TANZIA Johara Mtei, Mke wa Mzee Edwin Mtei na mkwe wa Freeman Mbowe afariki dunia

TANZIA Johara Mtei, Mke wa Mzee Edwin Mtei na mkwe wa Freeman Mbowe afariki dunia

M/Mungu akupe pepo yake ya daraja, bibi yetu mpendwa.. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
 
Da kweli mkuu! Hawa chadema wengi wao wajinga sana walishangia sana kifo cha Magufuli kama wao hawatakufa wala kufiwa!
Magufuli aliyekuwa anashangilia maumivu kwa wapinzani wake mlitaka wao wahuzunike? Yule shetani alipata dhihaka inayomstahili.
 
Hakika wote wanaokufa Sasa wamefikisha umri unaostahili kifo, wewe mungu mpanga vifo vyao umenena..
Sherehe wapi leo ya kupalizwa kwa mama mtei?
Tuko hapa Machame Mkuu, karibu mbege bwashee
 
Kuna kanuni muhimu sana katika Imani. Ukimtendea mtu wema na wewe wema huohuo utakurudia kwa njia tofauti.

Likewise ukifurahia mabaya kwa mwenzako na wewe baya hilohilo litakujia kwa njia nyingine. Bahati mbaya sana ngozi yetu hii imejaa Ubinafsi, hatukujaaliwa huruma kwa watu wasiotuhusu.

Ndio maana hata humu JF ukifuatilia taarifa za kuugua au misiba utaona comments za watu na DHIHAKA nyingi Simply they don't share the same Ideology etc.

Sometime tunapatwa na changamoto ngumu katika familia zetu lakini pengine ni mambo kama haya. Upo kwenye keyboard unadhihaki Msiba wa hasimu wako ktk siasa then siku kadhaa unauguliwa au kufiwa na WEWE UNAKOSA AMANI NA KUFEDHEHEKA.

Jamani hii kanuni inaishi na inazingatiwa sana na wenzetu wa Imani za BUDDHISM

Una maana wema ule ule waliotendewa kina Ben Azory Mawazo Azory Lissu na wa kwenye viroba pia?

Apumzike kwa amani Mama Mtei.
 
Kuna kanuni muhimu sana katika Imani. Ukimtendea mtu wema na wewe wema huohuo utakurudia kwa njia tofauti.

Likewise ukifurahia mabaya kwa mwenzako na wewe baya hilohilo litakujia kwa njia nyingine. Bahati mbaya sana ngozi yetu hii imejaa Ubinafsi, hatukujaaliwa huruma kwa watu wasiotuhusu.

Ndio maana hata humu JF ukifuatilia taarifa za kuugua au misiba utaona comments za watu na DHIHAKA nyingi Simply they don't share the same Ideology etc.

Sometime tunapatwa na changamoto ngumu katika familia zetu lakini pengine ni mambo kama haya. Upo kwenye keyboard unadhihaki Msiba wa hasimu wako ktk siasa then siku kadhaa unauguliwa au kufiwa na WEWE UNAKOSA AMANI NA KUFEDHEHEKA.

Jamani hii kanuni inaishi na inazingatiwa sana na wenzetu wa Imani za BUDDHISM
We call it Karma

Wazungu wanasema "Karma is a 'bad' bitch".
 
Mtu wa mwaka 42 ulidhani ataishi milele?? She's almost 80 ina maana alishamaliza maisha yake na ni mstaafu wa miaka mingi akisubiri kwenda mbinguni.

Najua unaforce kuweka balance ila msiba wa ibilisi ulikua pigo kubwa kwenu na hauna mfanano...... He's never coming back whether Mbowe au nani atafariki!! Usitafute kujitia moyo.
Kumbe na wewe ni akili kisoda mkuu, dah so sorry

Rest easy mama mtei, sote ni wasafiri.
 
Mtu wa mwaka 42 ulidhani ataishi milele?? She's almost 80 ina maana alishamaliza maisha yake na ni mstaafu wa miaka mingi akisubiri kwenda mbinguni.

Najua unaforce kuweka balance ila msiba wa ibilisi ulikua pigo kubwa kwenu na hauna mfanano...... He's never coming back whether Mbowe au nani atafariki!! Usitafute kujitia moyo.
Sawa ndio maana nikasema nae ni mwendazake
 
Mbowe alishamwaga mwanae akachukua libavicha limoja linaitwa Joyce Mukya ,

USSR
Wewe mwanamke inaonekana una wivu wa kutisha, inaonekana ungependa mno Mbowe akuchukue wewe ila utafanyaje huna hiyo bahati na akina Polepole nao siku hizi akaonti nayo haisomi. Very sad.
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika. Huyo bibi ameshafikisha miaka ya biblia hata akifariki ni sawa ili akapumzike.

Kile kifo cha dhalimu si kwamba tu tulishangilia, bali hadi sasa tuko kwenye furaha ya ajabu.
Hata mimi naona mko kwenye furaha ya ajabu sana mkuu!

Hasa baada ya magaidi kuanza kukamatwa!
 
Back
Top Bottom