba fedha.yote haya yalifanyika ndugai na wasomi wetu walikuwepo na wakishangilia..leo wanageuka na kutoa kauli hizi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…