Joh Makini, sitokusamehe kwa kutuharibia mziki wetu Nako 2 Nako Soldiers

Joh Makini, sitokusamehe kwa kutuharibia mziki wetu Nako 2 Nako Soldiers

Umechambua vema, lakini hapa hatuongelei mziki wa chuga... hawa walishafika kwetu huku mjini.

Mziki wa chuga achia kina Chindo, Umbwa et al.

Umbwa ndio Chindo mkuu.

Chuga flavour ni muhimu kuizungumzia. Huwezi kuzungumzia Nako, Joh bila kutaja Chuga. Ndio misingi yenyewe.
 
Kuna ngoma moja tulimchangia nauli rapture na hela ya studio na malazi apo daslaam umasikini umenikamata mateka akapelekaga master kwa abu
sadic maana alitumbua michango yetu waarusha,na rapture ilikuwaga jina la kund akiwa na msela wake mmoja wa sinon uko,river camp ni ras omega,ilikuwaga ni kama wu-tang ya sinon daraja bee unga ltd na pande izo yaan ilikuwaga sio kwa ajil ya watu kadhaa tu,na kipande hiyo kulikuwa nawatu wanachana hatar kabisaa yaan achana na huu ujinga wanaofanyishwa saivi
 
Hivi kati ya Lord Eyes na G Nako nani wa kwanza kuingia weusi,ilianza kama collabo ,but nahisi baada ya Ibra na Lord Eyes kujiingiza kwenye madawa zaidi ndo G Nako akaona heri aingie Weusi ,ndo wengine wakafuata
 
N2N ni bad number... ila zile pigo za beef tuu Ndio zilikuwa sio poa, ila No blame Ndio maisha hta ya Wazungu kila mtu na street yake, na street inakupa company endapo ukionewa na mtaa mwingine, nadhani hiyo imebaki kwa mitaa ya "Sing'isi Meru" kwingine ipo low sana... enzi hizo N2N vs. Block 41
 
N2N ni bad number... ila zile pigo za beef tuu Ndio zilikuwa sio poa, ila No blame Ndio maisha hta ya Wazungu kila mtu na street yake, na street inakupa company endapo ukionewa na mtaa mwingine, nadhani hiyo imebaki kwa mitaa ya "Sing'isi Meru" kwingine ipo low sana... enzi hizo N2N vs. Block 41
Mkuu hizo bifu za street huko mbele zinafanywa na wazungu au niggaz?
Sitaki kuamini km Zuckerberg kapitia haya
 
we mara unamtaka Geofrey Lea,mara G Nako ,si utulie na mmoja utakosa vyote
Ktk Dunia hii, Nawapenda wanaume 3 tyuuh.
> G Nako
> Geofrey lea
> Chris Brown

Nawapenda hawa viumbe hadi nahisi uchizi kabisaaah.
 
Alfu mbona hip hop saiz ni laini hadi watoto wakike wanapenda miaka hiyo ya nyuma kukuta gal anapenda hip hop ni wachache sana tofauti na saiz kwasababu watu hawaimbi ngumu na ukiimba ngumu hutoboi na ndio maana kuna Trap imeongezeka saiz inawavutia gals kupenda hip hop. Joh makini hana kosa ni muziki umebadilika tu.
 
Hivi tofauti ya TRAP MUSIC na CRANK MUSIC ni ipi
Alfu mbona hip hop saiz ni laini hadi watoto wakike wanapenda miaka hiyo ya nyuma kukuta gal anapenda hip hop ni wachache sana tofauti na saiz kwasababu watu hawaimbi ngumu na ukiimba ngumu hutoboi na ndio maana kuna Trap imeongezeka saiz inawavutia gals kupenda hip hop. Joh makini hana kosa ni muziki umebadilika tu.
 
Back
Top Bottom