safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Mkuu umepata jibu gani ebu share nasi tafadhaliNamuunga mkono Stephen Ngalya hata mimi napenda critical thinking nimekuwa nafuatilia kwanini watu huwa wanaahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data hasa wale tuowapa dhamana ya kutuongoza ama kutuwakilisha nimepata jibu zuri sana