Jogoo anajuaje kama asubuhi imefika aanze kuwika?

Jogoo anajuaje kama asubuhi imefika aanze kuwika?

Jifunze kuwaza nje ya boksi pia. Kwa hiyo jogoo akiwekwa kusimoingia mwanga kama handakini, hawezi kuwika?
Sense organs siyo macho tu na kabla hajambishia mtu FANYA utafiti ndo uruf kumrekebisha. Na bundi anauwezo wa kugundua mtu aliyekufa kabla hata ya wanaomuuguza hawajagundua kwa taarifa yako hiyo ndo ilivo
 
Mkuu uliwapa hoja gani wakakubali aseee.

Inaonekana wewe ni mtungaji mzuri wa hoja ambazo hazipo😀😀🙏
Sifa za kiumbe hai
1. Resipitarion (mfumo wa upumuaji)
Moto unatumia oxygen na unatoa carbon dioxide and carbon monoxide.

2. Movement (kujongea)
moto unaweza ukwaka sehemu fulani lakini ukajongea na kusambaa sehemu nyingine

3. Growth (Kukua)
moto unaweza kuanza ukiwa mdogo lakini ukawa mkubwa

4. Reproduction (kuzaliana)
moto unaweza ukawa unawaka sehemu fulani, ukaenda ukauchukua moto ule ule na kwenda kuuwasha sehemu nyingine

5. Exretion ( kutoa taka mwili)
moto ukiwa unawaka unatoa moshi na majivu, hizo ndo taka mwili za moto

6. Nutrion (lishe)
Moto unakula vitu vingi kama planstk, vitu vyenye asili ya miti, mafuta, wanyama nk

Wahuni niliwakalia kooni kweli, kiuhalisia walikuwa wanajua kabisa nawapiga kamba ila walikosa pa kutokea ikabidi wakubali yaishe...
 
Sifa za kiumbe hai
1. Resipitarion (mfumo wa upumuaji)
Moto unatumia oxygen na unatoa carbon dioxide and carbon monoxide.

2. Movement (kujongea)
moto unaweza ukwaka sehemu fulani lakini ukajongea na kusambaa sehemu nyingine

3. Growth (Kukua)
moto unaweza kuanza ukiwa mdogo lakini ukawa mkubwa

4. Reproduction (kuzaliana)
moto unaweza ukawa unawaka sehemu fulani, ukaenda ukauchukua moto ule ule na kwenda kuuwasha sehemu nyingine

5. Exretion ( kutoa taka mwili)
moto ukiwa unawaka unatoa moshi na majivu, hizo ndo taka mwili za moto

6. Nutrion (lishe)
Moto unakula vitu vingi kama planstk, vitu vyenye asili ya miti, mafuta, wanyama nk

Wahuni niliwakalia kooni kweli, kiuhalisia walikuwa wanajua kabisa nawapiga kamba ila walikosa pa kutokea ikabidi wakubali yaishe...
Mkuu hata mimi nakubaliana na hoja zako kwamba moto ni kiume hai.

Hisia zangu zinakataa ka sababu sijawahi kusikia kauli hii ila LOGIC yangu inakubali kwamba moto ni kiumbe hai kwa mujibu wa hoja zako.

Mtu mwenye akili timamu atakubaliana na wewe katika hoja,na wala hao jamaa haukuwapiga kamba,ulikuwa na hoja za msingi sana mkuu
 
Mkuu hata mimi nakubaliana na hoja zako kwamba moto ni kiume hai.

Hisia zangu zinakataa ka sababu sijawahi kusikia kauli hii ila LOGIC yangu inakubali kwamba moto ni kiumbe hai kwa mujibu wa hoja zako.

Mtu mwenye akili timamu atakubaliana na wewe katika hoja,na wala hao jamaa haukuwapiga kamba,ulikuwa na hoja za msingi sana mkuu
Chochote kinaweza kuwa chochote iwapo vigezo husika ni chochote.

Got it?!
 
Mkuu hata mimi nakubaliana na hoja zako kwamba moto ni kiume hai.

Hisia zangu zinakataa ka sababu sijawahi kusikia kauli hii ila LOGIC yangu inakubali kwamba moto ni kiumbe hai kwa mujibu wa hoja zako.

Mtu mwenye akili timamu atakubaliana na wewe katika hoja,na wala hao jamaa haukuwapiga kamba,ulikuwa na hoja za msingi sana mkuu
Binafsi huwa naenjoy tu kutengeneza theories za kufikirika tofauti tofauti juu ya vitu mbalimbali halafu nasimama kuzitetea kwa nguvu zote. Ni njia ambayo huwa naitumia kupima uwezo wangu wa kujenga hija na kuitetea...
 
Binafsi huwa naenjoy tu kutengeneza theories za kufikirika tofauti tofauti juu ya vitu mbalimbali halafu nasimama kuzitetea kwa nguvu zote. Ni njia ambayo huwa naitumia kupima uwezo wangu wa kujenga hija na kuitetea...
Yes mkuu hiyo ndio pekee ya kukuza critical thinking.

Alafu ni Idea nzuri sana hiyo kama unakaa na watu wemye mawazo kama hayo mnaweza kuvumbu kitu bora kimasihara tu kutokana na mawazo kama hayo.

Hongera sana mkuu,hayo ni mawazo ya kujenga sana.
 
Kwanini mkojo wa asubuhi una haraka sana na kwanini tuna pupuu angalizo kumbuka jogoo ni ndege
 
Mungu fundi sana...hawatumii saa wanazotumia binadamu lakini jogoo hawakosei muda wa kuwika. Ujue wanyama wana akili kuzidi binadamu.....ila sema binadamu anakiherehere kujifanya anajua kumbe hamna kitu..hadi aweke alarm nayo anaweza asiisikie 😎
Mungu ni mjuzi
 
Yes mkuu hiyo ndio pekee ya kukuza critical thinking.

Alafu ni Idea nzuri sana hiyo kama unakaa na watu wemye mawazo kama hayo mnaweza kuvumbu kitu bora kimasihara tu kutokana na mawazo kama hayo.

Hongera sana mkuu,hayo ni mawazo ya kujenga sana.
Pamoja sana mkuu...
 
Jogoo anawika kwa asili yake tu ,sisi wanadamu ndio tumeingia kwenye mfumo wa jogoo wala yeye hana habari.
 
Yes mkuu hiyo ndio pekee ya kukuza critical thinking.

Alafu ni Idea nzuri sana hiyo kama unakaa na watu wemye mawazo kama hayo mnaweza kuvumbu kitu bora kimasihara tu kutokana na mawazo kama hayo.

Hongera sana mkuu,hayo ni mawazo ya kujenga sana.
Namuunga mkono Stephen Ngalya hata mimi napenda critical thinking nimekuwa nafuatilia kwanini watu huwa wanaahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data hasa wale tuowapa dhamana ya kutuongoza ama kutuwakilisha nimepata jibu zuri sana
 
Bata na ndugu zake wengine wapo wapo hawajui lolote kazi kuharisha tu popote bila kujali...Nkt!!
 
Bata na ndugu zake wengine wapo wapo hawajui lolote kazi kuharisha tu popote bila kujali...Nkt!!
Bata kumbe ukimfanyie usafi kwa kumuwekea maji mazuri kwakifupi kila kitu kizuri hata harisha pia mayai yake yanakuwa safi kabisa
 
Back
Top Bottom