Job: Ni Yanga pekee inayoweza kumkanda Mamelodi Kwa Tanzania hapa

Mamelodi siyo marumo stuka utanjinyea,

Hawa ni Masandawana wazee wa kukanda
Mbumbumbu katika ubora wao. Tumeshawazoea. Ilianzia Club Africain, ikaja Rivers United , Marumo Gallants. Mmeshaambiwa semeni mapema akipigwa mtu mtaanza oooh hii si Mamelodi original walichezesha kikosi cha yosso etc. Uso wa binadamu umeumbwa na haya kwani ukikaa kimya utapoteza nini?
 
Mlipigwa na Boulzdad 3-0 baada ya kuifunga Mediama na Boulzdad mkajua na Al Ahly mtaenda kuifunga matokeo yake mefungwa Misri kimya.
Kama mechi zote za makundi meshinda nyumbani halafu mnasema mnaifunga Mamelody nje ndani. Ngoja tuoneπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Sio mbaya.. mamelodi wakija wanapigwa mnara βœ‹
 
Kwenye soka chochote kinaweza kutokea ,Ihefu alikuwa anamsumbua sana Yanga ,lakini Juzi amelamba KONO LA NYANI.
Unajisifu kuifunga IhefuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mbona mlishindwa kuifunga Al Ahly kama kweli Yanga inapiga mpira?
Unajua katika timu zilizofungwa magoli mengi Champion League Yanga naye yumo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…