Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Mungu hamtupi mja wake.. InshaAllah..!Mbowe anapita kipindi kigumu sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hamtupi mja wake.. InshaAllah..!Mbowe anapita kipindi kigumu sn
Magufuli aliyekuwa anashangilia maumivu kwa wapinzani wake mlitaka wao wahuzunike? Yule shetani alipata dhihaka inayomstahili.Da kweli mkuu! Hawa chadema wengi wao wajinga sana walishangia sana kifo cha Magufuli kama wao hawatakufa wala kufiwa!
Wewe sio miongoni mwao?Waulize wanaomuhusu sherehe ni wapi.
Wewe sio miongoni mwao?
Pole sana kwa familia ya Mtei na Mbowe, familia zinazowatoa watanzania kwenye giza, Mungu awape uvumilivu.Mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe amefiwa na mama wa mke wake ambaye ni mke wa mzee Edwin Mtei.
Poleni sana familia ya Mbowe na Mtei.
View attachment 1899390
RIP mama Mtei
Tuko hapa Machame Mkuu, karibu mbege bwasheeWaulize wanaomuhusu sherehe ni wapi.
Tuko hapa Machame Mkuu, karibu mbege bwasheeHakika wote wanaokufa Sasa wamefikisha umri unaostahili kifo, wewe mungu mpanga vifo vyao umenena..
Sherehe wapi leo ya kupalizwa kwa mama mtei?
Kuna kanuni muhimu sana katika Imani. Ukimtendea mtu wema na wewe wema huohuo utakurudia kwa njia tofauti.
Likewise ukifurahia mabaya kwa mwenzako na wewe baya hilohilo litakujia kwa njia nyingine. Bahati mbaya sana ngozi yetu hii imejaa Ubinafsi, hatukujaaliwa huruma kwa watu wasiotuhusu.
Ndio maana hata humu JF ukifuatilia taarifa za kuugua au misiba utaona comments za watu na DHIHAKA nyingi Simply they don't share the same Ideology etc.
Sometime tunapatwa na changamoto ngumu katika familia zetu lakini pengine ni mambo kama haya. Upo kwenye keyboard unadhihaki Msiba wa hasimu wako ktk siasa then siku kadhaa unauguliwa au kufiwa na WEWE UNAKOSA AMANI NA KUFEDHEHEKA.
Jamani hii kanuni inaishi na inazingatiwa sana na wenzetu wa Imani za BUDDHISM
We call it KarmaKuna kanuni muhimu sana katika Imani. Ukimtendea mtu wema na wewe wema huohuo utakurudia kwa njia tofauti.
Likewise ukifurahia mabaya kwa mwenzako na wewe baya hilohilo litakujia kwa njia nyingine. Bahati mbaya sana ngozi yetu hii imejaa Ubinafsi, hatukujaaliwa huruma kwa watu wasiotuhusu.
Ndio maana hata humu JF ukifuatilia taarifa za kuugua au misiba utaona comments za watu na DHIHAKA nyingi Simply they don't share the same Ideology etc.
Sometime tunapatwa na changamoto ngumu katika familia zetu lakini pengine ni mambo kama haya. Upo kwenye keyboard unadhihaki Msiba wa hasimu wako ktk siasa then siku kadhaa unauguliwa au kufiwa na WEWE UNAKOSA AMANI NA KUFEDHEHEKA.
Jamani hii kanuni inaishi na inazingatiwa sana na wenzetu wa Imani za BUDDHISM
Kumbe na wewe ni akili kisoda mkuu, dah so sorryMtu wa mwaka 42 ulidhani ataishi milele?? She's almost 80 ina maana alishamaliza maisha yake na ni mstaafu wa miaka mingi akisubiri kwenda mbinguni.
Najua unaforce kuweka balance ila msiba wa ibilisi ulikua pigo kubwa kwenu na hauna mfanano...... He's never coming back whether Mbowe au nani atafariki!! Usitafute kujitia moyo.
Sawa ndio maana nikasema nae ni mwendazakeMtu wa mwaka 42 ulidhani ataishi milele?? She's almost 80 ina maana alishamaliza maisha yake na ni mstaafu wa miaka mingi akisubiri kwenda mbinguni.
Najua unaforce kuweka balance ila msiba wa ibilisi ulikua pigo kubwa kwenu na hauna mfanano...... He's never coming back whether Mbowe au nani atafariki!! Usitafute kujitia moyo.
Wewe mwanamke inaonekana una wivu wa kutisha, inaonekana ungependa mno Mbowe akuchukue wewe ila utafanyaje huna hiyo bahati na akina Polepole nao siku hizi akaonti nayo haisomi. Very sad.Mbowe alishamwaga mwanae akachukua libavicha limoja linaitwa Joyce Mukya ,
USSR
Huyo mama alikukosea nn?Unajuaje kama anaenda kupumzika? Atalipwa kwa kadri ya alivyofanya huyo mama mwendazake
Kama zile za ccm kupitia polisi na wasiojulikana eti!Chadema ijifunze siasa za UTU.
Hata mimi naona mko kwenye furaha ya ajabu sana mkuu!Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika. Huyo bibi ameshafikisha miaka ya biblia hata akifariki ni sawa ili akapumzike.
Kile kifo cha dhalimu si kwamba tu tulishangilia, bali hadi sasa tuko kwenye furaha ya ajabu.
We both know better..... and I don't have to prove that.Kumbe na wewe ni akili kisoda mkuu, dah so sorry
Rest easy mama mtei, sote ni wasafiri.