Job: Ni Yanga pekee inayoweza kumkanda Mamelodi Kwa Tanzania hapa

Job: Ni Yanga pekee inayoweza kumkanda Mamelodi Kwa Tanzania hapa

Unajisifu kuifunga IhefuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mbona mlishindwa kuifunga Al Ahly kama kweli Yanga inapiga mpira?
Unajua katika timu zilizofungwa magoli mengi Champion League Yanga naye yumo?

Sasa mbona ilipotufunga Ihefu mlishangilia Sana?

Kama Simba iliifunga Al Ahly na Yanga ikaipiga Kono La nyani Simba ,Al Ahly ni mchumba tu.

Magoli mengi yanaanzia mangapi? Kufungwa kufungwa tu.
 
Y
YANGA NDIO TIMU PEKEE YA TANZANIA AMBAYO INAWEZA KUCHEZA NA MAMELOD SUNDOWNS​

"Daraja la ubora wa Mamelodi liko juu zaidi kuliko Yanga, lakini ukitazama mara ya Mwisho Mamelod kubwa bingwa ni 2016 toka hapo Amefika Nusu fainali mara mbili tu, mara zote amekuwa akiishia hatua ya robo fainali.

"Kumtoa Mamelod inawezekana lakini inapaswa kuwa na mpango mkakati zaidi, Ukweli ubora wa Mamelod kuheshimika Kwa kufanya ulinganisho wa vikosi vyote viwili.

"Ubora wa Yanga inaweza kuitoa Mamelod Sundowns na Yanga hii ndio timu pekee kutoka Tanzania ambayo inaweza kuwatoa Mamelod kutokana na ubora wao".

George Job (Wasafi FM) akizungumza kuelekea mchezo wa Yanga dhidi ya Mamelod kwenye robo fainali ligi ya Mabingwa Barani Africa.

Yanga ipi ya kumtoa mamelodi? Geita tu hapo jana imemtoa kamasi
 
Sasa mbona ilipotufunga Ihefu mlishangilia Sana?

Kama Simba iliifunga Al Ahly na Yanga ikaipiga Kono La nyani Simba ,Al Ahly ni mchumba tu.

Magoli mengi yanaanzia mangapi? Kufungwa kufungwa tu.
Kama Yanga iliifunga Simba 5-1 na Simba ilitoka na Al Ahly 2-2 na Misri 1-1 halafu.
Boulzdad na Al Ahly walitoka home and away bila kufungana. Ila Yanga akapigwa 1-0 πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hadi timu mbovu zinatoka suluhu na Al Ahly ila timu inayojifanya inajua kucheza mpira ilifungwa 3-0 na Boulzdad na ilifungwa na Al AhlyπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Back
Top Bottom