Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Spika wa bunge la jamhuri ya muungano JOB NDUGAI amedai kuwa kulingana na mwenendo wa deni la taifa kufikia trilion 70 ipo siku nchi ya Tanzania itapigwa mnada...
Mwendesha mnada ni yeye! Anashindwa nini kuzuia? Aungane tu na wanaodai katiba mpya ili aujue wajibu wake na ausimamie!
 
Kama huu mwak mmoja tu amekopa hivi je, itakuaje kama atakapewa mitano mingine si atauza nchi huyu aende kwao.
 
Hangaya akiendelea kuwepo na kutaka kutawaka si ajabu akawepo na rais hajaye baada ya Hangaya akawa Mzanzibar wakaendelea kulithishana, watakuja kustuka sekta zote za juu wamejaa wazanzibar
Acha wendawazimu,kwani wazenji wanatatizo gani ilihali tanzania ni moja?
 
Hakuna nchi inapigwa mnada,, marekani ndo nchi inaongoza kwa deni kubwa, mpaka serikali huwa inafungwa kwa mda,, lakini haijawahi kuuzwa,,,, [emoji1787][emoji1787]
Hahahaaaa mkuu, nimependa comment yako hiyo saaana kuhusu Marekani.

Lakini limenizulia swali hili: Unaweza kumuuza babako au yeye ndiyo anaweza kukuuza?

Risk ya Tz kuuzwa ni kubwa kuliko risk ya Marekani kuuzwa maana Marekani ni baba na Tz ni mtoto.

Ila ni kweli Marekani ina deni kubwa mno lililokuzwa na Reagan & Bush Jr kupitia vita nje ya nchi & Trump kupitia C-19.
 
By that time mwendazake anakopa kimya kimya huku anaongopea kuwa anajenga kwa pesa za ndan ya nchi si alikua anajua huyu ndugai,why hakuzungumza sasa
 
nimwelewe Nini hapa ? Kwani kipindi Cha jiwe madini hayakuwepo, lakini alikopa , alidhibiti madini wakati hana hata ujuzi wowote wa hayo madini kuyatumia au kuyaprocess. Siwezi mwelewa mtu anaye msifu na kumwadu jiwe.
We kweli jinga!

Soma tena!
 
Umeandika ujinga mtupu na kishabiki, Jiwe kakopa sana , na hatujui pesa zote kapeleka wapi, alikuwa hatoi ajira, alifukuza wafanyakazi hewa, na alisema tunajenga kwa pesa zetu wenyewe huku akikopa kwa Siri kwa Nini?
Tena alikuwa mtu wa hovyo sn japo ni kama aliyepo pia naye ni yale yale
 
Katiba mbovu sn hii
 
Kazi iendelee mkuu. JPM 1959 - 2021.
 
Spika Ndugai kiukweli ametoa tahadhari nzuri tu, hebu fikiria ingekuwa ni Tundu Lisu ndio kaiponda mikopo ya mabeberu hakika hapa Jf pasingetosha pongezi za makamanda.

Ila kwa sababu aliyeshauri ni mgogo watu mnadharau hoja yake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Of course tunashangaa sana kuona ombaomba maarufu tz anapinga mikopo. Hata yeye analijua ndio maana alijihami kwa kutaja kabila lake kwanza ili wasimshambulie imekuaje matonya anapinga mikopo aka uombaomba.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…