Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,015
Mkuu Mwenyezi Mungu ana mengi, hata adui zako.wakigombana wao kwa wao na penuewe unaweza kuwa msaada,Hata Ndugai hana nia njema na wananchi sema amekosa access na hiyo mikopo anaumia wenzake waakavyopiga pesa bila yeye kushirikishwa wala hana lolote ni tapeli tu
😇...Mungu anakuona....Ndio kageuka kuwa mpinzani sasa. Enzi za Lissu alimuona kuwa ni chizi Sasa ndio anazinduka
🙄Ndungai anajifanya yeye ndiyo kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.
Unasumbuliwa na tatizo dogo Sana.....sukuma gang disorder.
Ni kweli... majambazi yanapogombana ni muhimu kuangalia fursa ya kuyakwapuliaMkuu Mwenyezi Mungu ana mengi, hata adui zako.wakigombana wao kwa wao na penuewe unaweza kuwa msaada,
Nimekuelewa Chief,ahsante kwa kunifumbua.But wanatumia a/c za wazazi wao huku jukwaani?Mkuu humu kuna watoto sasa hivi mpaka shule zifunguliwe, sijui wanachokidai hata kama walikuwepo miaka hiyo kuona kama ilikuwa inafanyika hivyo, mkataba unawekwa wazi kwa wananchi,
Haya ni majangiliMkuu Mwenyezi Mungu ana mengi, hata adui zako.wakigombana wao kwa wao na penuewe unaweza kuwa msaada,
Kazi apigwe tu mnada, maana ameshazoea minada ya ng'ombe, sasa na yeye anatamani kuwa mooooFATHER MICHONGO UMEMSIKILIZA GAVANA WA BENKI KUU
UNAPOKOPA KUFANYA MRADI UHIMILIVU WAKO WA DENI UNAENDELEA KUWA MZURI .
"Unapokopa mkopo hukopi kwa ajili ya kula unakopa kwa ajili ya kufanya project ambazo zitaendelea kuzalisha na kwasababu unaendelea kuzalisha uhimilivu wako wa deni unaendelea kuwa mzuri sio kwamba deni linapanda" Gavana Benki Kuu Tanzania, Profesa Florens Luoga
NCHI HAIWEKI REHANI WATU WALA RASILIMALI ZAKE -GAVANA BENKI KUU
"Katika kamati mnaangalia madeni yenu yasiuze nchi ndio maana nchi haiwezi ikaweka rehani watu au rasilimali zake na itahakikisha inazitumia ili kuhakikisha Serikali inaendelea kupata kipato" Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga
#PowerBreakfast #CloudsFm
View attachment 2061491