Jogging pembeni ya barabara zinagharimu UHAI

Jogging pembeni ya barabara zinagharimu UHAI

Wanao kimbia barabarani wanafanya Show-Off wanajifanya wazungu Earphones masikioni na mbwembwe nyingine nyingi tu... Unatoka nyumban unaacha jirani yako kuna uwanja wa mpira kwanin usifanyie mazoez hapo..? Ila unataka ukakimbie barabarani dakika 10 urudi home...
[emoji41] ILA UKWELI NI KWAMBA UKIONA MWANAUME ANAKIMBIA KIMBIA JIONI UJUE NGUVU ZIMEPUNGUA ANAJIBUSTI NGUVU ZIRUDI[emoji23]
Tuwe wakweli Dar viwanja vya mpira vipo vingapi, Jambo la msingi nikuchukua tahadhari lkn viwanja Ni adim sana
 
Wanao kimbia barabarani wanafanya Show-Off wanajifanya wazungu Earphones masikioni na mbwembwe nyingine nyingi tu... Unatoka nyumban unaacha jirani yako kuna uwanja wa mpira kwanin usifanyie mazoez hapo..? Ila unataka ukakimbie barabarani dakika 10 urudi home...
[emoji41] ILA UKWELI NI KWAMBA UKIONA MWANAUME ANAKIMBIA KIMBIA JIONI UJUE NGUVU ZIMEPUNGUA ANAJIBUSTI NGUVU ZIRUDI[emoji23]
Nguvu za kiume ni shida
 
Umuhimu wa viwanja vya wazi unahitajika....mfano biafra pangetengenezwa vizuri au pale opposite na zantel uwanja wa wazi
Napo pangetengezwa vzr watu wangekuwa wanaenda kupasha misuli,mazoezi ya viungo

Ova
 
Badilisha aina ya mazoezi , kuruka kamba ni nzuri sana !! Unaweza kuweka muziki wakati wa kuruka ! Mwanzo hutapenda ila ukizoe kamba ni mazoezi mazuri zaidi .
 
R.I.P kwa members wote wa jogging walikutwa na umauti. Uzi huu umenifanya niwe mpole sana na kufikilia upya Ratiba yangu ya jogging. Bora nirudi Gym tu kwa kweli tena kwa huku Chugga bodaboda wengi Bangi tu.
 
Ai
Mtu akikimbia barabarani aache wosia nyumbani kuepusha ndugu kugombania sabufa na TV nk.
Na aandike anazikwa mjini au anaenda kuzikwa kwao shamba na aache pesa ya mazishi yake?!?
Na kama ana mke aseme kabisa mkewe aolewe na nani?
Aisee😂
 
Wanao kimbia barabarani wanafanya Show-Off wanajifanya wazungu Earphones masikioni na mbwembwe nyingine nyingi tu... Unatoka nyumban unaacha jirani yako kuna uwanja wa mpira kwanin usifanyie mazoez hapo..? Ila unataka ukakimbie barabarani dakika 10 urudi home...
[emoji41] ILA UKWELI NI KWAMBA UKIONA MWANAUME ANAKIMBIA KIMBIA JIONI UJUE NGUVU ZIMEPUNGUA ANAJIBUSTI NGUVU ZIRUDI[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sie tuliopo maeneo ya nje ya mji lakini tunapitiwa na barabara kuu tufanyeje?
 
Ndugu zangu wafanya mazoezi pembezoni mwa barabara. Chukueni tahadhari hususani wakati wa alfajiri na jioni/usiku.

Nimepoteza rafiki wawili (mmoja Dar mwingine Mtwara) kwa ajali wakiwa mazoezini. Wameacha familia changa mno.

Wakati mzuri wa kufanya mazoezi ya kukimbia huwa ni asubuhi au jioni, na mida hii mara nyingi kunakuwa na magari mengi sana barabarani, mfano, kuna magari unakuta ana taa moja tu, boda pia ni majanga mara nyingi katika kujihami na magari anakuja mpaka pembeni kabisa kwenye chaki,

Kuna magari yana overtake, hapa nadhani wanaokimbia watakuwa wananielewa nini huwa kinatokea, kuna boda nyingine hazina taa zenye mwanga wa kutosha, kuna wanaotembea na full light unaweza kumulikwa ukopoteza muelekeo,

Kuna boda boda zina beba mizigo mikubwa unaweza kuhisi yuko peke yake kumbe mzigo unatokeza pembeni, ni hatari sana kwakweli, kuweni makini.

Pia, Barabara nyingi sehemu za waenda kwa miguu ndio parking hizo hizo, boda boda humohumo

Vile vile Wakimbiaji wengi hawajali usalama wao barabarani wala kuchukua tahadhari. Unakuta mtu anakimbia akiwa amevaa headphones masikio yote mawili na sauti kaweka hadi mwisho, kiasi cha kushindwa kusikia honi za vyombo vya moto

Kama unaweza bora ukimbie kwenye uwanja maalumu kama wa mpira, ulio karibu na makazi yako kwa kuwa ukiachana na ajali
huo moshi unaovutwa na wanamazoezi huku wanapumulia mdomo ni janga lingine

Kama unalazimika kukimbia barabarani, Kimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako

NB: Lipia gym uwe salama
Uyu ndugu wa Masasi, Mtwara na mimi alisikitisha sana
 
Uyu ndugu wa Masasi, Mtwara na mimi alisikitisha sana
Dogo kazaliwa 1992 Kafa hajayafaidi maisha. Nawafikiria wazazi wake walivyoumia kumpoteza mtoto Msomi wa ngazi ya digrii
 
Ndugu zangu wafanya mazoezi pembezoni mwa barabara. Chukueni tahadhari hususani wakati wa alfajiri na jioni/usiku.

