Kwani ili kuwika Jogoo hutegemea Mwanga? Kwani ili kujua kwamba kumekucha maeneo yote na nyakati zote mwanga ndiyo hutegemewa?Majogoo wana mfumo wa android kwenye seli zao uitwa antroposcipne. Mfumo huu huwa unasense kiasi cha mwanga kwenye hewa. Sensor hizo zipo kwenye kile kidude cha juu ya kicwa cha jogoo na baadhi zipo kwenye manyoya ya mkiani...
Fuga kuku mkuu. hii hutokea mara moja moja sana pia huhusishwa na ushrikina ndio maana huchinjwa muda huo huoWapi huko Jike anawika....Haya ni Maajabu
Mkuu umechukuwa mkopo wa sh ngapi kwani?Jogoo anajuaje kama sasa hivi ni alfajiri au jioni imefika?
Na kukisha pambazuka hawiki tena? Kwanini wasiwike muda wowote saa yoyote?
View attachment 3074197
Jirani ana jogoo kila ikifika saa 6 usiku anawika.Majogoo ya dar hata saa 5 usiku huwika
Anakua anapiga miayo baada ya kukaa gizani muda mrefu.Usiumize kichwa.Jogoo anajuaje kama sasa hivi ni alfajiri au jioni imefika?
Na kukisha pambazuka hawiki tena? Kwanini wasiwike muda wowote saa yoyote?
View attachment 3074197
Dah we jamaaππππAnakua anapiga miayo baada ya kukaa gizani muda mrefu.Usiumize kichwa.
Niamini bro!Hata yule aliyewika kabla Petro hajamruka kimanga Yesu alikua na uchovu tu wa kukaa gizani.Ndiyo mwayo ukampitia.Dah we jamaaππππ
Bro,Majogoo wana mfumo wa android kwenye seli zao uitwa antroposcipne. Mfumo huu huwa unasense kiasi cha mwanga kwenye hewa. Sensor hizo zipo kwenye kile kidude cha juu ya kicwa cha jogoo na baadhi zipo kwenye manyoya ya mkiani...
Kichanga tumboni mwa mamaye anajuaje imetimu miezi 9 ya kutoka chumbani mwake kuja duniani?
,,,,πππ
Mkuu,wewe ndio yule Profesa Janabi?Majogoo wana mfumo wa android kwenye seli zao uitwa antroposcipne. Mfumo huu huwa unasense kiasi cha mwanga kwenye hewa. Sensor hizo zipo kwenye kile kidude cha juu ya kicwa cha jogoo na baadhi zipo kwenye manyoya ya mkiani...
Just for fun, nothing serious. Uzi upo chit chat so nikaamua kutia chumvi kuchangamsha genge kidogo... πKwani ili kuwika Jogoo hutegemea Mwanga? Kwani ili kujua kwamba kumekucha maeneo yote na nyakati zote mwanga ndiyo hutegemewa?
Halafu hiyo ya Jogoo kuwa na antroposcipne cell sijui android naona umeamua kujifanya na wewe ni RPC Mallya wa Dodoma. Umeshawaona wenzako wote humu kama vile wote ni wa Dovya.
Jogoo ananikumbusha kwenye somo la historia jinsi wazee wetu wanajua mpk majira na hatari zinazotaka kutokea hio kitu mungu aliwapa kipaji kikubwa sanaJogoo anajuaje kama sasa hivi ni alfajiri au jioni imefika?
Na kukisha pambazuka hawiki tena? Kwanini wasiwike muda wowote saa yoyote?
View attachment 3074197
Waliokuchukulia serious wote ni wapumbafuJust for fun, nothing serious. Uzi upo chit chat so nikaamua kutia chumvi kuchangamsha genge kidogo... π
Hizo ni kama kali sana nimepiga hapo...Bro,
Mbona kama hii unatuokota!!?
Android hiii hii ya kwenye simu na jogoo anayo? Sawa sawa.
Yule kazidi... kuna video nimeona humu anasma kuna siku asubuhi anapiga chai kavu then anakula usiku basi ndo imeisha hiyo... ndo maana kakondeana...Mkuu,wewe ndio yule Profesa Janabi?
Naona mnafanana katika utoaji wa maelezo.