Johannes Rebmann: Mtu aliyegundua mlima Kilimanjaro

Johannes Rebmann: Mtu aliyegundua mlima Kilimanjaro

Watu weupe wana propaganda flani za kiajabu ni kweli yaweza kuwa whiteman wakwanza kufika eneo fulani ila watabadili stori. Hivyo hivyo walifanya kwa ziwa Victoria na zaidi.
Hilo ziwa Victoria ningekuwa Mbunge wa EALA ninge table hoja binafsi kwa maslahi ya umma kubadilisha jina toka Lake Victoria (Queen Victoria) kuwa ziwa Nyanza au Nyanja. Hii ni kwasababu Kenya jimbo/mkoa unaopatikana ziwa hilo unaitwa Nyanza Province, Tz nako makabila mengi yanayozunguka ziwa hilo yana msamiati unaoitwa Nyanja ukimaanisha ziwa, kwa upande wa Uganda nako msamiati Nyanja upo, hivyo Nyanja au Nyanza ni standard derivative compound noun which is eulogious in instinct kwa nchi zote zenye share kwenye ziwa hili Tz 51%, Kenya 6% na Uganda 43%.
 
Hapa naona ni interpretation ndio inatuchanganya. Iko documented kwamba Rebmann ndio mzungu wa kwanza kugundua Mlima Kilimanjaro, sio kwamba yeye ndio mtu wa kwanza alieuvumbua au kuugundua mlima.

Sasa hapo tatizo liko wapi? Je Kuna mwingine aligundua kabla yake?
 
Mgunduzi kiaje yan? Inamaana kulikiwa hakuna watu maeneo hayo au ya karibu yake? Ama ndio uongo ili tuone wanajua kila kitu?
Mi nahis hii ni sawa na wanavyosema Christopher Columbus ndio mgunduzi wa bara la america wakati mda anafika huko alikuta kuna watu wanaishipo tayar
Mkuu,
Nakunukuu na ku-bold "ilitakiwa iwe ni mzungu wa kwanza kufika Kilimanjaro na sio mgunduzi"
Hiyo imekaa vizuri mkuu.
 
Hapa naona ni interpretation ndio inatuchanganya. Iko documented kwamba Rebmann ndio mzungu wa kwanza kugundua Mlima Kilimanjaro, sio kwamba yeye ndio mtu wa kwanza alieuvumbua au kuugundua mlima.

Sasa hapo tatizo liko wapi? Je Kuna mwingine aligundua kabla yake?
Ahaaa... kumbe mchuano uko kwenye race ya wazungu, "nani mzungu wa kwanza" na siyo "nani binadamu wa kwanza" nadhani inaleta mantiki hii.
 
Nahisi ajenda haikuwa kututawala tu, bali waliitaji kufuta na asiri yetu(kupotosha uhalisia wa asiri yetu) ili waendelee kututawala
 
Kitabu changu cha historia kiliniambia alikuwa mzungu wa kwanza kuona Mlima Kilimanjaro.
 
Huo ugunduzi wa kiboya kabisa. Ikiwezekana kwa sasa watoto waache kusoma hizo takataka.

Eti mtu anakuja anawakuta watu wanapita kila siku mlimani, pembeni ya ziwa nyasa. Wanapita mpaka juu. Linakuja litumpinkere eti limevumbua mlima. Linaubatiza kabisa jina lake Livingstone. Ni sawa na unaenda sehemu unaanza kujitapa umeokota nchi. Mwingine nimevumbua ziwa,wakati anewakuta wenyeji wanavua na kuogelea humo.
 
Back
Top Bottom