Mzururaji
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,558
- 1,273
Kifo. Ni chetu sote alishangiria sana Magufuli alivyo fariki mpaka wakamwita mwenda zake haya na huyu mama asha kuwa mwenda zakeMwenyezi Mungu awape wepesi wafiwa wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo. Ni chetu sote alishangiria sana Magufuli alivyo fariki mpaka wakamwita mwenda zake haya na huyu mama asha kuwa mwenda zakeMwenyezi Mungu awape wepesi wafiwa wote.
Mtapiga talalila dana,Tanzania hakuna Corona.Hiyo ni Sukari,HBP,Cancers,Magonjwa ya moyo na Respiratory Systems Problems kwa sababu ya air pollution.Hachanjwi mtu hapa.Mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe amefiwa na mama wa mke wake ambaye ni mke wa mzee Edwin Mtei.
Poleni sana familia ya Mbowe na Mtei.
View attachment 1899390
RIP mama Mtei
Yes but amezidi miaka 80 na kwa dini yake mkristo akivuka miaka 70 ni neema tu so sioni cha kushabikia hapo.Sawa ndio maana nikasema nae ni mwendazake
Pole nyingi sana ziende kwa ndugu, jamaa na marafiki wa familia ya Mzee Mtei. Mola akawape faraja na kuwatia nguvu katika kipindi hiki kigumu wanachokipitia.Mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe amefiwa na mama wa mke wake ambaye ni mke wa mzee Edwin Mtei.
Poleni sana familia ya Mbowe na Mtei.
View attachment 1899390
RIP mama Mtei
sio chadema peke yao walioshngiliaDa kweli mkuu! Hawa chadema wengi wao wajinga sana walishangia sana kifo cha Magufuli kama wao hawatakufa wala kufiwa!
Hao ndo wakina petro waliomkana yesu!Wewe sio miongoni mwao?
Kwani uongo? Huna habari za Joyce mukya? Wana watoto wawili Hadi sasa.Yaani wewe, ni zaidi ya SHETANI!
Niliwahi kufikiria watu fulani hawafi, bali Sukuma Gang tu!!Mbowe anapita kipindi kigumu sn
DohWe both know better..... and I don't have to prove that.
Bado naendelea kushangilia kifo cha Hamnazo, azidi kuoza huko aliko.Malipo ni hapa hapa Duniani ahera kuhesabiwa tu....kwa waliofurahia kifo cha Rais Magufuli wanakumbwa kipindi hiki nawashauri WAKATUBU
Wewe acha umbeya kama mwanamke, hakuna mwanaume asiyechepuka labda awe "Impotent" kama wewe.Hii ya mkwe ni huku nje kwani hamjui ya ndani, na kutoa pole bila kujua ni usiku wagiza, huko ndani tuulizeni sisi na huwenda hata kifo cha bi mkubwa kimesababiswa na Mfalme wa wanga mwenyewe maana yule mkewe kilasiku kushtaki kwa mamake mpaka kapata presha kafa.
Na watu wengi wanamjua Joyce Mukya tu, ulizeni kamanda kila mkoa na kila wilaya anaamshaga dude mbaya, yaani bora siri-kali hata imemficha watu na wapenzi wao wapumue.
Ndoa ya kanisani ni mume 1 mke 1 basi na aliapa.
Wanaume wengi waliokuwa na wake viti maarumu leo wanamsujudia Mungu kisiri yaani hawasemi.
Hatari snNiliwahi kufikiria watu fulani hawafi, bali Sukuma Gang tu!!