Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Look, if you had, one shot, or one opportunityMi sijali ulejendari, nataka nifurahie ninachokisikia.... Eminem anafoka kama anakuzomea anakuchosha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umenifurahisha eti kama anazomea.Mi sijali ulejendari, nataka nifurahie ninachokisikia.... Eminem anafoka kama anakuzomea anakuchosha.
[emoji1][emoji1][emoji1] Combs anamashauzi sana mm nitakaa kwa Shakur.Ukweli mtupu, BIG was by far better than Shakur.... lyrically and flow kali.
Nasimama na Combs!
"Look, if you had, one shot, or one opportunity
To seize everything you ever wanted. In one moment
Would you capture it, or just let it slip?"
Huwezi choshwa na lyrics kama hizi za Eminem kamwe
AiseeUmenikumbusha Camp langu la Suwa Side mferejini pale Uwanja wa Chuma Soweto ...yaani baada ya mechi lazima upake GV
Ar Chugs ni Kwere
Wapi Spark ???
Msududu mpaka Suwa??
RiP KinG Kola...
[emoji16][emoji16][emoji16]yaani yule mpumbavu sijui ndio freemason ama ndio wakati umefika!!!Umemkosea sana heshima Eminem kumfananisha na huyu mpuuzi 69 au na ww upo upande Diddy hamkubali eminem.
Nimesoma Uzi wako mpaka hapo uliposema Humpendi Eminen nimejua wewe hujui lolote kuhusu hii tasnia..Usinitajie kina Tekashi, kelele tupu hakuna kitu pale... sipendi michano ya kuzomewa vile kama ya Eminem.
Kwahiyo ndo hizo mnaita za kisasa..?
Nimesoma Uzi wako mpaka hapo uliposema Humpendi Eminen nimejua wewe hujui lolote kuhusu hii tasnia..
Endelea kupenda singeli.
Acha linganisha Slim Shady na takatakaNi sawa mkuu, siijui tasnia kivile ila nina machaguo yangu.... sipendi kufokewa!
Michano iliyotulia, ndo maana nimemkubali LordEyez na Jombii sio JCB... vivyo hivyo kwa Eminem.
Sina tatizo na legacy yake!
[emoji16][emoji16][emoji16]yaani yule mpumbavu sijui ndio freemason ama ndio wakati umefika!!!
Hip hop nayo imewekwa sukari siku hizi,wengine wanaongeza na rangi ndio hawa kina tekashi 69.
Ukinipata au ukiniona utajuta kwa nini hukunijua mapema. Hao wanachonizidi ni jina tu.Ktk Dunia hii, Nawapenda wanaume 3 tyuuh.
> G Nako
> Geofrey lea
> Chris Brown
Nawapenda hawa viumbe hadi nahisi uchizi kabisaaah.
Hao kila siku wanalia mapenzi, hizo nyimbo za madem mkuuWewe endelea kumsikiliza Marioo, mbona fresh tu..!!
Fido vato bana acha utotoSalamu zikufikie,
Unajiita Mwamba, ni kwa ujanja wa nje uliofanikisha kumzima mpinzani baada ya kuangushwa vibaya ulingoni.
Wadau na walio timamu watakumbuka hili, Joh Makini na timu yake River Camp Soldiers. Si ajabu usikumbuke ngoma yoyote kali kutoka kwenye kundi hili, kama ipo tusaidiane.
River Camp Soldiers ikiongozwa na Joh Makini, na mdogo wake Nikki, Bonta na wengine kama wapo (wasiojulikana), haikuwa na maajabu kama kundi.
Sana sana ilitumika kumbeba Joh kwa kiasi kikubwa, huku akiibatiza majina mbalimbali kwa vipindi tofauti (Mfano Good Music Family ‘GMF’ hadi Ngumu Nyeusi ‘WEUSI’) lakini yote haikufua dafu.
Wakati huo akichezea ‘vitasa’ vikali kutoka kundi hasimu Nako 2 Nako Soldiers, likiongozwa na Lord Eyez, G Nako, Bou Nako na Ibra da Hustler.
Kama kundi walikuwa wakitamba kwa kila ngoma waliyoachia, walitamba na hakika walikosa upinzani, labda kwa mbaaali Kikosi Cha Mizinga ya Kalapina.
Kwa uchache tu nikukumbushe ngoma kali kama Ndo Zetu, Mchizi Wangu, Hawatuwezi, Bang! Hapo sijasahau Mchizi Wangu Remix, ni kwa vile nimeahidi kutaja mawe kwa uchache.
Joh Makini aliona kabisa mazishi haya hapa, ikabidi atumie ujanja na akili kubwa ili kujipatia ushindi wa mezani, nje ya uwanja.
If you can’t beat them, join them. Ndiyo turufu aliyotumia Joh Makini.
Akavizia kipindi Lord Eyez yupo ‘high’ kwa mihadarati, akamsajili kiungo wake mchezeshaji G Nako. Na kwa fitina nyingi kuhakikisha timu zinaungana ili awe kiongozi.
Hebu fikiria, Nako 2 Nako imesambaratika kipindi ambacho imepata ‘lebo’ Bongo Records kwa Godfather Majani, hii inawezekenaje!
Na hapo tayari wamesharekodi album nzima, wimbo pekee uliosikika kutoka album hiyo ni HAWATUWEZI, fikiria ngoma kali kiasi gani zimefia studio kwa Majani!
Sasa we jamaa Joh Makini, Mwamba, umeua ushindani kisha ufurahie tu kuwa kiongozi wa kundi lisilo na maana!
Hizi nyimbo zenu uchwara Wapoloo sijui Gere sijui Arosto kabisa unaona ni hadhi ya Lord Eyez au unamkomesha kijanja!
Nako 2 Nako tunawadai ngoma kali, lawama zote ni kwako Mwamba, binafsi sitokusamehe!
Bring back our NAKO SOLDIERS!
Wangekuwa wakubwa tungewasikia Tanzania nzima. Hao kina spacdawg wanajulikana baadhi ya mitaa tu ya Arusha mjini.Joh makini haez wafikia waturutumbi,watengwa, na katuulia nako to nako yetu. Yani kwa kifupi kina stoper, Davi, jcb,chindo, spacdawg. Na hapo kwenye hiyo weusi ndo anamlalia Isaa( Lord eyes), Isaa sijui kwann haskii anakomeshwa tu pale. Ye ni mkuubwaa kuliko huyo mwamba