Tuwe wakweli Dar viwanja vya mpira vipo vingapi, Jambo la msingi nikuchukua tahadhari lkn viwanja Ni adim sanaWanao kimbia barabarani wanafanya Show-Off wanajifanya wazungu Earphones masikioni na mbwembwe nyingine nyingi tu... Unatoka nyumban unaacha jirani yako kuna uwanja wa mpira kwanin usifanyie mazoez hapo..? Ila unataka ukakimbie barabarani dakika 10 urudi home...
[emoji41] ILA UKWELI NI KWAMBA UKIONA MWANAUME ANAKIMBIA KIMBIA JIONI UJUE NGUVU ZIMEPUNGUA ANAJIBUSTI NGUVU ZIRUDI[emoji23]
Hilo ndio la msingi broTuwe wakweli Dar viwanja vya mpira vipo vingapi, Jambo la msingi nikuchukua tahadhari lkn viwanja Ni adim sana
Nguvu za kiume ni shidaWanao kimbia barabarani wanafanya Show-Off wanajifanya wazungu Earphones masikioni na mbwembwe nyingine nyingi tu... Unatoka nyumban unaacha jirani yako kuna uwanja wa mpira kwanin usifanyie mazoez hapo..? Ila unataka ukakimbie barabarani dakika 10 urudi home...
[emoji41] ILA UKWELI NI KWAMBA UKIONA MWANAUME ANAKIMBIA KIMBIA JIONI UJUE NGUVU ZIMEPUNGUA ANAJIBUSTI NGUVU ZIRUDI[emoji23]
Hii sio kukimbia tu, hata kutembea kanuni ni hiiKimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako
Aisee😂Mtu akikimbia barabarani aache wosia nyumbani kuepusha ndugu kugombania sabufa na TV nk.
Na aandike anazikwa mjini au anaenda kuzikwa kwao shamba na aache pesa ya mazishi yake?!?
Na kama ana mke aseme kabisa mkewe aolewe na nani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanao kimbia barabarani wanafanya Show-Off wanajifanya wazungu Earphones masikioni na mbwembwe nyingine nyingi tu... Unatoka nyumban unaacha jirani yako kuna uwanja wa mpira kwanin usifanyie mazoez hapo..? Ila unataka ukakimbie barabarani dakika 10 urudi home...
[emoji41] ILA UKWELI NI KWAMBA UKIONA MWANAUME ANAKIMBIA KIMBIA JIONI UJUE NGUVU ZIMEPUNGUA ANAJIBUSTI NGUVU ZIRUDI[emoji23]
Uyu ndugu wa Masasi, Mtwara na mimi alisikitisha sanaNdugu zangu wafanya mazoezi pembezoni mwa barabara. Chukueni tahadhari hususani wakati wa alfajiri na jioni/usiku.
Nimepoteza rafiki wawili (mmoja Dar mwingine Mtwara) kwa ajali wakiwa mazoezini. Wameacha familia changa mno.
Wakati mzuri wa kufanya mazoezi ya kukimbia huwa ni asubuhi au jioni, na mida hii mara nyingi kunakuwa na magari mengi sana barabarani, mfano, kuna magari unakuta ana taa moja tu, boda pia ni majanga mara nyingi katika kujihami na magari anakuja mpaka pembeni kabisa kwenye chaki,
Kuna magari yana overtake, hapa nadhani wanaokimbia watakuwa wananielewa nini huwa kinatokea, kuna boda nyingine hazina taa zenye mwanga wa kutosha, kuna wanaotembea na full light unaweza kumulikwa ukopoteza muelekeo,
Kuna boda boda zina beba mizigo mikubwa unaweza kuhisi yuko peke yake kumbe mzigo unatokeza pembeni, ni hatari sana kwakweli, kuweni makini.
Pia, Barabara nyingi sehemu za waenda kwa miguu ndio parking hizo hizo, boda boda humohumo
Vile vile Wakimbiaji wengi hawajali usalama wao barabarani wala kuchukua tahadhari. Unakuta mtu anakimbia akiwa amevaa headphones masikio yote mawili na sauti kaweka hadi mwisho, kiasi cha kushindwa kusikia honi za vyombo vya moto
Kama unaweza bora ukimbie kwenye uwanja maalumu kama wa mpira, ulio karibu na makazi yako kwa kuwa ukiachana na ajali
huo moshi unaovutwa na wanamazoezi huku wanapumulia mdomo ni janga lingine
Kama unalazimika kukimbia barabarani, Kimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako
NB: Lipia gym uwe salama
Tatizo usimamizi wa sheria za usalama barabarani. Ni vipi watu wanaruhusiwa kufanya mazoezi barabarani tena bila ya kuongozwa na askari?Ndugu zangu wafanya mazoezi pembezoni mwa barabara. Chukueni tahadhari hususani wakati wa alfajiri na jioni/usiku.
