Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Palipo mzoga mama hakosekani nyuma yake. Naona Lisu akiwa kwenye full khaki mpaka safari boots (clacks)

A0BC17D7-F9FA-4320-8A2F-0EB2E6FF130D.jpeg
 
Kwa mara ya kwanza Ayoub ameonesha msimamo wa Bunge kama Mhimili huru unaojitegemea [emoji123]

Super kabisa!
Huo msimamo kauonyesha wapi? Mwenzio huenda mwezi mchanga subiri pakuche aje kuomba radhi
 
Uongo ukisemwa sana mwishoni huonekana kuwa ni ukweli. Hata kama hoja zao zikiwa zina kaukweli ukweli , maana hatujui bado utata ni mwingi kila mtu anavutia ngozi kwake, lakini tuangalie their major goal! Lengo lao sio.zuri, wote tunawajua nia zao, team mizoga , lengo kuu nyuma yao ni kujenga ufalme wao wakifisadi nchi hii!
Tumeshasikia kauli zao kuwa ccm ina wenyewe n.k tunawajua vizuri team mizoga, tusiwakubalie kamwe!!!!!
Tusikae kimya hilo ni kosa kubwa, maneno huumba, watafanikiwa kuwadanganya watu hawa waovu tutakuja kujuta hapo 2025.
Tusiangalie wasifu wa mtu , hapa sio swala la polepole ni nani wala ndugai ana sifa gani, hapa ni swala la misingi, misimamo, heshima na mustakabali wa taifa hili. Tutafute muafaka wa matatizo yetu bila kuruhusu matatizo yetu kutumiwa na mafisadi wa ndani Tanzania kutupiga mnada watanzania ili wao wajenge falme zao. Nadhani mmesahau kuwa watemi wa zamani walikuwa wao ndio wanaowauzia waarabu na wazungu watumwa kabla wakoloni hao hawajanogewa na kuanza kupora watu kwa nguvu. Hawa hawatabaki salama ila wao wataumia baadae sana wakati wameshatumaliza sisi iwapo hatutachukua hatua,

NDUGAI KASHAWAONYA , MSIJEKUSEMA HAMKUAMBIWA.
Hayatuhusu. Pambaneni wenyewe.
 
Hata wewe ukiiga kelele inatosha. Ila kwasisi tulioumizwa na mwendazake akiwatumia kina Sirro, Kingai, Goodluck, Jumanne, Makonda na Sabaya tunahisi kama unatupiga kelele tu. Huwezi kututesa kwakisingizio cha uzalendo.
 
Uongo ukisemwa sana mwishoni huonekana kuwa ni ukweli. Hata kama hoja zao zikiwa zina kaukweli ukweli , maana hatujui bado utata ni mwingi kila mtu anavutia ngozi kwake, lakini tuangalie their major goal! Lengo lao sio.zuri, wote tunawajua nia zao, team mizoga , lengo kuu nyuma yao ni kujenga ufalme wao wakifisadi nchi hii!
Tumeshasikia kauli zao kuwa ccm ina wenyewe n.k tunawajua vizuri team mizoga, tusiwakubalie kamwe!!!!!
Tusikae kimya hilo ni kosa kubwa, maneno huumba, watafanikiwa kuwadanganya watu hawa waovu tutakuja kujuta hapo 2025.
Tusiangalie wasifu wa mtu , hapa sio swala la polepole ni nani wala ndugai ana sifa gani, hapa ni swala la misingi, misimamo, heshima na mustakabali wa taifa hili. Tutafute muafaka wa matatizo yetu bila kuruhusu matatizo yetu kutumiwa na mafisadi wa ndani Tanzania kutupiga mnada watanzania ili wao wajenge falme zao. Nadhani mmesahau kuwa watemi wa zamani walikuwa wao ndio wanaowauzia waarabu na wazungu watumwa kabla wakoloni hao hawajanogewa na kuanza kupora watu kwa nguvu. Hawa hawatabaki salama ila wao wataumia baadae sana wakati wameshatumaliza sisi iwapo hatutachukua hatua,

NDUGAI KASHAWAONYA , MSIJEKUSEMA HAMKUAMBIWA.
Mbona husemi tuandike katiba unaogopa nini?
 
