Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

kwamba siutetei upande wowote kwa ushabiki holela bali kwa hoja zenye kujibu naomba ieleweke,

Kusherehekea pesa kama wendawazimu bila kuelewa msingi wake ni utoto na mnaambiwa ukweli taka msitake!!!

Mwendazake alikuwa na plan zake na lkwa hili la leo wenue akili wote tumeelewa kuwa blue paper ya aliyoyafanya ilijulikana na the the top 5 of national authority akiwemo huyo job. Plan iliyokuwa na utaratibu wa kurejesha pesa kwa kupitia maliasili za madini haraka sana , ila hakuweza kisimamia plan hiyo mpaka mwisho kwa yaliyotokea.

Waliokuja, hawana uwezo wa kutembelea kiatu kile kwani uwezo wa kudhibiti maliasili na kuwabana mabebeeu ili kuingiza pesa hawana. Lakini bado tunawataka watekeleze maendeleo waliyoyarithi , hapo ndio kizungumkuti!
Wametapatapahuku na huko, mara tozo mara luku n.k lakini hela haitoshi kuendeleza miradi! Ikabidi wafuate masharti ya mabeberu ili wapate fedha , wananchi muone fly over na ndege mpya lkn njia ya kupatia fedha ilisha badirika.
Kwakuwa waliokuwepo wanajua ilivyokuwa na ilivyosasa, wanaona jinsi picha sasa linavyotisha . Kwa kupata maendeleo yale yale kimikopo bila uwezo wa kudhibiti madini ili kulipa mikopo hiyo jibu lake ni wazi kuwa hiyo ni disaster inakuja.

Hata ukiamgalia lile jiwe lilikuwa halisafiri kwenda magharibi na lilikuwa linajisifu kuwa linaandaa donor country, na mziki ule ilifikia dunia ikauelewa vizuri sana, kwani jiwe linakuambia Nickel ya kagera inatumika kutengeneza ndege na Tz ni ya 3/2 duniani , hellium ni gesi muhimu na Tz ni ya 1 au 2 duniani, bila kutaja madini mengine mengi tuliyonayo kwa wingi. Ukiweza kiyadhiniti vema hata ukope unakuwa na kiburi cha kulipa maana hata matajiri wanaweka akiba ya dhahabu sio minoti tu sasa kama una dhahabu ardhini maana yake unauhakika kuwa wewe una pesa na hakuna mtu mwenye akili anaejua nafasi ya dhahabu katika teknolojia ya uzalishaji na katika matumizi yake kama fedha atakunyima mkopo wowote akijua dhahabu ipo.
Tatizo linakuja kwa wattawala dhaifu ambao ubeberu wanauruhuau tena urudi, hawana udhibiti tena wa madini yetu( pesa yetu) , sasa hata wakikopa deni linakosa uhakika wa kulipwa , nchi ni lazima itapogwa mnada. Hawana jeuri ya kusema tena ," Tanzania ni tajiri".
Tangu tumepata Uhuru Hakuna Rais amekopa pakubwa Kwa Muda mfupi kama Magufuli lakini alikuwa bingwa wa kudanganya anatumia fedha za ndani. Tukahoji mbona deni la nje linaongezeka wakati mnatumia fedha zenu wenyewe? Nakumbuka majibu yenu nyie walamba viatu, mlitwambia kwani Mtu akikopa fedha inakuwa ya Nani? Leo mnataka kutudanganya Jiwe hakukopa? Hebu anzeni upya hizo propaganda wenzenu tuna kumbukumbu ya majibu yenu ya kifedhuli.
 
Nafikiri Watanzania tuamke na tuamue wenyewe aina Gani ya wabunge tunaowataka. Najua buñge la hawamu hii liliamuliwa na watu wachache lakini tusiwe wepesi kukubali kuamuliwa kwa kiasi cha kutisha kama kilivyofanywa na mwenda zake kwa sababu matokeo yake ndio hayo Sasa spika wa buñge naye analialia kama mtoto mdogo angali tushakopa na haitabadilika.

Mimi nilitegemea buñge ndio linapitisha uamuzi wa mwisho kwenye ishu ya mikopo tunayokopa na hapo ndio spika angetia Pini lkn tunabakia kujadili bungeni vitu vya kipuuzi siku nzima sijui mtu Fulani ajengewe sana tunaacha ishu sensitive zinazotakiwa kujadiliwa na wabunge.

Rais na spika wote hawana cha kupoteza walishajitajirisha, wananchi hususani wanyonge km alivyokuwa anawataja JPM ndio tubadilike tujue haki zetu kwa sababu mkwamo ukitokea kutoka na madhara ya mikopo hii ndio tutakao umia zaidi.
 
Sasa sijui anamwambia nani wakati naye ni mhimili katika ile mihimili tuliyonayo....akiamua kutumia mhimili wake kama kweli anaumia nafsini mwake, anaweza kuleta changez ikawa kama toba yake...
Ndugai,ndugai ndugai,

Nakuita tena ndugai acha unafiki wewe mgogo, umebinywa pumbu sasahivi huna pa kusemea sasa unamkabili mama.

Ulitaka kuzuia mama asiwe rais baada ya yule kichaa kukata roho ukashindwa.

Sasa ukae kimya nyambaaafu mkubwa
 
H
Umeandika ujinga mtupu na kishabiki, Jiwe kakopa sana , na hatujui pesa zote kapeleka wapi, alikuwa hatoi ajira, alifukuza wafanyakazi hewa, na alisema tunajenga kwa pesa zetu wenyewe huku akikopa kwa Siri kwa Nini?
Hiyo mikopo ya siri itaje kama wewe sio domokaya?
Ni.mkpo upi ulikuwa wa siri, utaje?
 
