Job: Ni Yanga pekee inayoweza kumkanda Mamelodi Kwa Tanzania hapa

Unajisifu kuifunga IhefuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mbona mlishindwa kuifunga Al Ahly kama kweli Yanga inapiga mpira?
Unajua katika timu zilizofungwa magoli mengi Champion League Yanga naye yumo?

Sasa mbona ilipotufunga Ihefu mlishangilia Sana?

Kama Simba iliifunga Al Ahly na Yanga ikaipiga Kono La nyani Simba ,Al Ahly ni mchumba tu.

Magoli mengi yanaanzia mangapi? Kufungwa kufungwa tu.
 
Y
Yanga ipi ya kumtoa mamelodi? Geita tu hapo jana imemtoa kamasi
 
Sasa mbona ilipotufunga Ihefu mlishangilia Sana?

Kama Simba iliifunga Al Ahly na Yanga ikaipiga Kono La nyani Simba ,Al Ahly ni mchumba tu.

Magoli mengi yanaanzia mangapi? Kufungwa kufungwa tu.
Kama Yanga iliifunga Simba 5-1 na Simba ilitoka na Al Ahly 2-2 na Misri 1-1 halafu.
Boulzdad na Al Ahly walitoka home and away bila kufungana. Ila Yanga akapigwa 1-0 πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hadi timu mbovu zinatoka suluhu na Al Ahly ila timu inayojifanya inajua kucheza mpira ilifungwa 3-0 na Boulzdad na ilifungwa na Al AhlyπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…