Picha na maelezo kila kitu upande wake. Aliyeelewa vema anifafanulie.
 
Nilikuwa najiuliza , ni fedheha ya namna gani hii tuliyopata nchi hii , yaani kwa miaka mitano tukatengeneza heshima kubwa katika taifa hili kwa namna ya miujiza kweli. Mataifa yote yakatishangaa jinsi tulivyoonesha misimamo . Kiasi kwamba hata alipofariki jamaa nusu ya ulimwengu walifuatilia jambo lile!!!

Baada ya miezi sita tu misimamo yote ilkavurugwa hadharani peupe, mbele ya ulimwengu wote bila ya aibu.! Mpaka ile ambayo inajulikana kuwa ni misimamo ya kimaadili ya taifa hili kulingana na utamaduni wetu wa maisha yote. Tena aliyeisimamia akatukanwa hafharani ili kuwafurahisha hao mabeberu , kama vile mkeo anapoambiwa akutukane na mchepuko wake wakati wamenogewa!!!!
Hii kwa kweli imekuwa ni aibu na fedheha kubwa kwa watanzania wote tuliokuwa tunajua sasa heshima yetu imerudi ulimwenguni!! Kwa kweli imekuwa ni fedheha kubwa na nilikuwa najiuliza wazee hawa na mbupu zao waliokulia katika maadili ya mababu wanakubalije upuuzi mkubwa namna hii!!! Wazee ambao bado wapo, wengine walikuwepo wakati wa uhuru, wengine walipigana vita ya kagera, wazee walioivishwa ndani ya azimio la arusha katika uzalendo wa kweli, wanakubalije misingi ya heahima ya taifa hili inadhalilishwa mchana peupe mbele ya ulimwengu mzima?????
Hii sio Tanzania iliyokombolewa chini ya uongozi wa mwalimu JK ! Na haya sio maadili aliyotuachia baba yetu JK hata ukisikiliza wosia wake leo hii utalielewa hilo.
Ndugai umetukonga moyo watanzania. Mi nilijua kuwa ni swala la muda tu, nilijua pia kuwa haiwezekani polepole awe peke yake kwenye hili, wajinga wanafikiri hivyo.
Najua wazee mpo ila busara zenu ndio ziliwafanya mtulie kwanza msiba uishe , tuanue matanga. Ni tofauti na hao vichaa, ambao msiba haujaisha kwa uchu , chuki, na tamaa za kifisadi wakaanza vurugu mbele ya dunia nzima. Hakika wamezidi kulidhalilisha taifa la Nyerere.!!!!!!
Lakini kwa kuwa sasa matanga yameisha, naona wazee mmeanza kutuma wajumbe wenu , hakika watanzania tumewaelewa wazee na tupo tayari kuitetea heahima ya taifa letu hili.
Tupo tayari, andaeni nondo za maana za kuwatwangia mafisadi hawa , ngoma ya watoto haikeshi, hawana baraka za wazee hao. TUANDALIENI VIJANA WALIOKATAA UPUMBAVU WAO , VIJANA WANAOPENDA UZALENDO, ILI WAPOKEE MADARAKA 2025.
Ndugai na wazee mmeanza kutukonga moyo.........VIVA !!!!!!!


Siku mkiacha kuita unafiki kuwa ni uzalendo angalau nitajaribu kuwasikiliza Joshua. Ila kwa huu upuuzi na uovu mlioufanya past 5 yrs na mnachotaka tuwaamini sasa umechemka. Ni zero kama Sirro
 