Hajaongea kama analaumu,ameongea kuonyesha kwamba serikali huwa inalazimika kukopa kwa sababu Haina namna nyingine ya kuweza kugharamia maendeleo,
Na anaonyesha jinsi bunge lilivyokuwa kwenye wakati mgumu wa kupitisha
Nadhan wewe umeelewa context ya speech ya Ndugai 👏👏👏 maana naona kuna vilaza hapo wameigeuza hiyo speech kama ni ugomvi au mgogoro wakati si kweli nadhan ni kutokana na uelewa mdogo
 
Kalamu ya Baba Askofu Benson Lwakalinda Bagonza

UMOJA au UHURU WA MIHIMILI?!

Spika kakosoa.
Rais kajibu.
Nani yuko sahihi?

Ugumu uko hapa:

1. Ukiishakuwa kiongozi unapoteza haki ya kulalamika. Rais kaonyesha uongozi kwa kukopa. Spika kapoteza uongozi kwa kulalamika.

2. Tunahitaji uhuru wa mihimili siyo Umoja wa mihimili. Maslahi ya walipa Kodi yapo katika uhuru wa mihimili si Umoja wa mihimili.

3. Watawala wasipigane vijembe. Simba akinguruma anamsaidia mwindaji ajue mahali Simba alipo. Rais azingatie moyoni.

4. Spika kapatia kutujulisha hatari za mikopo. Atujulishe na hatari ya kulipa mishahara wasio wabunge. Amalizie kutujulisha uhalali wa sheria zinazotungwa na wasio wabunge.

5. Mikopo ikisababisha nchi ipigwe mnada, bunge na mahakama watakosa uhalali wa kutumia sheria zilizotungwa na wasio wabunge.

6. Spika anashabikia tozo kuliko mikopo. Tozo ni maumivu yetu. Zimeua matumaini ya kuishi ili tuweze kwenda madarasa yanayojengwa na tozo.

6. Tukumbushane: Wakikosekana wapinzani wa kweli, CCM itatengeneza wake wa ndani. Tumempata Kiongozi Mkuu wa upinzani bungeni. Mmemwona? Vaeni miwani.

CCM imara inahitaji Upinzani Imara siyo upinzani wa ndani.

Kazi Iendelee.
 
Nadhan wewe umeelewa context ya speech ya Ndugai 👏👏👏 maana naona kuna vilaza hapo wameigeuza hiyo speech kama ni ugomvi au mgogoro wakati si kweli nadhan ni kutokana na uelewa mdogo
Maza mwenyewe amemuelea nduga tofauti unalipata hilo Budda...
 
Anacho maanisha ndugai ni kuwa hawa jamaa wa kambi mizoga wao ni vibaraka wa mabeberu na hawana uwezo wa kudhibiti maliasili za taifa hili dhidi ya mabeberu.
Tunapoongelea kitu kinachoitwa "mkopo" kila mtu anajua kwamba nyuma ya mkopo kuna jambo linaitwa " dhamana", kama wewe huna ujasiri wa kukinga kifua mbele ya mabeberu kuidhibiti maliasili yako basi wewe dhamana ya mikopo yako inakuwa ni tofauti kabisa, ni masharti magumu , yanayoweza kusababisha nchi ikauzwa.
Kama nina dhahabu ndani na nimeishiwa chakuka nikikopa mchelle dukani halafu wewe up kanicheka eti najitamba kuwa nina hela, wakati nimekopa , ni ujinga wako tu ndio Unakusumbua.
Kabla ya kuanza kutumika haya makaratasi dhahabu ndio ilitumika kubadirishana kama fedha duniani. Na hata leo mabenki wanahifadhi dhahabu pia sio manoti peke yake, matajiri unaowajua awe mo, mengi, bakhresa n.k wote huweka akiba ya dhahabu sio minoti tu. Hii ni dunia nzima.
Ni majuha sisi watz, kwamba tuna dhahabu ardhini ya kutosha lakini bado tunajiona sisi ni maskini, hili ndio alikuwa analisema magufuli , marehemu. Maana inakuwaje benki za ulaya , matajiri wote mpaka wafalme wote wahesabu dhahabu zao katika utajiri wao halafu wewe uwe na dhahabu nyumbani kisha ujiite wewe ni maskini, huo ni ujuha aliokuwa anaushangaa magufuli, ni akili ya kurogwa na mabeberu na kundi lao la mizoga.
Hivyo mru mwenye uwezo wa kudhibiti madini, huyo ana pesa,huyo ni tajiri, usimuige wewe kibaraka wa mabeberu unaejiuza utashi wako kwa kujipendekeza kwao kila uchao utatumia vipi madini Yako kama dhamana , lazima nchi itauzwa tu,
Wengine na ona wanaathari za awanu #5,Tena zenye chembe chembe za ubaguzi, ama maslahi yamepungua ama mrengo waliouchagua kiitikadi
 
nimwelewe Nini hapa ? Kwani kipindi Cha jiwe madini hayakuwepo, lakini alikopa , alidhibiti madini wakati hana hata ujuzi wowote wa hayo madini kuyatumia au kuyaprocess. Siwezi mwelewa mtu anaye msifu na kumwadu jiwe.
Mh!! Bado tu hujaona logic ya mtoa mada Hadi Sasa!! Kweli tumeumbwa tofauti Sana!.
 
H

Hiyo mikopo ya siri itaje kama wewe sio domokaya?
Ni.mkpo upi ulikuwa wa siri, utaje?
Ni lini jiwe alisema amekopa zaidi ya kudanganya raia kuwa tunajenga kwa pesa zetu wenyewe, na mjinga kama wewe ukaamini kuwa tunajenga kwa pesa zetu , wakati tuna import kwa karibu asilimia zote.
 
Back
Top Bottom