Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikianza na namba 1 gals wamekuwa wengi wakipenda huu muziki sasa.1. Kwahiyo siku hizi girls kwenye hiphop wameongezeka.?
2. Kwahiyo hao wasioimba ngumu ‘wangapi’ wametoboa.?
Tupia tu huko pm hizo # za wahusika me ntaziona.Fanya upesi mrembo[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Sawa bibie [emoji4] [emoji4] [emoji4]Tupia tu huko pm hizo # za wahusika me ntaziona.
[emoji109][emoji109]Sawa bibie [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Nikianza na namba 1 gals wamekuwa wengi wakipenda huu muziki sasa.
2. Kusema kuwa ambao wamelegeza na kuacha kuimba ngumu ndio ambao wapo main stream na kwenye forums mbalimbali huko angalia nyimbo za ngosha fid q wazamani na sasa nitofauti, Jay MO ngoma kama pesa madafu, nisaidie kushare nk.. Ninyimbo fulani soft sio za kukaza kihivyo
Waangalie wasanii wanaoimba ngumu wakina one, niseme lunduno kabisa wapo wapi saiz ngoma zao kupenya kukaa kwenye main stream nitabu sana hata kukaa kwenye collaboration na msanii fula ni tabu kutokana na kukaza kwao lakini muangalie Zayed kabadilika angalia ngoma kama wowo, piga picha nk.. nimependwa na wadada na zimekaa main stream.
Kwani yeye ndo alimlisha hiyo mihadarati iliyofanya apoteze umiliki wa kundi!? Labda ungeporomosha lawama kwa waliokuwa Nako2Nako wakashindwa kujisimamia wakati lordeyez yuko sober hadi "wakamilikiwa" na Joh MakinSalamu zikufikie,
Unajiita Mwamba, ni kwa ujanja wa nje uliofanikisha kumzima mpinzani baada ya kuangushwa vibaya ulingoni.
Wadau na walio timamu watakumbuka hili, Joh Makini na timu yake River Camp Soldiers. Si ajabu usikumbuke ngoma yoyote kali kutoka kwenye kundi hili, kama ipo tusaidiane.
River Camp Soldiers ikiongozwa na Joh Makini, na mdogo wake Nikki, Bonta na wengine kama wapo (wasiojulikana), haikuwa na maajabu kama kundi.
Sana sana ilitumika kumbeba Joh kwa kiasi kikubwa, huku akiibatiza majina mbalimbali kwa vipindi tofauti (Mfano Good Music Family ‘GMF’ hadi Ngumu Nyeusi ‘WEUSI’) lakini yote haikufua dafu.
Wakati huo akichezea ‘vitasa’ vikali kutoka kundi hasimu Nako 2 Nako Soldiers, likiongozwa na Lord Eyez, G Nako, Bou Nako na Ibra da Hustler.
Kama kundi walikuwa wakitamba kwa kila ngoma waliyoachia, walitamba na hakika walikosa upinzani, labda kwa mbaaali Kikosi Cha Mizinga ya Kalapina.
Kwa uchache tu nikukumbushe ngoma kali kama Ndo Zetu, Mchizi Wangu, Hawatuwezi, Bang! Hapo sijasahau Mchizi Wangu Remix, ni kwa vile nimeahidi kutaja mawe kwa uchache.
Joh Makini aliona kabisa mazishi haya hapa, ikabidi atumie ujanja na akili kubwa ili kujipatia ushindi wa mezani, nje ya uwanja.
If you can’t beat them, join them. Ndiyo turufu aliyotumia Joh Makini.
Akavizia kipindi Lord Eyez yupo ‘high’ kwa mihadarati, akamsajili kiungo wake mchezeshaji G Nako. Na kwa fitina nyingi kuhakikisha timu zinaungana ili awe kiongozi.
Hebu fikiria, Nako 2 Nako imesambaratika kipindi ambacho imepata ‘lebo’ Bongo Records kwa Godfather Majani, hii inawezekenaje!
