TANZIA Johara Mtei, Mke wa Mzee Edwin Mtei na mkwe wa Freeman Mbowe afariki dunia

TANZIA Johara Mtei, Mke wa Mzee Edwin Mtei na mkwe wa Freeman Mbowe afariki dunia

Kuna kanuni muhimu sana katika Imani. Ukimtendea mtu wema na wewe wema huohuo utakurudia kwa njia tofauti.

Likewise ukifurahia mabaya kwa mwenzako na wewe baya hilohilo litakujia kwa njia nyingine. Bahati mbaya sana ngozi yetu hii imejaa Ubinafsi, hatukujaaliwa huruma kwa watu wasiotuhusu.

Ndio maana hata humu JF ukifuatilia taarifa za kuugua au misiba utaona comments za watu na DHIHAKA nyingi Simply they don't share the same Ideology etc.

Sometime tunapatwa na changamoto ngumu katika familia zetu lakini pengine ni mambo kama haya. Upo kwenye keyboard unadhihaki Msiba wa hasimu wako ktk siasa then siku kadhaa unauguliwa au kufiwa na WEWE UNAKOSA AMANI NA KUFEDHEHEKA.

Jamani hii kanuni inaishi na inazingatiwa sana na wenzetu wa Imani za BUDDHISM
Umeandika upumbavu na ujinga mkubwa.
Huyo mama ashakua mwendazake, huko analipwa kwa kadri ya mabaya aliyofanya
 
Sijui ni kwamba vifo vimeongezeka au watoa taarifa za vifo ndio walioongezeka?
 
Malipo ni hapa hapa Duniani ahera kuhesabiwa tu....kwa waliofurahia kifo cha Rais Magufuli wanakumbwa kipindi hiki nawashauri WAKATUBU
Wale ni mahayawani..huwezi kushangilia kifo cha mtu hata kama humpendi. Tuungane kumtakia pole mzee mtei na mkwewe aikaeli
 
Rest In Peace madame.
Nimelipenda jina la katikati lenye maana nimrudie nani!
 
Malipo ni hapa hapa Duniani ahera kuhesabiwa tu....kwa waliofurahia kifo cha Rais Magufuli wanakumbwa kipindi hiki nawashauri WAKATUBU
mtu alikuwa anaua watu anateka watu anapora uchaguzi mkuu...mtu kama huyo akifa kwa nini watu wasifurahi???...tangu aondoke Tanzania imekuwa shwari kabisa kwa nini watu wasifurahi??? Biblia yenyewe imeandika kiongozi muonevu akifa watu hufurahi
 
Kuna kanuni muhimu sana katika Imani. Ukimtendea mtu wema na wewe wema huohuo utakurudia kwa njia tofauti.

Likewise ukifurahia mabaya kwa mwenzako na wewe baya hilohilo litakujia kwa njia nyingine. Bahati mbaya sana ngozi yetu hii imejaa Ubinafsi, hatukujaaliwa huruma kwa watu wasiotuhusu.

Ndio maana hata humu JF ukifuatilia taarifa za kuugua au misiba utaona comments za watu na DHIHAKA nyingi Simply they don't share the same Ideology etc.

Sometime tunapatwa na changamoto ngumu katika familia zetu lakini pengine ni mambo kama haya. Upo kwenye keyboard unadhihaki Msiba wa hasimu wako ktk siasa then siku kadhaa unauguliwa au kufiwa na WEWE UNAKOSA AMANI NA KUFEDHEHEKA.

Jamani hii kanuni inaishi na inazingatiwa sana na wenzetu wa Imani za BUDDHISM
Hii kanuni haiwahusu watakatifu wa chadema na kaskazini kwakuwa wao wanachojua kifo kinawahusu mahasimu wao wa kisiasa na wasukuma tu.
 
Maghufuli anaendelea kuwakarbisha tuu, sa hv kila mmoja apambane na Hali yake ...!! Sisi wa kanda ya ziwa tulizika mzoga wetu Kwa matusi na kejeli ni zamu Yao kuzika mizoga Yao , watajijua
 
Mbowe alishangilia?
Alifanya sherehe kubwa na aliposikia Sabaya kakamatwa akashushia faru John, Sasa maisha sijui yakoje, yeye na Sabaya mbaya wake wote wako sero japo location tofauti.
 
Acha akome wakati mnashangilia kifo cha JPM hamkujua wakati wa Mungu unakuja

USSR

Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika. Huyo bibi ameshafikisha miaka ya biblia hata akifariki ni sawa ili akapumzike.

Kile kifo cha dhalimu si kwamba tu tulishangilia, bali hadi sasa tuko kwenye furaha ya ajabu.
 
Back
Top Bottom