Joh Makini unatia aibu

Joh Makini unatia aibu

Joh Makini amepanga Changanyikeni, nyuma ya UDSM. Jamaa ananisikitisha sana kwa mtu kama yeye kupanga chumba kimoja tu.

Hapo hapo chumbani anapikia kaweka ndoo za maji na vyombo vyake. Ifike mahala apange walau vyumba viwili.

Joh Makini anaendesha Starlet baada ya kuuza ile Mazda, basi ni bora auze hiyo starlet kwa milioni tano au sita akatafute kiwanja chake hata chamazi au chanika aanze kujenga nyumba yake taratibu.

Kweli hip hop hailipi, yani miaka yote aliyofanya music bado anaishi chumba kimoja???

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
WATU BANAAA...SASA INatuhusu nini sisi au wewe anakutia aibu gani,we mkewe?ndugu yake....acha kufatilia maisha ya watu
 
acheni wivu wa kijinga nyie mnayeponda joh makini....mnataka awe anaishi kama jay z au
 
WATU BANAAA...SASA INatuhusu nini sisi au wewe anakutia aibu gani,we mkewe?ndugu yake....acha kufatilia maisha ya watu

si ndo hapo naona mtoa mada anakaa kwenye hekalu na anaendesha gari la miln 300 basi
 
Na wewe kama ni Joh Makini halisi njoo hapa kwa adabu na uoneshe tofauti yako na wabana pua.

Hizi lugha za haters na kupanic waache Diamond Wema na misukule yao. Hapa hatuhubiri ukanda bali Utanzania hata huko kaskazini ukienda utajikuta kumbe upo kusini au mashariki.

JF si sehemu salama kwa yeyote anayesema halafu ndio anafikiri. watu intelectual hapa ndio home.

Ha ha ha!!!! Matola huwa unafurahisha sana na majibu yako loh!!
 
Last edited by a moderator:
Joh Makini amepanga Changanyikeni, nyuma ya UDSM. Jamaa ananisikitisha sana kwa mtu kama yeye kupanga chumba kimoja tu.

Hapo hapo chumbani anapikia kaweka ndoo za maji na vyombo vyake. Ifike mahala apange walau vyumba viwili.

Joh Makini anaendesha Starlet baada ya kuuza ile Mazda, basi ni bora auze hiyo starlet kwa milioni tano au sita akatafute kiwanja chake hata chamazi au chanika aanze kujenga nyumba yake taratibu.

Kweli hip hop hailipi, yani miaka yote aliyofanya music bado anaishi chumba kimoja???

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
Aisee Ole wako tukuone maeneo ya Ololo, Ngaleloo, Daraja2, na Matejoo hapa Arusha utawajua WEUSI ni watu wa aina gani!
 
Hahahahaha Jama hiyo ni Thug Life bado anahustle wenyewe wanavyodai kihardcore
 
Wakuu mnamshambulia mleta mada lkn yeye Alichofanya niile kuonyesha MSANII KIOO cha JAMII manake kuna madogo labda wanamkubali nalabda watatakaa kuiga kz yake sasa.km kz yenyewe km hailipi na mtu analala store wataipendaje hiyo fani...

Aisee dont generalize the problem! tatizo sio fani kwani hakuna wenye fan hiyo na maendeleo kimaisha? its either a failure- plan or target that makes him where he is now.
 
Wanaopenda kuiga wakaige utajiri wa Mengi Bakhresa na Mo Dewji, tuondolee upumbavu wako hapa.

Mkuu umeelewa vzr Ulrich I and oka hapo....Wee unadhani watu wangekuwa wanaiga mambo ya maana NCH hii ingekuwa hivi....!!!!
 
Tatizo wana hiphop wana usela wa kizamani, kwao bangi, gambe, madem,vurugu ndio vitu wanavyovipa kipaumbele..hawana maendeleo yoyote kuanzia hao akina joh makini ,weusi, nako 2 nako wote walewale, bora jcb amepata mbibi wa kizungu anamlisha.
 
Mchunguzi huru Jo amejenga huko huko Changanyikeni, fanya uchunguzi wako.
 
Tabia nyengine za kike ukija huku kwenu mtu kama ww unageuzwa unashikishwa ukuta. Hata alale nje ww yanakuhusu nn?
 
Back
Top Bottom