Wewe sio mkimbiaji,ungekuwa mkimbiaji usinge comment hayo,unakimbia km 15,showoff hapo ni nini,unategemea kila unapokimbia kuna watu,kuna wakati mtu unaamka saa 11 alfajiri hakuna mtu barabarani show off hapo iko wapi...Kwani lazima mazoezi ya kukimbia yafanyike barabarani tu?
Mtu serious na mazoezi anahitaji nafasi kidogo tu hayo ya barabarani ni show off hakuna kingine.
Wake na waume za watu huko gymHalafu wadangaji wameshajua huko kwenye maeneo ya michezo including Gyms ndio wakitega mingo za kuwanasa mabwana zinakubali kirahisi sana!
Ni ajabu wanaume nao hawastukii kuwa wanatafutwa kuibiwa na makahaba!
Wanaume mtafuteni Mungu , Mpeni Mungu nafasi kwenye akili na mioyo yenu ili muweze kuishinda dhambi ya uzinzi na uasherati.
Sema sasa wanawapata lakini Mwanaume mjanja akishakula mzigo kwa shilingi 20,000/- akiamza kuombwa hela za kodi, chakula, nauli n.k. Anastukia na kumblock.
Awareness ni kubwa sasa hivi.
Wanawake watafute vibarua vya kujiingizia vipato Kwa jasho Lao wenyewe.
Na Pia kuepuka tamaa.
Umalaya hauna tija.
Utafunuliwa na wanaume wangapi?!
Bongo maeneo ya wazi wao wanataka kujenga tu ...Nchi za wenzetu wanazingatia sana hilo jambo la kuweka sehemu za wazi na za michezo na mazoezi.
Yani watu wa mipango miji Halmashauri hadi mtaani kwa kila mtaa kunakuwa na public places za michezo na mazoezi zinakuwa ni public gardens and free accessible.
Bongo tunakwama wapi?
Wanao kimbia barabarani wanafanya Show-Off wanajifanya wazungu Earphones masikioni na mbwembwe nyingine nyingi tu... Unatoka nyumban unaacha jirani yako kuna uwanja wa mpira kwanin usifanyie mazoez hapo..? Ila unataka ukakimbie barabarani dakika 10 urudi home...
[emoji41] ILA UKWELI NI KWAMBA UKIONA MWANAUME ANAKIMBIA KIMBIA JIONI UJUE NGUVU ZIMEPUNGUA ANAJIBUSTI NGUVU ZIRUDI[emoji23]
Jogging hazipaswi kufanyiwa barabarani. Shida sisi si watu wa kuchukuwa tahadhari. Kisha tunamsingiziya mungu.Nimeshaona kwenye platform nyingi, ukitokea mjadala kuhusu ajali barabarani kwa wakimbiaji/wafanya jogging/mazoezi, mara zote shutuma na pia shauri zinazotoka ni kwa wakimbiaji tu. Kwa nini watu hawaoni pia uzembe wa madereva wanasababisha hizo ajali? Kwa nini hazitolewi pia shauri kwa madereva wazembe kuwa makini, kujali watumiaji wengine wa barabara na kufuata sheria? Kwa nini shauri pia hazielekezwi kwa mamlaka husika, hasa Polisi, kuhimiza na kusimamia ufuataji wa sheria za barabarani?
Tatizo hilo haliwezi kutatuliwa na wakimbiaji/wafanya jogging/mazoezi peke yao!!🙁😡
Vijiwe vya bodaboda machinjio mpya jijiniNdugu zangu wafanya mazoezi pembezoni mwa barabara. Chukueni tahadhari hususani wakati wa alfajiri na jioni/usiku.
Nimepoteza rafiki wawili (mmoja Dar mwingine Mtwara) kwa ajali wakiwa mazoezini. Wameacha familia changa mno.
Wakati mzuri wa kufanya mazoezi ya kukimbia huwa ni asubuhi au jioni, na mida hii mara nyingi kunakuwa na magari mengi sana barabarani, mfano, kuna magari unakuta ana taa moja tu, boda pia ni majanga mara nyingi katika kujihami na magari anakuja mpaka pembeni kabisa kwenye chaki,
Kuna magari yana overtake, hapa nadhani wanaokimbia watakuwa wananielewa nini huwa kinatokea, kuna boda nyingine hazina taa zenye mwanga wa kutosha, kuna wanaotembea na full light unaweza kumulikwa ukopoteza muelekeo,
Kuna boda boda zina beba mizigo mikubwa unaweza kuhisi yuko peke yake kumbe mzigo unatokeza pembeni, ni hatari sana kwakweli, kuweni makini.
Pia, Barabara nyingi sehemu za waenda kwa miguu ndio parking hizo hizo, boda boda humohumo
Vile vile Wakimbiaji wengi hawajali usalama wao barabarani wala kuchukua tahadhari. Unakuta mtu anakimbia akiwa amevaa headphones masikio yote mawili na sauti kaweka hadi mwisho, kiasi cha kushindwa kusikia honi za vyombo vya moto
Kama unaweza bora ukimbie kwenye uwanja maalumu kama wa mpira, ulio karibu na makazi yako kwa kuwa ukiachana na ajali
huo moshi unaovutwa na wanamazoezi huku wanapumulia mdomo ni janga lingine
Kama unalazimika kukimbia barabarani, Kimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako
NB: Lipia gym uwe salama
Sawa chagua moja kuchoka au ufie barabaraniMi huwa nawahi sana kumi na moja alfajir muda huo magari sio mengi ila kukimbia uwanjani kila siku kunachosha
[emoji1][emoji1][emoji1]Andaa na mirathi ili usiwape kazi watu kugawana hizo Infinix 3
Haisaidii sanaKimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako
Toa constructive criticism, what should they do now?
Ni vizuri kutafita uwanja jiraniToa constructive criticism, what should they do now?
Hapo ndio wale wajinga wa overtake wamenikosa mara kadhaa mkuu1Kimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako
Show off wataonekajeKama unaweza bora ukimbie kwenye uwanja maalumu kama wa mpira, ulio karibu na makazi yako...ukiachana na ajali
huo moshi unaovutwa na wanamazoezi huku wanapumulia mdomo ni janga lingine