Johannes Rebmann: Mtu aliyegundua mlima Kilimanjaro

Johannes Rebmann: Mtu aliyegundua mlima Kilimanjaro

Ni maajabu sana. Kulingana na machapisho mbalimbali mlima maarufu unaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 3 million iliyopita hakuna mkazi yeyote wa aliwahi kujua kuna mlima mrefu kaskazini mwa Tanganyika hata wale wakazi wenyewe hawakujua 😁.

Johannes Rebmann.

Mlima Kilimanjaro uligunduliwa na bwana Johannes rebmann ambaye alikuwa mmissionary kutoka Ujerumani mnamo 1848.

Kutokana na bwana huyo aliyekuwa na mwenzake aitwaye Johann Lidwig Krapf, habari ziliweza kusambaa maeneo mengi ya ulaya kuwa kuna mlima wenye kilele cha barafu karibu sana na ikweta. Lakini habari hizo hazikuaminika kwa watu mpaka miaka kadhaa baadae.
Na mitaala yetu ya elimu inawakaririsha watoto wetu jambo la kijinga kama hili kama vile ni kitu chenye mantiki kinachoweza kuwasaidia wanetu kubuni rockets za kwenda Mars.

Ujinga kama huu unapaswa kuondolewa kwenye mitaala yetu.
 
Na mitaala yetu ya elimu inawakaririsha watoto wetu jambo la kijinga kama hili kama vile ni kitu chenye mantiki kinachoweza kuwasaidia wanetu kubuni rockets za kwenda Mars.

Ujinga kama huu unapaswa kuondolewa kwenye mitaala yetu.
Mitaala ya nchi zetu hizi inaamuliwa na kutengenezwa na wazungu kwa kivuli cha Unesco tena inakuja na masharti ya lazima na pia inakuja na ahadi za misaada na mikopo kama mtaitekeleza. Kuna wakati michezo iliondolewa mashuleni, wakwe zetu wazungu walitaka michezo ife ili tukose sifa za kucheza makombe ya dunia kwenye michezo mbalimbali. Wanatupa mitaala inayotufanya tuwe exposed kwenye vitu vyao na kuvipenda. Waarabu waliwastukia wakawa na kampeni ya kukataa elimu ya Magharibi (Boko Haram yaani Elimu ya Kimagharibi ni Haramu).
 
Mitaala ya nchi zetu hizi inaamuliwa na kutengenezwa na wazungu kwa kivuli cha Unesco tena inakuja na masharti ya lazima na pia inakuja na ahadi za misaada na mikopo kama mtaitekeleza. Kuna wakati michezo iliondolewa mashuleni, wakwe zetu wazungu walitaka michezo ife ili tukose sifa za kucheza makombe ya dunia kwenye michezo mbalimbali. Wanatupa mitaala inayotufanya tuwe exposed kwenye vitu vyao na kuvipenda. Waarabu waliwastukia wakawa na kampeni ya kukataa elimu ya Magharibi (Boko Haram yaani Elimu ya Kimagharibi ni Haramu).
Sio boko haram tu na kuna nchi huko Africa magharibi ilifuta somo la historia (topic za colonialism na capitalism) maana waliona lina waaibisha na kuwajengea watoto akilin mwao kuwa wao ni weak toka zaman na kuwapandisha wazungu
 
Sio boko haram tu na kuna nchi huko Africa magharibi ilifuta somo la historia (topic za colonialism na capitalism) maana waliona lina waaibisha na kuwajengea watoto akilin mwao kuwa wao ni weak toka zaman na kuwapandisha wazungu
Yaani, sisi tumemezeshwa sumu weweee... ndiyo maana tunajiona wadhaifu mbele ya wazungu kwenye kila kitu. Mitaala hii ina matatizo kibao (inatu-limit), mfano pale Muhimbili pamoja na uwekezaji mkubwa wa kitaalamu na vifaatiba vya kisasa bado upasuaji wa kihistoria hauwezi kufanywa na Madaktari (Maprofesa) wa ndani hadi kuwe na visiting doctor kutoka kwa weupe (nje ya Afrika). Wakimaliza kuwaongoza wataalam wa ndani kufanya upasuaji huo ndipo Press zinaitwa na kupublish kwamba taasisi yetu ya tiba imefanya upasuaji wa kihistoria. Cha ajabu, hao visiting doctors na hawa wa nyumbani wote wamesoma mtaala mmoja tena huko huko ughaibuni. Somewhere somehow something is wrong.
 
Mabeberu kutoka Wikipedia wanasema hivi.
Johannes Rebmann (January 16, 1820 – October 4, 1876) was a German missionary, linguist, and explorer credited with feats including being the first European, along with his colleague Johann Ludwig Krapf, to enter Africa from the Indian Ocean coast

. In addition, he was the first European to find Kilimanjaro.[1] News of Rebmann's discovery was published in the Church Missionary Intelligencer in May 1849

Hii mada yako reference yako sijui wapi inayodai kuwa yeye ndie aliegundua mlima Kilimanjaro.
-----the first European....... yaani ni mzungu wa kwanza, siyo mtu wa kwanza..
 