Uongo ukisemwa sana mwishoni huonekana kuwa ni ukweli. Hata kama hoja zao zikiwa zina kaukweli ukweli , maana hatujui bado utata ni mwingi kila mtu anavutia ngozi kwake, lakini tuangalie their major goal! Lengo lao sio.zuri, wote tunawajua nia zao, team mizoga , lengo kuu nyuma yao ni kujenga ufalme wao wakifisadi nchi hii!
Tumeshasikia kauli zao kuwa ccm ina wenyewe n.k tunawajua vizuri team mizoga, tusiwakubalie kamwe!!!!!
Tusikae kimya hilo ni kosa kubwa, maneno huumba, watafanikiwa kuwadanganya watu hawa waovu tutakuja kujuta hapo 2025.
Tusiangalie wasifu wa mtu , hapa sio swala la polepole ni nani wala ndugai ana sifa gani, hapa ni swala la misingi, misimamo, heshima na mustakabali wa taifa hili. Tutafute muafaka wa matatizo yetu bila kuruhusu matatizo yetu kutumiwa na mafisadi wa ndani Tanzania kutupiga mnada watanzania ili wao wajenge falme zao. Nadhani mmesahau kuwa watemi wa zamani walikuwa wao ndio wanaowauzia waarabu na wazungu watumwa kabla wakoloni hao hawajanogewa na kuanza kupora watu kwa nguvu. Hawa hawatabaki salama ila wao wataumia baadae sana wakati wameshatumaliza sisi iwapo hatutachukua hatua,

NDUGAI KASHAWAONYA , MSIJEKUSEMA HAMKUAMBIWA.
Pumbavu kabisa takataka ya Sukuma gang.

Muwahisheni huyo kichaa mwenzenu Milembe where he deserve.
 
Kuna watu hawaamini kuna maisha nje ya ccm kila siku ni kuja hapa kulia lia tu,

tuandike katiba mpya ambayo itakuwa tume huru, kama kuna wahuni automatically tutawaondosha kwa katiba
 
Tulieni na mvumiliane huko ndani ya chama. Maisha ni kuvumilia
 
Matatizo yanayoikabili Tanzania ni Maradhi,Ujinga,Umasikini na la nne ni " fitina na unafiki".
Maadui kwa sasa ni wanne sio watatu
 
Uongo ukisemwa sana mwishoni huonekana kuwa ni ukweli. Hata kama hoja zao zikiwa zina kaukweli ukweli , maana hatujui bado utata ni mwingi kila mtu anavutia ngozi kwake, lakini tuangalie their major goal! Lengo lao sio.zuri, wote tunawajua nia zao, team mizoga , lengo kuu nyuma yao ni kujenga ufalme wao wakifisadi nchi hii!
Tumeshasikia kauli zao kuwa ccm ina wenyewe n.k tunawajua vizuri team mizoga, tusiwakubalie kamwe!!!!!
Tusikae kimya hilo ni kosa kubwa, maneno huumba, watafanikiwa kuwadanganya watu hawa waovu tutakuja kujuta hapo 2025.
Tusiangalie wasifu wa mtu , hapa sio swala la polepole ni nani wala ndugai ana sifa gani, hapa ni swala la misingi, misimamo, heshima na mustakabali wa taifa hili. Tutafute muafaka wa matatizo yetu bila kuruhusu matatizo yetu kutumiwa na mafisadi wa ndani Tanzania kutupiga mnada watanzania ili wao wajenge falme zao. Nadhani mmesahau kuwa watemi wa zamani walikuwa wao ndio wanaowauzia waarabu na wazungu watumwa kabla wakoloni hao hawajanogewa na kuanza kupora watu kwa nguvu. Hawa hawatabaki salama ila wao wataumia baadae sana wakati wameshatumaliza sisi iwapo hatutachukua hatua,

NDUGAI KASHAWAONYA , MSIJEKUSEMA HAMKUAMBIWA.
So wewe ni sukuma gang?
 
