FATHER MICHONGO UMEMSIKILIZA GAVANA WA BENKI KUU
UNAPOKOPA KUFANYA MRADI UHIMILIVU WAKO WA DENI UNAENDELEA KUWA MZURI .
"Unapokopa mkopo hukopi kwa ajili ya kula unakopa kwa ajili ya kufanya project ambazo zitaendelea kuzalisha na kwasababu unaendelea kuzalisha uhimilivu wako wa deni unaendelea kuwa mzuri sio kwamba deni linapanda" Gavana Benki Kuu Tanzania, Profesa Florens Luoga
NCHI HAIWEKI REHANI WATU WALA RASILIMALI ZAKE -GAVANA BENKI KUU
"Katika kamati mnaangalia madeni yenu yasiuze nchi ndio maana nchi haiwezi ikaweka rehani watu au rasilimali zake na itahakikisha inazitumia ili kuhakikisha Serikali inaendelea kupata kipato" Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga
#PowerBreakfast #CloudsFm
View attachment 2061491