Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Taratibu watu wataanza kumwelewa magufuli. Alikua nania tujitegemee wenyewe. Ñdio kisa cha kuchukiwa na wenye nia mbaya ndio wamekumbatiwa na Awamu ya 6
Duh wakati yeye pekee amekopa 22trilioni tena akatupiga kamba kua ni pesa za ndani.
 
Ni bahati mbaya sana kwa Taifa letu kuwa na subwoofer huyu tuliyenaye. Huyu ni sehemu ya matatizo ya kiutawala kwa nchi hii.
 
Iuzwe tu, Tanzania na watu wake tuuzwe tukalipie mkopo.

Hata hayo yanachosha.

Hizo hela mnafanyia nn, huku ki dispensary ni kile kile, soko hakuna, kituo cha polisi hakuna, kisekondari hicho hapo kina darasa moja, air port hakuna.

ni hapa mkoa wa pwani tu hapa.

Naungana na Job nchi iuzwe.
 
Spika wa Bunge ameonya kitendo cha serikali kuendelea kutegemea mikopo kutoka nje kuendesha nchi kitu ambacho kimefanya deni la taifa kuwa kubwa maradufu "Ipo siku hii nchi itapigwa mnada,kopeni tu".

View attachment 2060343
Yeye pamoja na Wabunge wenzake ndio wanasababisha deni la taifa linaongezeka kwa sababu hakuna wanachozalisha pale bungeni zaidi ya matumizi makubwa yasiyo ya lazima. Mfano posho wanazolipwa hata kama mbunge ameenda kusinzia bungeni kama yule mzee wa Bunda, magari ya kifahari badala ya kununua Vitz, mishahara isiyokatwa kodi, kupitisha sheria kandamizi dhidi ya wanyonge, kuvunja katiba kwa kuingiza wabunge wasiokuwa na chama mfano wale COVID19(wanaolipwa kodi za wanyonge kwa kuingizwa bungeni na Ndugai wakati hawana vyama kinyume na utaratibu wa kikatiba)
 
Duh wakati yeye pekee amekopa 22trilioni tena akatupiga kamba kua ni pesa za ndani.

Kukopa kujenga SGR, Maji ya uhakika, miundombinu ya barabara. la umeme, umeme nafuu wa uhakika kwa viwanda, biashara na binadamu ni kitu kizuri kama mikopo ni ya masharti nafuu.

Ina maana itajilipa yenyewe ndani. Tatizo hapa usimamizi na matumizi na wasimamizi sahihi wa hii mikopo. Kuna wapiga dili, wala rushwa, mafisadi. umeme, maji sio vitu vya uhakika tena.
 
Tumsikilize Rais Au Tumsikilize Spika wa Bunge?

Rais Samia Anapata Upinzani mkali sanaa Ndani Ya Chama Bila Kujijua… Ana Deal Na Kina PolePole, Gwajima na Jerry ambao hata sio
 
Rais Magufuli yule mwamba tuache tu apumzike kwa amani, ipo siku itatengwa siku itatengwa kwa ajili yake. Kipindi chake hatukuwahi kusikia wala kuona kiongozi anayemlipa mshahara anamkosoa
 

"Wapinzani walituchelewesha sana." Alisikika yule shujaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…