Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

wewe umeona kuna chochote kinaendelea kwenye hiyo miradi ?!!...hizo gia za kipumbavu ndizo wanazotumia kuchukulia pesa na kukudanganya fala kama wewe kuwa wanaendeleza wakati wanaendelea na mipango yao ya binafsi

Bingwa wa matusi, fala wewe.
 
FATHER MICHONGO UMEMSIKILIZA GAVANA WA BENKI KUU


UNAPOKOPA KUFANYA MRADI UHIMILIVU WAKO WA DENI UNAENDELEA KUWA MZURI .

"Unapokopa mkopo hukopi kwa ajili ya kula unakopa kwa ajili ya kufanya project ambazo zitaendelea kuzalisha na kwasababu unaendelea kuzalisha uhimilivu wako wa deni unaendelea kuwa mzuri sio kwamba deni linapanda" Gavana Benki Kuu Tanzania, Profesa Florens Luoga

NCHI HAIWEKI REHANI WATU WALA RASILIMALI ZAKE -GAVANA BENKI KUU

"Katika kamati mnaangalia madeni yenu yasiuze nchi ndio maana nchi haiwezi ikaweka rehani watu au rasilimali zake na itahakikisha inazitumia ili kuhakikisha Serikali inaendelea kupata kipato" Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga

#PowerBreakfast #CloudsFm

Screenshot_20211229-114603.jpg
 
Baada ya tafakari ya muda mrefu sana nimelazimika kuyaelewa maneno ya Spika Job Ndugai. Naungana nae.

Ni wazi kuwa maneno yake yamekuja wakati sahihi. Ameongea kama mwananchi wa kawaida kabisa... Na kwa vile yupo ndani ndani huko kuna mengi anayajua!

Cha ajabu sisi wananchi wa kawaida ndo wale wale tunaompiga vita na kumkashifu. Tulipaswa tuwe na harakati huru na endelevu za kutaka kujua matumizi ya fedha za mikopo na zile za tozo! Isije ikawa tunatumika kama dhamana ya mikopo ili wateule wachache wazidi kuneemeka.

Dalili za matumizi ya kufuru na anasa zipo wazi kabla hata ya SSH. Je, hatupaswi kwenda mbali zaidi kuhoji uhalali wa mikopo/tozo na matumizi yake?? Au tukishaambiwa na watawala basi tuufyate zaidi ya maandiko!

Pamoja na mapungufu yake, mtu yoyote ana mapungufu tusikilize point zao.
 
Yeleuwii na bado mradi wa bwagamoyo asalalee hii nchi yetu nani wa kuiokoa jamani.
 
Nchi hi Ina chuo Cha Kodi TIA alaf tunawaza jinsi ya kukusanya Kodi kweli? Sasa kile chuo kina mantiki gani? Lini tutaanza kutumia hivi vyuo vizuri? Watu wanamaliza , nauliza hivi wizara au TRA wamefanya jitihada gani kuwatumia nyinyi wanafunzi ili kulltafuta vyanzo vipya vya Kodi? Jibu hapana!!! Sasa wizara ya Elimu na serekali.......
🤔🤔🤔 Tanzania Institute of Accountancy (TIA), ni chuo cha kodi mkuu???
 
Hata Ndugai hana nia njema na wananchi sema amekosa access na hiyo mikopo anaumia wenzake waakavyopiga pesa bila yeye kushirikishwa wala hana lolote ni tapeli tu
Kuna wakati ni bora uungane na adui mdogo wa adui yako kupambana na adui mkubwa...
 
Hio tilioni 70 inalipwa na thamani ya madini tu yaliyopo wilaya moja tu ya Tunduru achilia wilaya zingine
 
Tumkope beberu ana utu anajua atajilipa vipi,Na sio Mchina soon atakamata ziwa victoria miaka 100 hadi ajilipe deni lake.
Beberu hela yake anajilipa kupitia indirect benefits bila kutuumiza
 
Mara Paap Ndugai ndio Rais 2025 tutapigwa tozo mpaka tunyooke [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom