Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Ndani ya serikali ya JPM hawa watu wamejifunza mengi pia wamejifunza kuipenda nchi. Zaidi wamejua kuwa kumbe viongozi wakiamua nchi inaweza kupiga hatua.

Maendeleo yale yamenufaisha majimbo yao na ndugu zao wakiwemo mashangazi, baba wadogo na wengine.

Mfano; zahanati na vituo vya afya, huduma rafiki kwenye taasisi za serikali zilizokuwa zinapatikana kwa wakati huo sio sasa, umeme kila kijiji tena wa uhakika usiokatikakatika, miundombinu ya uhakika hadi kuunda tarura, mifumo ya maji safi hadi vijijini. Hii hata wao wabunge iliwarahisishia kiutendaji.
 
😭😭😭😭😭😭😭😭✊
 
Hakika uliona mbali kitega uchumi kikuu Cha nchi kinauzwa kukodisha bandari kwa miaka 100 ni sawa na kuuza mali hiyo ya nchi

Miaka 100 si Samia wala mimi atakayekuwepo duniani

Hakika Magufuli aliposema makaburi yetu yatacharazwa bakora na wajukuu zetu wala hakukosea

TISS kazi yenu kuwafuatilia wapinzani na si uchumi wa nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TISS wapo bize lutafuta kinga ya kutoshtakiwa.

Sisi wananchi ni takataka mbele yao. Wanalinda maslahi ya CCM
 
Nchi haina mwenyewe sasa tiss wanataka kinga ili wawe watekelezaji wa atakayo Rais na CCM.....wana siasa wana kinga kuuza rasilimali zote. N.a. hawataguswaaa ....jeshi wanaona ila watasema hawafanyi siasa lakini nani hasa kusimamia radilimali kubwa kama bandari kuuzwa? Kwakweli hapa Hapana Hapana tujadili kwa mapana yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…