Job Ndugai ni Shujaa wa Historia-Anatuonesha Matobo na Udhaifu wa Samia Suluhu

Wewe kama mwananchi wa kawaida inakupasa kufurahia mgongano wao wa kimaslahi ambao ndio pekee unaoweza kukufanya wewe mnyongwaji ukazijua mbivu na mbichi za pande zote nyongaji.
 
Ndugai angeanza na magufuli.
Na ndo maana hata pole pole tumemkataa.
Siku zote alikuwa wapi?
Je kweli shida ni mikopo ya Samia au Kuna lingine nje ya mikopo?
Wewe kama mwananchi wa kawaida inakupasa kufurahia mgongano wao wa kimaslahi ambao ndio pekee unaoweza kukufanya wewe mnyongwaji ukazijua mbivu na mbichi za pande zote nyongaji.
 
Ndugai angeanza na magufuli.
Na ndo maana hata pole pole tumemkataa.
Siku zote alikuwa wapi?
Je kweli shida ni mikopo ya Samia au Kuna lingine nje ya mikopo?
Samia hakuwepo enzi ya Magufuli au umejisahaulisha, aliposema walengaji wa serikali hawawezi kosea shabaha risasi zote zile kwa Lisu alilazimishwa? Mpango hakuwepo enzi za Mwamba? Shehe yule yule kanzu tu ndio mpya na bado watu wanaimani! Duh!
 
Kwani Samia amekwambia yeye ni MSAFI?
Samia mwenyewe Ana machafu yake tunamlia timing tu.
Acha tumalizane na Hawa dagaa kwanza.
Hata Samia nae atalipwa ni suala la muda tu.
Samia hakuwepo enzi ya Magufuli au umejisahaulisha, aliposema walengaji wa serikali hawawezi kosea shabaha risasi zote zile kwa Lisu alilazimishwa? Mpango hakuwepo enzi za Mwamba? Shehe yule yule kanzu tu ndio mpya na bado watu wanaimani! Duh!
 
Hivi unawezaje kuwaza 2025 kama vile una ahadi na Mungu?Ndiyo maana mm siwezi Siasa.2025 is still too far,for me,to start thinking about it.
 
Wapinzani si ndio hao kina Lema wanaoshangilia?

Ndugai hata asipoungwa mkono sawa tu. Lakini vipi hoja yake na kushambuliwa kwa bunge
 
Ishujaa huo Kwio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mshaambiwa hiyo pesa 1.3 T sehemu yake imeenda lipia Madeni ya nyuma yaliyoiva yenye riba.
 
Kilichomponza Mzee Job ni matendo yake ya nyuma na historian yake ya kuiza wengine,
 
Kifo cha ccm kitaletwa na katiba yao ya chama
 
Hoja yake ni nzuri kweli sema uwasilishaji wake ndio haukuwa sawa angeongelea mikopo kwa ujumla sio kumshambulia Samia na hizi 1.3bn. Na aliongea kwa kibri sana pia body language yake ilionyesha dharau ya wazi wazi.
Ndugai alichukua nafasi ya JPM
 
Naomba ufanye utafiti wa kutosha juu ya tozo na deni la 1.3 vinginevyo utajiburudisha kwa upumbavu wako,jiulize tozo inaleta kiasi gani?,je hizo tozo pekee zinatosha?pia kumbuka kuwa tozo imepita kamati ya bajeti,mkopo pia umepita kamati ya bajeti,unadhani hao wote ni wajinga?
Spika amelikoroga

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣👇
Your browser is not able to display this video.
 
Trilioni 11 kwa miezi sita. Hujaleta matumizi ya hizo pesa baada ya kuwa zimekusanywa. Kuendesha serikali ni kazi ngumu sio nyepesi kama kukosoa.

Mradi wa ujenzi wa reli ya SGR ni trilioni 14, huwezi kuzikusanya kwa kutegemea hizi tozo za maongezi ya simu, itatuchukua miongo na miongo kuweza kuumaliza huo mradi.
 
Huku ni kujifariji,shujaa huwa hajiudhuru wala kulazimishwa kuomba msamaha..

Akachukue uzoefu kwa Nape ,naye alikuizulu uwaziri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…