Na hapo tayari wamesharekodi album nzima, wimbo pekee uliosikika kutoka album hiyo ni HAWATUWEZI, fikiria ngoma kali kiasi gani zimefia studio kwa Majani!
Sasa we jamaa Joh Makini, Mwamba, umeua ushindani kisha ufurahie tu kuwa kiongozi wa kundi lisilo na maana!
Hizi nyimbo zenu uchwara Wapoloo sijui Gere sijui Arosto kabisa unaona ni hadhi ya Lord Eyez au unamkomesha kijanja!
Nako 2 Nako tunawadai ngoma kali, lawama zote ni kwako Mwamba, binafsi sitokusamehe!
Bring back our NAKO SOLDIERS!
No hata mbele pia muangalie mtu kama Jigger, Nas, dre hawaimbi vitu vigumu tena mashairi ni soft sana siku hizi. Angalia ngoma kama kush ya dre ft akon..Ooh kumbe tunaongelea Bongo pekee!
Basi hujatoa mifano ya hao female hiphop artists walioongezeka, au unamaanisha washabiki.?
Well kina Fid na Moe hawakazi kama zamani, kwahiyo Zaiid ametoboa.?
No hata mbele pia muangalie mtu kama Jigger, Nas, dre hawaimbi vitu vigumu tena mashairi ni soft sana siku hizi. Angalia ngoma kama kush ya dre ft akon..
Gals nazungumzia upande wa mashabiki nao siku hizi wamekuwa wakipenda Hip Hop siku zihi watu hawafoki kama zamani ndio maana watoto wakike wanapenda huu muziki.
We jamaa una madini mengi sana, sema hujui tu pa kuyaweka!
Kwahiyo kina Jigga wametoboa baada ya kulainisha michano, au ni muda tu ulifika.?
Ulitaka kina Mob Deep, Daz EFX, Lost Boyz, Naughty by Nature kwa enzi zao wafanikiwe kama sasa.... mbona hata kina Westlife walikuwepo na hadithi ni tofauti.!
Madini yapo mengi sana [emoji23][emoji23][emoji23] nina vitu vingi mpaka vinamwagika.. Game ya hip hop imebadilika sana kama meek mill alikuwa anachana kwa kelele lakini saiz anapiga verse nzr na katulia [emoji23][emoji23][emoji23] We saiz hadi tekashi mtt mdogo anakaa juu kwenye billboard hot 100, anawatukana watu kama kina future, meek nk..
Umemkosea sana heshima Eminem kumfananisha na huyu mpuuzi 69 au na ww upo upande Diddy hamkubali eminem.Usinitajie kina Tekashi, kelele tupu hakuna kitu pale... sipendi michano ya kuzomewa vile kama ya Eminem.
Kwahiyo ndo hizo mnaita za kisasa..?
Kwa kweli Eminem ni legendUmemkosea sana heshima Eminem kumfananisha na huyu mpuuzi 69 au na ww upo upande Diddy hamkubali eminem.
Snoop Dogg je???Mkuu mi spendi kufokewa, napenda flow zilizopoa kama Rozay na Fat Joe... sijali majina bora nishinde na J Cole.
Nakuelewa vzr unapomzumgumzia Cole lakini Eminem ni father hao wakina Cole na Kendrick wanaelewa uwezo wa Eminem.Mkuu mi spendi kufokewa, napenda flow zilizopoa kama Rozay na Fat Joe... sijali majina bora nishinde na J Cole.
Lakini Diddy hajawahi mkubali kwasababu Eminem mtu anayemkubali ni 2pac watu wote wanao muhusudu 2pac kama legend Diddy hawapendi coz yy legend wake ni B.I.GKwa kweli Eminem ni legend
Lakini Diddy hajawahi mkubali kwasababu Eminem mtu anayemkubali ni 2pac watu wote wanao muhusudu 2pac kama legend Diddy hawapendi coz yy legend wake ni B.I.G