Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
weka data tuone alikopa sh ngapi? maana kauli bila takwimu ni pumba tuAliyekopa fedha nyingi kuliko wote ni magufuli.
Marehemu pombe ameacha matatizo mengi sana katika hii nchi sababu ya ushamba wake
Mwendesha mnada ni yeye! Anashindwa nini kuzuia? Aungane tu na wanaodai katiba mpya ili aujue wajibu wake na ausimamie!Spika wa bunge la jamhuri ya muungano JOB NDUGAI amedai kuwa kulingana na mwenendo wa deni la taifa kufikia trilion 70 ipo siku nchi ya Tanzania itapigwa mnada...
Naona yanaenda kutimMwalimu aliwahi kusema ;
“Upinzani wa kweli utatoka ndani ya chama cha kijani”
Ulielewaje hapo?
Wahuni sio watu poa.[emoji3] hawawezi mgogo hachelewi kupotea ghafla wakamkuta dar
Khaaa[emoji16][emoji16][emoji16]Ndungai anajifanya yeye ndiyo kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.
Acha wendawazimu,kwani wazenji wanatatizo gani ilihali tanzania ni moja?Hangaya akiendelea kuwepo na kutaka kutawaka si ajabu akawepo na rais hajaye baada ya Hangaya akawa Mzanzibar wakaendelea kulithishana, watakuja kustuka sekta zote za juu wamejaa wazanzibar
Hahahaaaa mkuu, nimependa comment yako hiyo saaana kuhusu Marekani.Hakuna nchi inapigwa mnada,, marekani ndo nchi inaongoza kwa deni kubwa, mpaka serikali huwa inafungwa kwa mda,, lakini haijawahi kuuzwa,,,, [emoji1787][emoji1787]
Ndugai wako wengi tehteh... utani tu not serious lkn!🤔🤔🤔 Tanzania Institute of Accountancy (TIA), ni chuo cha kodi mkuu???
We kweli jinga!nimwelewe Nini hapa ? Kwani kipindi Cha jiwe madini hayakuwepo, lakini alikopa , alidhibiti madini wakati hana hata ujuzi wowote wa hayo madini kuyatumia au kuyaprocess. Siwezi mwelewa mtu anaye msifu na kumwadu jiwe.
Mimi na wewe nani jinga , utajuaje labda kaedit uzi ili aendane na Mimi .We kweli jinga!
Soma tena!
Tena alikuwa mtu wa hovyo sn japo ni kama aliyepo pia naye ni yale yaleUmeandika ujinga mtupu na kishabiki, Jiwe kakopa sana , na hatujui pesa zote kapeleka wapi, alikuwa hatoi ajira, alifukuza wafanyakazi hewa, na alisema tunajenga kwa pesa zetu wenyewe huku akikopa kwa Siri kwa Nini?
Katiba mbovu sn hiiAlikuwa anatudanganya hakopi kumbe anakopa kisirisiri bila kuweka Mambo wazi halafu anatudanganya nchi hii Ni tajiri wakati anatembeza bakuri. Jk mpaka anatoka kaa si zaidi ya trillion 40 tu. Hiyo nyingine ni jpm. Na vyombo vya habari vilikuwa vinaogopa Mana wangeuuawa.
Sema mama anachokosea ni kuweka wazi Sana kila kitu na kuwapa Uhuru kila mtu.
Kazi iendelee mkuu. JPM 1959 - 2021.kwamba siutetei upande wowote kwa ushabiki holela bali kwa hoja zenye kujibu naomba ieleweke,
Kusherehekea pesa kama wendawazimu bila kuelewa msingi wake ni utoto na mnaambiwa ukweli taka msitake!!!
Mwendazake alikuwa na plan zake na lkwa hili la leo wenue akili wote tumeelewa kuwa blue paper ya aliyoyafanya ilijulikana na the the top 5 of national authority akiwemo huyo job. Plan iliyokuwa na utaratibu wa kurejesha pesa kwa kupitia maliasili za madini haraka sana , ila hakuweza kisimamia plan hiyo mpaka mwisho kwa yaliyotokea.
Waliokuja, hawana uwezo wa kutembelea kiatu kile kwani uwezo wa kudhibiti maliasili na kuwabana mabebeeu ili kuingiza pesa hawana. Lakini bado tunawataka watekeleze maendeleo waliyoyarithi , hapo ndio kizungumkuti!
Wametapatapahuku na huko, mara tozo mara luku n.k lakini hela haitoshi kuendeleza miradi! Ikabidi wafuate masharti ya mabeberu ili wapate fedha , wananchi muone fly over na ndege mpya lkn njia ya kupatia fedha ilisha badirika.
Kwakuwa waliokuwepo wanajua ilivyokuwa na ilivyosasa, wanaona jinsi picha sasa linavyotisha . Kwa kupata maendeleo yale yale kimikopo bila uwezo wa kudhibiti madini ili kulipa mikopo hiyo jibu lake ni wazi kuwa hiyo ni disaster inakuja.
Hata ukiamgalia lile jiwe lilikuwa halisafiri kwenda magharibi na lilikuwa linajisifu kuwa linaandaa donor country, na mziki ule ilifikia dunia ikauelewa vizuri sana, kwani jiwe linakuambia Nickel ya kagera inatumika kutengeneza ndege na Tz ni ya 3/2 duniani , hellium ni gesi muhimu na Tz ni ya 1 au 2 duniani, bila kutaja madini mengine mengi tuliyonayo kwa wingi. Ukiweza kiyadhiniti vema hata ukope unakuwa na kiburi cha kulipa maana hata matajiri wanaweka akiba ya dhahabu sio minoti tu sasa kama una dhahabu ardhini maana yake unauhakika kuwa wewe una pesa na hakuna mtu mwenye akili anaejua nafasi ya dhahabu katika teknolojia ya uzalishaji na katika matumizi yake kama fedha atakunyima mkopo wowote akijua dhahabu ipo.
Tatizo linakuja kwa wattawala dhaifu ambao ubeberu wanauruhuau tena urudi, hawana udhibiti tena wa madini yetu( pesa yetu) , sasa hata wakikopa deni linakosa uhakika wa kulipwa , nchi ni lazima itapogwa mnada. Hawana jeuri ya kusema tena ," Tanzania ni tajiri".
Acha kuwahusisha wasukuma na huu upuuzi wa ccm..wasukuma ni kabila pole lisilopenda makuu..plz stop this nonsense...mkue basi.Sukuma gang ..