jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Nani huyo na kwanini?Mtu kisha pigwa KO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani huyo na kwanini?Mtu kisha pigwa KO.
Maswali kama haya mlijiuliza pia wakati wa Obama.Kwanini Democrats wameamua kuuza nafasi kirahisi hivyo kwa kumsimamisha Kamala? Tangu lini Us rais akawa mwanamke?
baada ya kushindwa kumdunga risasi mpinzani wake.Joe Biden kajiondoa kugombea tena urais!!
Agenda 47 is Trump's plan not Project 25Go check it out and come back…
![]()
About Project 2025 | Project 2025
The actions of liberal politicians in Washington have created a desperate need and unique opportunity for conservatives to start undoing the damage the Left has wrought and build a better country for all Americans in 2025. It is not enough for conservatives to win elections. If we are going to...www.project2025.org
Project 2025 - Wikipedia
en.wikipedia.org
Mamba kama mnyama au yenye "w" kama mwamba?Trump mamba
Damn😀🤦🏾♂️Agenda 47 is Trump's plan not Project 25
So what did you want to talk about project 25?
Wacha weeh! Unaongea kutokea wapi?😀baada ya kushindwa kumdunga risasi mpinzani wake.
JESUS IS LORD&SAVIOR
Hii ilikuwa mbinu ya kumpumzisha ili wafanye yao. Alipokwenda kupumzika ndo wakapata nafasi ya kumwambia ukweli, Mzee kawa pembeni.Ndo wanasema covid, huu si ni utapeli huu
Mamba kama mambaMamba kama mnyama au yenye "w" kama mwamba?
huku KakonkoWacha weeh! Unaongea kutokea wapi?😀
Na kweli, akikudaka huponyoki toka kinywani mwake.Mamba kama mamba
Joe mikwara yote leo kasalimu amri kwa mtukufu TrumpNa kweli, akikudaka huponyoki toka kinywani mwake.
Biden kaamua haraka? Miezi mitatu kabla ya uchaguzi ndo haraka kweli?Wenzetu wanaamua mambo haraka, sisi unang'ang'ania mpaka ufie ofisini. Wazungu ni akili kubwa.
Uebert angelHatari sana kuna utabiri wa mwamba naona umetimia
You have very little understanding of American politicsDamn😀🤦🏾♂️
I bet you didn’t bother to read. Use google. Make it your dear friend.
Hii New York times walisema jana asubuhi kabla hajaachia ngazi,hili gazeti naliamini mambo ya ndani ya AmericaSoma uzi kuna link ya page yake ya X usisome kichwa cha habari.
You don’t have any understanding of American politics.You have very little understanding of American politics