Uongo ukisemwa sana mwishoni huonekana kuwa ni ukweli. Hata kama hoja zao zikiwa zina kaukweli ukweli , maana hatujui bado utata ni mwingi kila mtu anavutia ngozi kwake, lakini tuangalie their major goal! Lengo lao sio.zuri, wote tunawajua nia zao, team mizoga , lengo kuu nyuma yao ni kujenga ufalme wao wakifisadi nchi hii!
Tumeshasikia kauli zao kuwa ccm ina wenyewe n.k tunawajua vizuri team mizoga, tusiwakubalie kamwe!!!!!
Tusikae kimya hilo ni kosa kubwa, maneno huumba, watafanikiwa kuwadanganya watu hawa waovu tutakuja kujuta hapo 2025.
Tusiangalie wasifu wa mtu , hapa sio swala la polepole ni nani wala ndugai ana sifa gani, hapa ni swala la misingi, misimamo, heshima na mustakabali wa taifa hili. Tutafute muafaka wa matatizo yetu bila kuruhusu matatizo yetu kutumiwa na mafisadi wa ndani Tanzania kutupiga mnada watanzania ili wao wajenge falme zao. Nadhani mmesahau kuwa watemi wa zamani walikuwa wao ndio wanaowauzia waarabu na wazungu watumwa kabla wakoloni hao hawajanogewa na kuanza kupora watu kwa nguvu. Hawa hawatabaki salama ila wao wataumia baadae sana wakati wameshatumaliza sisi iwapo hatutachukua hatua,

NDUGAI KASHAWAONYA , MSIJEKUSEMA HAMKUAMBIWA.
Ukweli ni kwamba
1.Tusikope bila kuchukua tahadhari.
2. Tusikope ili kujenga matundu ya vyoo.
Hata katika individual level tu, huwezi kwenda benki kuchukua mkopo ili kujenga choo.
Hata ukichukua mkopo wa kujenga nyumba ya kuishi, isiyokuwa ya kibiashara, lazima uishie kuwa stagnant kiuchumi.
Madhara ya mikopo iliyopita kiasi ni wakopeshaji wa kimataifa baada ya deni lako kuwa kubwq, watakuja na masharti kama vile;
1. Binafsisha(Uza) shirika la ndege ATCL tulilolifufua kwa gharama kubwa kisa tu watasema kwa sababu linajiendesha kwa hasara. Wape sekta binafsi wafanye reforms.
2. Binafsisha(Uza) shirika la simu TTCL kwa sababu lina Ukwasi hasi. Binafsisha ili lipate mtaji kutoka private sector.
3. Binafsisha(uza) reli na miundo mbinu yake, matreni nk kwa kuwa linajiendesha kwa kusua sua. Sekta binafsi wataboresha uendeshaji na kuleta technolojia mpya.
4. Uza shirika la Umeme, TANESCO kwa wazalishaji binafsi ya umeme kwa sababu uendeshaji wake unasuasua na linazidi kulikamua serikali na hivyo kushindwa kurejesha mikopo yake kwa wakati.
5 Futilia mbali baadhi ya Taasisi za umma ili kuipunguzia serikali mzigo.
4. Punguza enrollment katika vyuo vikuu ni kupunguza mzigo wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Watakuambia pandisha ngazi ya kufaulu kwenda chuo kikuu. Anzisha private financed students programme katika vyuo vikuu.
5. Watakuambia ongeza adda ya vyuo vikuu, vijiendeshe bila kutegeme ruzuku hata kidogo kutoka serikalini.
6. Watakuambia punguza baadhi ya halmashauri.
7 Watakuambia usianzishe maeneo mapya ya utawala.
8. Watakuambia baadhi ya barabara zianze kulipiwa kama tunavyolipua daraja la kigamboni.
9. Watakuambia jitoe katika baadhi ya mashirikiano ya kikanda ili ile ada tunayolipa itumike kuserve debt. Hapa tutaambiwa tuchague moja kati ya SADC au SADC au Great Lakes region
10. Watakuambia punguza watumishi katika sekta ya umma. Watakuambia sehemu ya makusanyo unatumia kulipa mishahara.
11. Watakuambia uza baadhi ya hospitali za rufaa.
12. Watakuambia uwape msamaha wa kidi wawekezaji ili waje kwa wingi baada ya muda waanze kulipa kodi upate mapato.
13.....


Na mengine mengi.

Cha muhimu tukope kwa tahadhari.
 
Kwa mara ya kwanza Ayoub ameonesha msimamo wa Bunge kama Mhimili huru unaojitegemea [emoji123]

Super kabisa!
Hana lolote zaidi ya uchonganishi tu.
Ameongea hivyo aonekane mwema kwa wanyonge huku akijua hana chakupoteza kuelekea kustaafu 2025.
Angekuwa awamu ya kwanza uspika hangeropoka hivyo.
 
Back
Top Bottom