Joh Makini unatia aibu

Kuna Thread jamaa wanamdiss Nikki Mbishi kwa kusema wenzao wakina Joh wana mafanikio, haya sasa turejee hapa
 
Ulimwengu 2lionao watu kama ww niwakutolewa kafara yy maisha yake yanakuhusu nn au mwanaume picha haya mambo mpe dada yako ampelekee huko anapoenda kukunjwa
 

Umenena mkuu
 

Safi hiyo
 

wanaume wa dar bana haya ndo mnayoyaweza tu. Umbea umbea
 
Last edited by a moderator:
Uongo jamani peupe hebu fikirieni joh m. Ni mtu wakitamboo kwenye muziki zile posho matamasha hata nyimbo zikitokaga nakuuzika jamani akodi chumba kimoja sasa kwa umbeya ninao ujua amejenga huku ar natena kamjengea maza ake so wewe imekula kwako uongo sio mzuri nakumchafulia mwenzio kama amekupita fanya biidii kijanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…