TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu wana mioyo mepesi
Jambo kwako unaweza liona
Dogo lakini likimtokea mwengine
Anajiua!
Ndomana kuna wakati mwingine sisi tunajiona kama makambale

Ova
 
Yule bwege alikuwa anajifanya mtu wa sarakasi na mazingaombwe..alikaa ICU siku mbili akarudi kwa BABA
Poor calculation of momentum, Mass×speed maji kwenye tenki yalikua hayatoshii, ilitakiwa yawe more than 10 meter deep,ili yamacomodate, Lakini akaenda ku crush chini ya tank, [emoji24][emoji24] Elimu ni muhimu
 
Not to that extent of suicide mission,yule ana gari kabisa, [emoji137] kuna roho zili mdrive tu [emoji24][emoji24]
Mim naamin ktk depression na dalili zake na wewe endelea kuamin kuwa ni roho mkuu.

Ingekua kuwa na magari ndo kuyapatia maisha basi hamna siku ningekua nakosa usingizi kwa mawazo.
 
Hakuna maajabu juu ya kifo cha Joel , kuna wakati binadamu tunakutana na malaika mtoa roho , anatupeleka kuzimu muda wowote ebu angalia hiyo video jinsi Binadamu tulivyo na changamoto.
 

Attachments

  • kajirusha.mp4
    4.7 MB
Amesahau kuuliza ile simu ya mwisho alikuwa anaongea na nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…