Hako kabeberu kalifika hapo Moshi kakakuta Mangi amekamata vijana ambao walikuwa wanapanda mlima kilimanjaro na kufanya shughuli zao kinyume na sheria akauliza hawa vipi akaambiwa kosa lake na yeye akataka kupanda mlima basi Mangi(sikumbuki Mangi gani) akatupia jicho akamchagua kijana mmoja amsindikize Beberu kupanda mlima..kinachotucost Waafrica ni ile ishu ya documentation tunajazana ujinga eti chuo cha kwanza duniani kilikuwa Timbuktu University mara sijui Al Azar University mbona hatukusoma sasa? Ni ule uvivu wetu wa asili maana hata Mansa Mussa alifika Marekani kabla ya hata Columbus na Columbus alipofika America wenyeji walimwambia hilo ila yeye akawa mjanja kudocument

Kabla ya Christopher Columbus kufika huko Amerika, kuna jamaa alishafika kabla yake sema jamaa hakutaka kiki
 
Ni maajabu sana. Kulingana na machapisho mbalimbali mlima maarufu unaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 3 million iliyopita hakuna mkazi yeyote wa aliwahi kujua kuna mlima mrefu kaskazini mwa Tanganyika hata wale wakazi wenyewe hawakujua [emoji16].

Johannes Rebmann.

Mlima Kilimanjaro uligunduliwa na bwana Johannes rebmann ambaye alikuwa mmissionary kutoka Ujerumani mnamo 1848.

Kutokana na bwana huyo aliyekuwa na mwenzake aitwaye Johann Lidwig Krapf, habari ziliweza kusambaa maeneo mengi ya ulaya kuwa kuna mlima wenye kilele cha barafu karibu sana na ikweta. Lakini habari hizo hazikuaminika kwa watu mpaka miaka kadhaa baadae.

Atakua aligundua wakati Wachaga wanaishi tayari, na kwa hiyo ugunduZi unaotajwa hapa utakua ule wa mabeberu wenzie, ila siamini kama Wachaga walikua hawaishi, hawajauona huo mlima
 
Kabla ya Christopher Columbus kufika huko Amerika, kuna jamaa alishafika kabla yake sema jamaa hakutaka kiki
Ndio tunarudi palepale suala la documentation ni tatzo kwa waafrica wengi..Columbus alivyofika America wenyeji wakamwambia kabisa kuna mtu alishafika kabla yako na katuletea dhahabu hizi hapa na wakampa nyingine arudi nazo ulaya
 
Atakua aligundua wakati Wachaga wanaishi tayari, na kwa hiyo ugunduZi unaotajwa hapa utakua ule wa mabeberu wenzie, ila siamini kama Wachaga walikua hawaishi, hawajauona huo mlima
Labda waafrika walikuwa hawahesabiki kama binadamu kipindi hiko kwa sababu walikuwa hawana elimu na hata ustaarabu ambao wazungu enzi hizo walishatuacha mbali.
 
Ni maajabu sana. Kulingana na machapisho mbalimbali mlima maarufu unaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 3 million iliyopita hakuna mkazi yeyote wa aliwahi kujua kuna mlima mrefu kaskazini mwa Tanganyika hata wale wakazi wenyewe hawakujua 😁.

Johannes Rebmann.

Mlima Kilimanjaro uligunduliwa na bwana Johannes rebmann ambaye alikuwa mmissionary kutoka Ujerumani mnamo 1848.

Kutokana na bwana huyo aliyekuwa na mwenzake aitwaye Johann Lidwig Krapf, habari ziliweza kusambaa maeneo mengi ya ulaya kuwa kuna mlima wenye kilele cha barafu karibu sana na ikweta. Lakini habari hizo hazikuaminika kwa watu mpaka miaka kadhaa baadae.
Kwa maana hiyo yeye ndiye aliyeutengeneza Mlima?
 
hata Ziwa Victoria liligunduliwa na mzungu,jina la Victoria limetokana na malkia wa zamani wa Uingereza.Hilo jina huyo mzungu ndiye aliyelitoa
Tatizo sisi hatuandiki wao wanaandika na wazungu wenzao wanasoma na kujua hivyo vitu kupitia maandishi ya wenzao.
 
Mabeberu kutoka Wikipedia wanasema hivi.
Johannes Rebmann (January 16, 1820 – October 4, 1876) was a German missionary, linguist, and explorer credited with feats including being the first European, along with his colleague Johann Ludwig Krapf, to enter Africa from the Indian Ocean coast

. In addition, he was the first European to find Kilimanjaro.[1] News of Rebmann's discovery was published in the Church Missionary Intelligencer in May 1849

Hii mada yako reference yako sijui wapi inayodai kuwa yeye ndie aliegundua mlima Kilimanjaro.
Mkuu hii ya nani aligundua mlima Kilimanjaro ilifundishwa kwenye masomo ya historia shule ya msingi na lilikuwa swali la kwenye mitihani
 
Back
Top Bottom