Joh Makini, sitokusamehe kwa kutuharibia mziki wetu Nako 2 Nako Soldiers

Joh Makini, sitokusamehe kwa kutuharibia mziki wetu Nako 2 Nako Soldiers

Ni sawa mkuu, siijui tasnia kivile ila nina machaguo yangu.... sipendi kufokewa!

Michano iliyotulia, ndo maana nimemkubali LordEyez na Jombii sio JCB... vivyo hivyo kwa Eminem.

Sina tatizo na legacy yake!
Niko pamoja nawe.. anavyorap Eminem simkubali kabisa hasa ile sauti yake ya kizungu.
 
Ila yote kwa yote nako 2 nako bado kwangu ni kundi bora zaidi kwenye flouz kuliko weusi,lord eyes yuko vizuri sana lakin alizinguaga kipind kile na dunia haijawahi kuwa fair...

Eti kuna mwaka baraka dah prince alimsign lord haha jaman dunia haiko fair
 
Ila yote kwa yote nako 2 nako bado kwangu ni kundi bora zaidi kwenye flouz kuliko weusi,lord eyes yuko vizuri sana lakin alizinguaga kipind kile na dunia haijawahi kuwa fair...

Eti kuna mwaka baraka dah prince alimsign lord haha jaman dunia haiko fair
Hahaahhah
 
Ila yote kwa yote nako 2 nako bado kwangu ni kundi bora zaidi kwenye flouz kuliko weusi,lord eyes yuko vizuri sana lakin alizinguaga kipind kile na dunia haijawahi kuwa fair...

Eti kuna mwaka baraka dah prince alimsign lord haha jaman dunia haiko fair

Baraka huyu huyu mlevi?
 
Nako 2 Nako walijiharibia wenyewe kwa kuendekeza usela mavi. Na hili ni jambo lililowaharibia wasanii wengi wa Chuga.
 
Ila yote kwa yote nako 2 nako bado kwangu ni kundi bora zaidi kwenye flouz kuliko weusi,lord eyes yuko vizuri sana lakin alizinguaga kipind kile na dunia haijawahi kuwa fair...

Eti kuna mwaka baraka dah prince alimsign lord haha jaman dunia haiko fair
Hahaha Lord kama Lord akasainiwa na Baraka daa prins 😂😂😂😂
 
Watanzania tunapenda sana lawama. Kiufupi Joh kawasaidia sana N2N kuendelea kuwa kwenye ramani, maana baada ya kina Lord Eyes kuwa mateja walikuwa washapoteana, so alipoanza kushirikiana nao kwenye kazi tukaendelea kumsikia GNako akiendelea kuliwakilisha kundi. Joh anaanzaje kuwahofia N2N wakati yeye tu kama Solo ana hits nyingi na kubwa kuliko hilo kundi?
Watu wanadhani John ndio kawaangusha Nako2Nako lakini mambo kwa ground ni tofauti sana..
 
Back
Top Bottom