Jogoo kashindwa kuwika mara mbili, nitumie Viagra?

Jogoo kashindwa kuwika mara mbili, nitumie Viagra?

Unataka ushindane na wanawake wa sasa ambao ukitaka kukojoa tunalalamika" please usikojoe babe!"
I swear u gonna die soon
Hahaha hii itakuwa inauma sana, yaani umefika mshindo mdada anakuambia "usikojoe pls", hii maana yake game yako ipo chini ya kiwango in terms of muda unaotumia na vitu unavyompa.

Nasisitiza wanaume wawe selfish kwa kweli.
 
Hahaha hii itakuwa inauma sana, yaani umefika mshindo mdada anakuambia "usikojoe pls", hii maana yake game yako ipo chini ya kiwango in terms of muda unaotumia na vitu unavyompa.

Nasisitiza wanaume wawe selfish kwa kweli.
🤣🤣🤣Si mnaonekana mnapotaka kufika kabla hatujafika...sijui haraka ya nini
 
Ndugu wapendwa habari za jioni hiii, nimekuja kwenu kutafuta kujuzwa kuhusu utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume (viagra).

JUMANNE NA Jana nilipatwa na mshituko kwani nilikwenda kwenye mambos na mpenzi wangu wa siku zote na katika kuhitimisha mambo yetu kila kitu kilienda sawa kwenye romance na mzee alikuwa yuko ngangari kabisa.

SIKU MBILI MFULULIZO Wakati tunaendelea na roms nikafika wakati wa kufanya mambo nilishangaaa stimu ilitoka kabisa kichwani na mambo yakawa mabovu ghafla, nilijitahidi kurudi mchezoni lakini sikufanikiwa kwani nilipatwa na msongo wa hali ya juu kuhusu hali ile na kwa vile muda ulikuwa haurusu basi shughuli ilishia hapo hapo.

Je, naweza kujuzwa ni jinsi gani viagra inavyoweza saidi katika hali kama hii?

Nawakilisha
Mwili wa mwanadamu huhitaji kila kitu kiasi chake, ndio maana kuna wakati huhitaji mapumziko. Unapozidisha au kutaka kuweka ziada basi ndio utafika huku kwenye mawazo ya kutaka kutumia dawa ambazo kuna wengine wanajuta kuzitumia.
 
Ndugu wapendwa habari za jioni hiii, nimekuja kwenu kutafuta kujuzwa kuhusu utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume (viagra).

JUMANNE NA Jana nilipatwa na mshituko kwani nilikwenda kwenye mambos na mpenzi wangu wa siku zote na katika kuhitimisha mambo yetu kila kitu kilienda sawa kwenye romance na mzee alikuwa yuko ngangari kabisa.

SIKU MBILI MFULULIZO Wakati tunaendelea na roms nikafika wakati wa kufanya mambo nilishangaaa stimu ilitoka kabisa kichwani na mambo yakawa mabovu ghafla, nilijitahidi kurudi mchezoni lakini sikufanikiwa kwani nilipatwa na msongo wa hali ya juu kuhusu hali ile na kwa vile muda ulikuwa haurusu basi shughuli ilishia hapo hapo.

Je, naweza kujuzwa ni jinsi gani viagra inavyoweza saidi katika hali kama hii?

Nawakilisha
Achana na viagra utakuja kufia kifuani......Huyo mjomba ili awike anahitaji utulivu kwako na kisha kwa mwenza wako pia ,wote mkipaniki mambo yanakuwa mabaya zaidi.
 
hivi nikitumia mara moja tu kuna tatizo na je ndio itanifanya niwe tegemezi maana nataka nimridhishe leo tu nisitumie tena
 
FB_IMG_1728286465258.jpg
 
hivi nikitumia mara moja tu kuna tatizo na je ndio itanifanya niwe tegemezi maana nataka nimridhishe leo tu nisitumie tena
kachukue Erecto ya Gm 50 alaf kikate nusu kunywa na maji mengi hakuna tatizo.
 
Ndugu wapendwa habari za jioni hiii, nimekuja kwenu kutafuta kujuzwa kuhusu utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume (viagra).

JUMANNE NA Jana nilipatwa na mshituko kwani nilikwenda kwenye mambos na mpenzi wangu wa siku zote na katika kuhitimisha mambo yetu kila kitu kilienda sawa kwenye romance na mzee alikuwa yuko ngangari kabisa.

SIKU MBILI MFULULIZO Wakati tunaendelea na roms nikafika wakati wa kufanya mambo nilishangaaa stimu ilitoka kabisa kichwani na mambo yakawa mabovu ghafla, nilijitahidi kurudi mchezoni lakini sikufanikiwa kwani nilipatwa na msongo wa hali ya juu kuhusu hali ile na kwa vile muda ulikuwa haurusu basi shughuli ilishia hapo hapo.

Je, naweza kujuzwa ni jinsi gani viagra inavyoweza saidi katika hali kama hii?

Nawakilisha

Umri wako?
Uzito wako na urefu?
Magojwa je una kisukari na pressure?
Baada ya hayo tutakupa mawazo
 
Ndugu wapendwa habari za jioni hiii, nimekuja kwenu kutafuta kujuzwa kuhusu utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume (viagra).

JUMANNE NA Jana nilipatwa na mshituko kwani nilikwenda kwenye mambos na mpenzi wangu wa siku zote na katika kuhitimisha mambo yetu kila kitu kilienda sawa kwenye romance na mzee alikuwa yuko ngangari kabisa.

SIKU MBILI MFULULIZO Wakati tunaendelea na roms nikafika wakati wa kufanya mambo nilishangaaa stimu ilitoka kabisa kichwani na mambo yakawa mabovu ghafla, nilijitahidi kurudi mchezoni lakini sikufanikiwa kwani nilipatwa na msongo wa hali ya juu kuhusu hali ile na kwa vile muda ulikuwa haurusu basi shughuli ilishia hapo hapo.

Je, naweza kujuzwa ni jinsi gani viagra inavyoweza saidi katika hali kama hii?

Nawakilisha
Relax bro kitu easy chukua muhogo wa mia mbili na naz ya mia mbili tafuna kwa pamoja asubuh na jion usiku sex ulifanya hiv kila week mara mbili unakua sawa ila nina formula matunda au maji ya uvugu vugu ya kutibu kabisa mfumo naituma kwa whats app kwa elf 30 tu au elf 10 moja whats app 0712505049
 
Ndugu wapendwa habari za jioni hiii, nimekuja kwenu kutafuta kujuzwa kuhusu utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume (viagra).

JUMANNE NA Jana nilipatwa na mshituko kwani nilikwenda kwenye mambos na mpenzi wangu wa siku zote na katika kuhitimisha mambo yetu kila kitu kilienda sawa kwenye romance na mzee alikuwa yuko ngangari kabisa.

SIKU MBILI MFULULIZO Wakati tunaendelea na roms nikafika wakati wa kufanya mambo nilishangaaa stimu ilitoka kabisa kichwani na mambo yakawa mabovu ghafla, nilijitahidi kurudi mchezoni lakini sikufanikiwa kwani nilipatwa na msongo wa hali ya juu kuhusu hali ile na kwa vile muda ulikuwa haurusu basi shughuli ilishia hapo hapo.

Je, naweza kujuzwa ni jinsi gani viagra inavyoweza saidi katika hali kama hii?

Nawakilisha
Bonyeza link ujionee jins ya kujitibu

 
Back
Top Bottom