Tetesi: Joel Nanauka kumrithi Kinana CCM

Za ndani kabisa Makamu anawez kuwa gen z stivu aliyekuwa ameongoza jopo kwenda Korea.
 
Akiwa Makamu Mwenyekiti sasa hivi IQ yake inashuka 🤣🤣🤣
 
Ni sawa kabisa hata hivyo
 
This is absurd. Who has this guy motivated?
 
Yule toka apate wa kufanana nae hataki mambo ya siasa
 
Hiyo nafasi sio ya vijana.

Bado anasafari ndefu.

Akae kwa kutulia.
 
Kwanza Kinana yupo wapo?? Tuanzie hapo. Mzee wetu yupo wapi
 
Takataka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…