Duh kwa kukusikiliza inaonekana we ni dogo hauvuki 28 au 29.
Experience yako ni ya wastani, ndio maana ulivyoanza mechi ikaja ed card ukafa kama Yanga kwa Azam, haujakaa sawa bado una majeraha( kisaikolojia) umekufa kwa Tabora.
Nakupa tips, ukiwa unafanya romance usiusikilizie kama umeamka au bado relaaaxx.
Usiwaze leo nitaichapa kinomanoma(ukamiaji)
😀 hii inafanya mfumo wa damu kwenda kichwa kidogo u delay na kupeleka damu katika kichwa kikubwa.
K unatakiwa uizoee kama daktari, ichezee, ishike shike,ibusu kama unaweza kama mimi
Kunywa maji kama lita hivi kabla ya mechi.
Unavyowaza sana kuhusu kufeli siku hiyo, subconscious mind ina mark kuwa unataka iwe hivy utafeli tena. Ishapita hiyo achana nayo.
Unapopiga bao, usikaze mwili relax liache lijifyatue hii itakusaidia kurudia game zinazofatia, game ya kuskilizia ni ile ambayo unajua hii ya mwisho. Hii uki master unaweza mpa mtu kazi hata dakika 50 haujamwaga.
Kula matikiti,mboga za majani za kijani, ndizi mbivu
Huyo sio mke ni mpenzi inawezekana kuna kosa alikufanyia na hausamehe kiukweli, au unahofia nyendo zake na masuala ya afya.
😀😀😀 Inawezekana Mungu au babu zako wanakulinda labda alitoka kunyukwa na mtu mwenye gonorea,uti au hata ukimwi, au kusingiziwa mimba.Ikigoma kunyanyuka sometimes ni kinga baba CHILLLL
Kama hauna pressure na matatizo ya mfumo wa hewa Viagra haina tatizo, mi nilikuwa natumia kama kuna kazi
ambayo siipendi, nakuwa in robotic mode