Nimepoteza rafiki wawili (mmoja Dar mwingine Mtwara) kwa ajali wakiwa mazoezini. Wameacha familia changa mno.

Wakati mzuri wa kufanya mazoezi ya kukimbia huwa ni asubuhi au jioni, na mida hii mara nyingi kunakuwa na magari mengi sana barabarani, mfano, kuna magari unakuta ana taa moja tu, boda pia ni majanga mara nyingi katika kujihami na magari anakuja mpaka pembeni kabisa kwenye chaki,

Kuna magari yana overtake, hapa nadhani wanaokimbia watakuwa wananielewa nini huwa kinatokea, kuna boda nyingine hazina taa zenye mwanga wa kutosha, kuna wanaotembea na full light unaweza kumulikwa ukopoteza muelekeo,

Kuna boda boda zina beba mizigo mikubwa unaweza kuhisi yuko peke yake kumbe mzigo unatokeza pembeni, ni hatari sana kwakweli, kuweni makini.

Pia, Barabara nyingi sehemu za waenda kwa miguu ndio parking hizo hizo, boda boda humohumo

Vile vile Wakimbiaji wengi hawajali usalama wao barabarani wala kuchukua tahadhari. Unakuta mtu anakimbia akiwa amevaa headphones masikio yote mawili na sauti kaweka hadi mwisho, kiasi cha kushindwa kusikia honi za vyombo vya moto

Kama unaweza bora ukimbie kwenye uwanja maalumu kama wa mpira, ulio karibu na makazi yako kwa kuwa ukiachana na ajali
huo moshi unaovutwa na wanamazoezi huku wanapumulia mdomo ni janga lingine

Kama unalazimika kukimbia barabarani, Kimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako

NB: Lipia gym uwe salama
Tatizo usimamizi wa sheria za usalama barabarani. Ni vipi watu wanaruhusiwa kufanya mazoezi barabarani tena bila ya kuongozwa na askari?
 
Makundi ya jogging siku hizi
Wanawake kwa wanaume wanabanduana kweli
Kama mke wako yukk huko basi
Ashaliw sana.....

Ova


Halafu wadangaji wameshajua huko kwenye maeneo ya michezo including Gyms ndio wakitega mingo za kuwanasa mabwana zinakubali kirahisi sana!

Ni ajabu wanaume nao hawastukii kuwa wanatafutwa kuibiwa na makahaba!

Wanaume mtafuteni Mungu , Mpeni Mungu nafasi kwenye akili na mioyo yenu ili muweze kuishinda dhambi ya uzinzi na uasherati.

Sema sasa wanawapata lakini Mwanaume mjanja akishakula mzigo kwa shilingi 20,000/- akiamza kuombwa hela za kodi, chakula, nauli n.k. Anastukia na kumblock.

Awareness ni kubwa sasa hivi.

Wanawake watafute vibarua vya kujiingizia vipato Kwa jasho Lao wenyewe.

Na Pia kuepuka tamaa.

Umalaya hauna tija.

Utafunuliwa na wanaume wangapi?!
 
Umuhimu wa viwanja vya wazi unahitajika....mfano biafra pangetengenezwa vizuri au pale opposite na zantel uwanja wa wazi
Napo pangetengezwa vzr watu wangekuwa wanaenda kupasha misuli,mazoezi ya viungo

Ova


Nchi za wenzetu wanazingatia sana hilo jambo la kuweka sehemu za wazi na za michezo na mazoezi.

Yani watu wa mipango miji Halmashauri hadi mtaani kwa kila mtaa kunakuwa na public places za michezo na mazoezi zinakuwa ni public gardens and free accessible.

Bongo tunakwama wapi?
 
Ndugu zangu wafanya mazoezi pembezoni mwa barabara. Chukueni tahadhari hususani wakati wa alfajiri na jioni/usiku.

Nimepoteza rafiki wawili (mmoja Dar mwingine Mtwara) kwa ajali wakiwa mazoezini. Wameacha familia changa mno.

Wakati mzuri wa kufanya mazoezi ya kukimbia huwa ni asubuhi au jioni, na mida hii mara nyingi kunakuwa na magari mengi sana barabarani, mfano, kuna magari unakuta ana taa moja tu, boda pia ni majanga mara nyingi katika kujihami na magari anakuja mpaka pembeni kabisa kwenye chaki,

Kuna magari yana overtake, hapa nadhani wanaokimbia watakuwa wananielewa nini huwa kinatokea, kuna boda nyingine hazina taa zenye mwanga wa kutosha, kuna wanaotembea na full light unaweza kumulikwa ukopoteza muelekeo,

Kuna boda boda zina beba mizigo mikubwa unaweza kuhisi yuko peke yake kumbe mzigo unatokeza pembeni, ni hatari sana kwakweli, kuweni makini.

Pia, Barabara nyingi sehemu za waenda kwa miguu ndio parking hizo hizo, boda boda humohumo

Vile vile Wakimbiaji wengi hawajali usalama wao barabarani wala kuchukua tahadhari. Unakuta mtu anakimbia akiwa amevaa headphones masikio yote mawili na sauti kaweka hadi mwisho, kiasi cha kushindwa kusikia honi za vyombo vya moto

Kama unaweza bora ukimbie kwenye uwanja maalumu kama wa mpira, ulio karibu na makazi yako kwa kuwa ukiachana na ajali
huo moshi unaovutwa na wanamazoezi huku wanapumulia mdomo ni janga lingine

Kama unalazimika kukimbia barabarani, Kimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako

NB: Lipia gym uwe salama
Well said👏👏
 
Back
Top Bottom