DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
Sense organs siyo macho tu na kabla hajambishia mtu FANYA utafiti ndo uruf kumrekebisha. Na bundi anauwezo wa kugundua mtu aliyekufa kabla hata ya wanaomuuguza hawajagundua kwa taarifa yako hiyo ndo ilivoJifunze kuwaza nje ya boksi pia. Kwa hiyo jogoo akiwekwa kusimoingia mwanga kama handakini, hawezi kuwika?
Sifa za kiumbe haiMkuu uliwapa hoja gani wakakubali aseee.
Inaonekana wewe ni mtungaji mzuri wa hoja ambazo hazipo😀😀🙏
Hafu pia nikuulize wewe ukitaka kugundua kuwa kumekucha huwa unatoka nje kuangalia kulivopambazuka?Jifunze kuwaza nje ya boksi pia. Kwa hiyo jogoo akiwekwa kusimoingia mwanga kama handakini, hawezi kuwika?
Mkuu hata mimi nakubaliana na hoja zako kwamba moto ni kiume hai.Sifa za kiumbe hai
1. Resipitarion (mfumo wa upumuaji)
Moto unatumia oxygen na unatoa carbon dioxide and carbon monoxide.
2. Movement (kujongea)
moto unaweza ukwaka sehemu fulani lakini ukajongea na kusambaa sehemu nyingine
3. Growth (Kukua)
moto unaweza kuanza ukiwa mdogo lakini ukawa mkubwa
4. Reproduction (kuzaliana)
moto unaweza ukawa unawaka sehemu fulani, ukaenda ukauchukua moto ule ule na kwenda kuuwasha sehemu nyingine
5. Exretion ( kutoa taka mwili)
moto ukiwa unawaka unatoa moshi na majivu, hizo ndo taka mwili za moto
6. Nutrion (lishe)
Moto unakula vitu vingi kama planstk, vitu vyenye asili ya miti, mafuta, wanyama nk
Wahuni niliwakalia kooni kweli, kiuhalisia walikuwa wanajua kabisa nawapiga kamba ila walikosa pa kutokea ikabidi wakubali yaishe...
Umethibitisha hoja yangu hapo juu.Hafu pia nikuulize wewe ukitaka kugundua kuwa kumekucha huwa unatoka nje kuangalia kulivopambazuka?
Chochote kinaweza kuwa chochote iwapo vigezo husika ni chochote.Mkuu hata mimi nakubaliana na hoja zako kwamba moto ni kiume hai.
Hisia zangu zinakataa ka sababu sijawahi kusikia kauli hii ila LOGIC yangu inakubali kwamba moto ni kiumbe hai kwa mujibu wa hoja zako.
Mtu mwenye akili timamu atakubaliana na wewe katika hoja,na wala hao jamaa haukuwapiga kamba,ulikuwa na hoja za msingi sana mkuu
Binafsi huwa naenjoy tu kutengeneza theories za kufikirika tofauti tofauti juu ya vitu mbalimbali halafu nasimama kuzitetea kwa nguvu zote. Ni njia ambayo huwa naitumia kupima uwezo wangu wa kujenga hija na kuitetea...Mkuu hata mimi nakubaliana na hoja zako kwamba moto ni kiume hai.
Hisia zangu zinakataa ka sababu sijawahi kusikia kauli hii ila LOGIC yangu inakubali kwamba moto ni kiumbe hai kwa mujibu wa hoja zako.
Mtu mwenye akili timamu atakubaliana na wewe katika hoja,na wala hao jamaa haukuwapiga kamba,ulikuwa na hoja za msingi sana mkuu
Yes mkuu hiyo ndio pekee ya kukuza critical thinking.Binafsi huwa naenjoy tu kutengeneza theories za kufikirika tofauti tofauti juu ya vitu mbalimbali halafu nasimama kuzitetea kwa nguvu zote. Ni njia ambayo huwa naitumia kupima uwezo wangu wa kujenga hija na kuitetea...
Sisi Watanzania shida tunayo tena kubwa sana 😃😃😂😂Umethibitisha hoja yangu hapo juu.
Mungu ni mjuziMungu fundi sana...hawatumii saa wanazotumia binadamu lakini jogoo hawakosei muda wa kuwika. Ujue wanyama wana akili kuzidi binadamu.....ila sema binadamu anakiherehere kujifanya anajua kumbe hamna kitu..hadi aweke alarm nayo anaweza asiisikie 😎
Pamoja sana mkuu...Yes mkuu hiyo ndio pekee ya kukuza critical thinking.
Alafu ni Idea nzuri sana hiyo kama unakaa na watu wemye mawazo kama hayo mnaweza kuvumbu kitu bora kimasihara tu kutokana na mawazo kama hayo.
Hongera sana mkuu,hayo ni mawazo ya kujenga sana.
anawikaga mbona hata mchana ni ww ndo hujui kama anawikaga mchanaJogoo anajuaje kama sasa hivi ni alfajiri au jioni imefika?
Na kukisha pambazuka hawiki tena? Kwanini wasiwike muda wowote saa yoyote?
View attachment 3074197
Saa hizi ni saa 3 na dk 29 asubuhi nasikia jogoo wanawika huko njeJogoo kama jogoooo!
Akiwika asubuhi anaamsha watu
Majogoo ya kisasa yanawika hata saa tatu usiku😁Saa hizi ni saa 3 na dk 29 asubuhi nasikia jogoo wanawika huko nje
Wanaendelea kuwika saa 3 na dk 40Majogoo ya kisasa yanawika hata saa tatu usiku😁
Namuunga mkono Stephen Ngalya hata mimi napenda critical thinking nimekuwa nafuatilia kwanini watu huwa wanaahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data hasa wale tuowapa dhamana ya kutuongoza ama kutuwakilisha nimepata jibu zuri sanaYes mkuu hiyo ndio pekee ya kukuza critical thinking.
Alafu ni Idea nzuri sana hiyo kama unakaa na watu wemye mawazo kama hayo mnaweza kuvumbu kitu bora kimasihara tu kutokana na mawazo kama hayo.
Hongera sana mkuu,hayo ni mawazo ya kujenga sana.
Bata kumbe ukimfanyie usafi kwa kumuwekea maji mazuri kwakifupi kila kitu kizuri hata harisha pia mayai yake yanakuwa safi kabisaBata na ndugu zake wengine wapo wapo hawajui lolote kazi kuharisha tu popote bila kujali...Nkt!!