Duh spika analalamika
Ova
Ndio tulipofikia hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh spika analalamika
Ova
Na record hiyo haitakuja kuvunjwa milele!Kati ya hizo pesa bilion 26 na ushee zilitumika kumtibia India.. BILLION 26 kwa kichwa kimoja na kumfanya kuwa mgonjwa ghali zaidi duniani
Nchi hii ya maajabu sanaDuh spika analalamika
Ova
Yeye ndiye spikaNchi hii ya maajabu sana
Yeye ndiye spika
Mambo yote yanapitishwa mbele yake
Sasa unakuja kulalamika!eh
Ova
Duh!!Spika wa bunge la jamhuri ya muungano JOB NDUGAI amedai kuwa kulingana na mwenendo wa deni la taifa kufikia trion 70 ipo siku nchi ya Tanzania itapigwa mnada amenena maneno hayo baada ya kusema kwamba tozo zote zamiamala ya simu zilizopitishwa na bunge zilipitishwa kwa lazima kwani wananchi hawakuridhia kama inavyosema na baadhi ya wanasiasa.
Kwa maneno hayo naona kuna mambo yanaendelea huko Lumumba yapo mambo hayajakaa sawa ukiona spika anaanza kulalamikalalamika! Alianza kuhusiana na serikali kuhamia Dodoma kuwa kwa sasa kazi zote za serikali na makongamano zimerudishwa Dar-es-Salaam.
Mheshimiwa Ndugai popote ulipo nakwambia hivi wewe na viongozi wako mnaifanyia nini hii nchi mbona mnakaa mnalalamika lalamika wakati chama ni cha kwenu na chama chenu ndicho kimeunda serikali.?
Hii sasa ni kasheshe, yaani !!Ndio muelewe uwezo wa ccm kuongoza umefikia mwisho kwa mfano angalia utajiri wa nchi mito, maziwa, bahari, madini aina zote, mawe ya thamani, gesi asilia, bandari, fukwe zote, mbuga za wanyama zote lakini akili viongozi hawana wanawaza kuombaomba vipesa kidogo huko nje miaka yote pamoja na mali zote hizo unadhani tuna akili au matope
The past has gone forget it ! Watu wanazungumzia present time nini kifanyike,, wengine wamekalia kuzungumzia MTU ambaye hayupo tena,,Marehemu angeendelea tungejuta
Katya niina mdala ndio nini ?Mwenye ile video ya vichekesho ya spika Ndugai katya niina mdala Kongwa aiweke
Ndungai anajifanya yeye ndiyo kiongozi wa kambi ya upinzania bungeni.
Wakati kuna robo ya wabunge kutoka vyama vingine humo bungeni walikuwa wanawalalamikia hao wabunge, real leo wapo ccm tu bungeni na lawama ni maradufu kuliko vipindi vyote vilivyopita.Kipindi hayo yote yanafanyika ndungai alikuwa Bado hajawa spika wa bunge? Ccm ni wanafiki wazandiki maguluguja.uzuli ni kwamba bunge lote ni kijani wananchi tunajua Kila kitu.