Wewe acha umbeya kama mwanamke, hakuna mwanaume asiyechepuka labda awe "Impotent" kama wewe.
Hii kitu hata wanaojiita viongozi wa kidini uzalendo unawashinda au wewe nawe ni mwanamke wivu wa kumtamani Mbowe ndio unakuua.
Unakumbuka yule mungu wenu feki aliyekufa naye alilalamikiwa kwamba alimpeleka mume wa mtu ubalozini baadaye akampa uwaziri mke wake "Mweupe" na kisha ilidaiwa eti alimzalisha mtoto. Jamaa alikuwa anahusudu sana wanawake weupe japo alishindwa kuwaowa. Wanaume wote duniani tuko hivyo.