Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Upo sahihi mkuu! Tena Ihefu ni timu bora kuliko hiyo Mamelody yao!Kwenye soka chochote kinaweza kutokea ,Ihefu alikuwa anamsumbua sana Yanga ,lakini Juzi amelamba KONO LA NYANI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi mkuu! Tena Ihefu ni timu bora kuliko hiyo Mamelody yao!Kwenye soka chochote kinaweza kutokea ,Ihefu alikuwa anamsumbua sana Yanga ,lakini Juzi amelamba KONO LA NYANI.
Mbumbumbu katika ubora wao. Tumeshawazoea. Ilianzia Club Africain, ikaja Rivers United , Marumo Gallants. Mmeshaambiwa semeni mapema akipigwa mtu mtaanza oooh hii si Mamelodi original walichezesha kikosi cha yosso etc. Uso wa binadamu umeumbwa na haya kwani ukikaa kimya utapoteza nini?Mamelodi siyo marumo stuka utanjinyea,
Hawa ni Masandawana wazee wa kukanda
Sisi hatunaga maneno mengi, hata tukikomea robo 🐸🐸 ndio hugeuka kuwa wasemaji wetu yaani ni full mikoromo 😅Makolo mmekwisha ...Kwa Al ahly
Hata Simba alivyofungwa 5-1 magoli ya mchongo au siyo??Achana na maigizo hayo goli zote za mchongo mf. Goli la tano
Hata Simba alipitishiwa bahasha akaruhusu goli 5 au sio???Baada ya M'gul chmb kutembelea kambi yao kabla ya mechi
NdioooHata Simba alivyofungwa 5-1 magoli ya mchongo au siyo??
ZiiiiiWhat's this??
Yesu akusamehe.Ndiooo
Wewe Mungu akulaaniYesu akusamehe.
Astaghafirullah!!Wewe Mungu akulaani
Mlipigwa na Boulzdad 3-0 baada ya kuifunga Mediama na Boulzdad mkajua na Al Ahly mtaenda kuifunga matokeo yake mefungwa Misri kimya.YANGA NDIO TIMU PEKEE YA TANZANIA AMBAYO INAWEZA KUCHEZA NA MAMELOD SUNDOWNS
"Daraja la ubora wa Mamelodi liko juu zaidi kuliko Yanga, lakini ukitazama mara ya Mwisho Mamelod kubwa bingwa ni 2016 toka hapo Amefika Nusu fainali mara mbili tu, mara zote amekuwa akiishia hatua ya robo fainali.
"Kumtoa Mamelod inawezekana lakini inapaswa kuwa na mpango mkakati zaidi, Ukweli ubora wa Mamelod kuheshimika Kwa kufanya ulinganisho wa vikosi vyote viwili.
"Ubora wa Yanga inaweza kuitoa Mamelod Sundowns na Yanga hii ndio timu pekee kutoka Tanzania ambayo inaweza kuwatoa Mamelod kutokana na ubora wao".
George Job (Wasafi FM) akizungumza kuelekea mchezo wa Yanga dhidi ya Mamelod kwenye robo fainali ligi ya Mabingwa Barani Africa.
Sio mbaya.. mamelodi wakija wanapigwa mnara ✋Mlipigwa na Boulzdad 3-0 baada ya kuifunga Mediama na Boulzdad mkajua na Al Ahly mtaenda kuifunga matokeo yake mefungwa Misri kimya.
Kama mechi zote za makundi meshinda nyumbani halafu mnasema mnaifunga Mamelody nje ndani. Ngoja tuone😀😀😀
Unajisifu kuifunga Ihefu😀😀😀😀😀Kwenye soka chochote kinaweza kutokea ,Ihefu alikuwa anamsumbua sana Yanga ,lakini Juzi amelamba KONO LA NYANI.