MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Niko pamoja nawe.. anavyorap Eminem simkubali kabisa hasa ile sauti yake ya kizungu.Ni sawa mkuu, siijui tasnia kivile ila nina machaguo yangu.... sipendi kufokewa!
Michano iliyotulia, ndo maana nimemkubali LordEyez na Jombii sio JCB... vivyo hivyo kwa Eminem.
Sina tatizo na legacy yake!
HahaahhahIla yote kwa yote nako 2 nako bado kwangu ni kundi bora zaidi kwenye flouz kuliko weusi,lord eyes yuko vizuri sana lakin alizinguaga kipind kile na dunia haijawahi kuwa fair...
Eti kuna mwaka baraka dah prince alimsign lord haha jaman dunia haiko fair
Hata wewe umeshtukia hii!? Unajua mara nyingi feelings zinaniambia Joh anajaribu kuwa Jigga. Kumbe si mimi peke yake.Joh hajawahi kusaundi kichuga, yule ni Jigga wanna be!
Ila yote kwa yote nako 2 nako bado kwangu ni kundi bora zaidi kwenye flouz kuliko weusi,lord eyes yuko vizuri sana lakin alizinguaga kipind kile na dunia haijawahi kuwa fair...
Eti kuna mwaka baraka dah prince alimsign lord haha jaman dunia haiko fair
huyo huyo da princeBaraka huyu huyu mlevi?
Ukipata namba ya G nako au nikupatie..!?Plz naomb msaada wa # ya G Nako , namuelewa huyu kiumbe hadi nahisi kuvurugwa.
Hahaha Lord kama Lord akasainiwa na Baraka daa prins ππππIla yote kwa yote nako 2 nako bado kwangu ni kundi bora zaidi kwenye flouz kuliko weusi,lord eyes yuko vizuri sana lakin alizinguaga kipind kile na dunia haijawahi kuwa fair...
Eti kuna mwaka baraka dah prince alimsign lord haha jaman dunia haiko fair
Watu wanadhani John ndio kawaangusha Nako2Nako lakini mambo kwa ground ni tofauti sana..Watanzania tunapenda sana lawama. Kiufupi Joh kawasaidia sana N2N kuendelea kuwa kwenye ramani, maana baada ya kina Lord Eyes kuwa mateja walikuwa washapoteana, so alipoanza kushirikiana nao kwenye kazi tukaendelea kumsikia GNako akiendelea kuliwakilisha kundi. Joh anaanzaje kuwahofia N2N wakati yeye tu kama Solo ana hits nyingi na kubwa kuliko hilo kundi?
Hebu jikite kwenye hiphop kiongozi ,achana na nyegeKtk Dunia hii, Nawapenda wanaume 3 tyuuh.
G Nako
Geofrey lea
Chris Brown
Nawapenda hawa viumbe hadi nahisi uchizi kabisaaah.
Plz naomb msaada wa # ya G Nako , namuelewa huyu kiumbe hadi nahisi kuvurugwa.
[emoji3][emoji3][emoji3] ulimjibu kibabe sana, kana nyege sana hako ka mtuHebu jikite kwenye hiphop kiongozi ,achana na nyege