Nimepoteza rafiki wawili (mmoja Dar mwingine Mtwara) kwa ajali wakiwa mazoezini. Wameacha familia changa mno.
Wakati mzuri wa kufanya mazoezi ya kukimbia huwa ni asubuhi au jioni, na mida hii mara nyingi kunakuwa na magari mengi sana barabarani, mfano, kuna magari unakuta ana taa moja tu, boda pia ni majanga mara nyingi katika kujihami na magari anakuja mpaka pembeni kabisa kwenye chaki,
Kuna magari yana overtake, hapa nadhani wanaokimbia watakuwa wananielewa nini huwa kinatokea, kuna boda nyingine hazina taa zenye mwanga wa kutosha, kuna wanaotembea na full light unaweza kumulikwa ukopoteza muelekeo,
Kuna boda boda zina beba mizigo mikubwa unaweza kuhisi yuko peke yake kumbe mzigo unatokeza pembeni, ni hatari sana kwakweli, kuweni makini.
Pia, Barabara nyingi sehemu za waenda kwa miguu ndio parking hizo hizo, boda boda humohumo
Vile vile Wakimbiaji wengi hawajali usalama wao barabarani wala kuchukua tahadhari. Unakuta mtu anakimbia akiwa amevaa headphones masikio yote mawili na sauti kaweka hadi mwisho, kiasi cha kushindwa kusikia honi za vyombo vya moto
Kama unaweza bora ukimbie kwenye uwanja maalumu kama wa mpira, ulio karibu na makazi yako kwa kuwa ukiachana na ajali
huo moshi unaovutwa na wanamazoezi huku wanapumulia mdomo ni janga lingine
Kama unalazimika kukimbia barabarani, Kimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako
NB: Lipia gym uwe salama
Makundi ya jogging siku hizi
Wanawake kwa wanaume wanabanduana kweli
Kama mke wako yukk huko basi
Ashaliw sana.....
Ova
Umuhimu wa viwanja vya wazi unahitajika....mfano biafra pangetengenezwa vizuri au pale opposite na zantel uwanja wa wazi
Napo pangetengezwa vzr watu wangekuwa wanaenda kupasha misuli,mazoezi ya viungo
Ova
Well said👏👏Ndugu zangu wafanya mazoezi pembezoni mwa barabara. Chukueni tahadhari hususani wakati wa alfajiri na jioni/usiku.
Nimepoteza rafiki wawili (mmoja Dar mwingine Mtwara) kwa ajali wakiwa mazoezini. Wameacha familia changa mno.
Wakati mzuri wa kufanya mazoezi ya kukimbia huwa ni asubuhi au jioni, na mida hii mara nyingi kunakuwa na magari mengi sana barabarani, mfano, kuna magari unakuta ana taa moja tu, boda pia ni majanga mara nyingi katika kujihami na magari anakuja mpaka pembeni kabisa kwenye chaki,
Kuna magari yana overtake, hapa nadhani wanaokimbia watakuwa wananielewa nini huwa kinatokea, kuna boda nyingine hazina taa zenye mwanga wa kutosha, kuna wanaotembea na full light unaweza kumulikwa ukopoteza muelekeo,
Kuna boda boda zina beba mizigo mikubwa unaweza kuhisi yuko peke yake kumbe mzigo unatokeza pembeni, ni hatari sana kwakweli, kuweni makini.
Pia, Barabara nyingi sehemu za waenda kwa miguu ndio parking hizo hizo, boda boda humohumo
Vile vile Wakimbiaji wengi hawajali usalama wao barabarani wala kuchukua tahadhari. Unakuta mtu anakimbia akiwa amevaa headphones masikio yote mawili na sauti kaweka hadi mwisho, kiasi cha kushindwa kusikia honi za vyombo vya moto
Kama unaweza bora ukimbie kwenye uwanja maalumu kama wa mpira, ulio karibu na makazi yako kwa kuwa ukiachana na ajali
huo moshi unaovutwa na wanamazoezi huku wanapumulia mdomo ni janga lingine
Kama unalazimika kukimbia barabarani, Kimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako
NB: Lipia gym uwe salama