Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unajuwa kwamba kifo ni sehemu ya maisha...??Da kweli mkuu! Hawa chadema wengi wao wajinga sana walishangia sana kifo cha Magufuli kama wao hawatakufa wala kufiwa!
Gaidi mbowe analiwa na papasi huko sero ,anayeuwa kwa upanga atakufa kwa upanga (sio upanga ule mtaa wa wazito)Yaani wewe, ni zaidi ya SHETANI!
We ni msemaji wa familia ya mzee Mtei?Mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe amefiwa na mama wa mke wake ambaye ni mke wa mzee Edwin Mtei.
Poleni sana familia ya Mbowe na Mtei.
View attachment 1899390
RIP mama Mtei
Hapana manka miye ni mzungumzaji wa Ufipa!We ni msemaji wa familia ya mzee Mtei?
Hivi mzee kama wewe kuwa mbea ni haki kweli?Hapana manka miye ni mzungumzaji wa Ufipa!
Malizaneni na Kigogo kwanza!Hivi mzee kama wewe kuwa mbea ni haki kweli?
Amekosa mvuto kama Mange KimambiMalizaneni na Kigogo kwanza!
Baada ya mazishi ya JPM ,waganga wa Jadi walifanya tambiko la Karne.Acha akome wakati mnashangilia kifo cha JPM hamkujua wakati wa Mungu unakuja
USSR
Angekuwa uraiani angezuia kifo cha mama mkwe wake? Au ni wakati gani ngumu unaousemea?Mbowe anapita kipindi kigumu sn
Kifo cha mtu dhalimu ni sherehe kwa waliohaiDa kweli mkuu! Hawa chadema wengi wao wajinga sana walishangia sana kifo cha Magufuli kama wao hawatakufa wala kufiwa!
Kimsingi unastahili tusi zito sn lakini acha ni kusamehe bureAngekuwa uraiani angezuia kifo cha mama mkwe wake? Au ni wakati gani ngumu unaousemea?
Lamba 5Kifo cha mtu dhalimu ni sherehe kwa waliohai
Kifo cha mtu dhalimu na kifo cha mtu mwenye haki havifananiAcha akome wakati mnashangilia kifo cha JPM hamkujua wakati wa Mungu unakuja
USSR
Unajuaje kama anaenda kupumzika? Atalipwa kwa kadri ya alivyofanya huyo mama mwendazakePumzika kwa amani mama Johara Mtei.